Mwalimu wa Zamu

Mwalimu wa Zamu HUU UKURASA NI KWA AJILI YA KUJIFUNZA MAMBO MBALIMBALI YANAYOIZUNGUKA JAMII YETU

Mjue Dr. Mark Dean....... Huyu ni mwanasayansi ama mhandisi wa teknolojia ya kompyuta .. ndiye alieweza kuunda kompyuty ...
21/02/2022

Mjue Dr. Mark Dean....... Huyu ni mwanasayansi ama mhandisi wa teknolojia ya kompyuta .. ndiye alieweza kuunda kompyuty za desktop na kuzileta majumbani.. na pia ndiye mtengenezaji wa kwanza wa "circuit" zilizotumika kuunganisha "printers" na "moderms" . Dr. Dean aliongoza timu ya wahandisi waliotengeneza kifaa kidogo cha kuhifadhia kumbukumbu kwenye kompyuta chenye ukubwa wa "gigahertz" moja (1_gigahertz chip?) Kilichokadiriwa kuwa na uwezo wa kukokotoa mahesabu bilioni kwa sekunde moja na baadae aliweza kugundua na kuunda mfumo bora wa kompyuta yenye ubora zaidi kuliko zote duniani uliokuwa na uwezo wa kukokotoa mahesabu zaidi ya trilioni kwa sekunde moja( world's most powerful supercomputer systems). Katika kugundua na kuunda teknolojia hii .. aliwahi kusema... " K**a unaweza kuzungumza kuhusu hicho, ina maana unakiweza" " if you can talk about it, that means it's possible" lakini pia aliwahi tania akisema " k**a hatutatatua tatizo hili , baadhi ya bidhaa zetu zitatumika kupikia na kukokotolea kwa muda huo huo" " if we don't solve this problem, some products coul be used for cooking as well as computing" .
Kwa sasa Dr. Dean anaongoza maabara za utafiti wa kisayansi unaolenga kuvumbua mawanda mapana ya vikokotozi duniani.. ambavyo vina "range" kutoka uwezo mdogo hadi uwezo mkubwa zaidi.. lakin pia wanajaribu kutafuta njia bora za kutumia vikokotozi katika kurahisisha biashara na maidha kwa ujumla.... Na Dr. Dean siku hizi anatumia msemo.. " k**a ukifanya kazi kwa bidii, unaweza kuwa vyovyote utakavyo . Maana panaweza kuwa na vizuizi lakini hakuna mwisho" " If you work hard, you can be whatever you want to be. There may be obstacles , but there are no limits"...
Tunajifunza nini kupitia huyu mwanasayansi mashuhuri duniani katika teknolojia tunayoitumia hata sasa? K**a taifa tufanye nini ili maarifa tuliyonayo ambayo hayajawahi kutumika kufanya jambo lolote yatumike na yafanye jambo?
Mungu mwema ametupa akili , uwezo na ubunifu...k**a alivyo Dr. Dean Ndivyo tulivyo na sisi....mafanikio yanaanza na wewe..Anza..

19/08/2021

Naam nijapojikwaa nitaangalia wapi nilipojikwaa na kuendelea na safari.. na sio wapi nilipoangukia.. mbarikiwe jamani... Fanya kazi kwa juhudi zako zote usikate tamaa

Unapofanya kazi yako kwa moyo na kwa weledi ndipo mafanikio yanapojitokeza zaidi.. ipende kazi yako... Iheshimu.. na ihe...
10/08/2021

Unapofanya kazi yako kwa moyo na kwa weledi ndipo mafanikio yanapojitokeza zaidi.. ipende kazi yako... Iheshimu.. na iheshimishe.. ili ikutuze na kukuhesshimisha.

Kichwa cha mwanadamu hakiwezi kuwa kidogo zaidi ya sikio lake
10/08/2021

Kichwa cha mwanadamu hakiwezi kuwa kidogo zaidi ya sikio lake

27/05/2021

Your yahweee eeee your yahweee...

01/11/2020

Just share this page with your friends so as they can learn how to live wisely in this world..
Naomba ushirikishe rafiki zako ili waweze kujifunza namna Bora ya kuishi hapa duniani..

Good message... Lakini samahani kwa typing errors... Usinielewe vibaya...
26/10/2020

Good message... Lakini samahani kwa typing errors... Usinielewe vibaya...

FAIDA YA KUJAA ROHO MTAKATIFU Pata kiungo Facebook Twitter Pinterest Barua pepe Programu Nyingine - Machi 21, 2018                                          SOMO: FAIDA KUJAA ROHO MTAKATIFU                                                  MNENAJI: MWLM C....

How can I be filled with the Holly Spirit...
26/10/2020

How can I be filled with the Holly Spirit...

What does it mean to be filled with the Holy Spirit? Is the filling / infilling of the Holy Spirit a one-time event or a continual process?

Mungu Ni Roho na Kila wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika Roho na Kweli Yohana 4:24
26/10/2020

Mungu Ni Roho na Kila wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika Roho na Kweli Yohana 4:24

JINSI YA KUJAZWA ROHO NA KUNENA KWA LUGHA
“Nami nataka ninyi nyote mnene kwa lugha...” (1 Kor 14:5).

Kabla ya kujifunza tunawezaje kunena kwa lugha, ni vizuri kwanza kujua kuwa, kunena kwa lugha ni karama au zawadi mtu apewayo na Roho Mtakatifu (1 Kor. 12:8,10-11) baada ya kuokoka (Mdo. 2:37-39). Hii sio lugha mtu anaweza jifunza popote pale au anaweza kuipata tu pasipo kuwa na Roho Mtakatifu ndani mwake. Kunena kwa lugha ni uwezo mtu anaopewa na Roho Mtakatifu, pasipo hata kujifunza mahali popote pale.
Kumpokea Roho Mtakatifu na kukupa kunena kwa lugha ni ahadi ya Mungu kwa kila mtu, ambayo sasa anaitimiza kwa kila mtu anayetaka kupokea zawadi hii. Hivyo tunapokuwa tumeshaokoka, hatua ya pili tunayopaswa kuifanya ni kumpokea Roho Mtakatifu ndani ya mioyo yetu, au sehemu nyingine Biblia inasema unapaswa kubatizwa kwa Roho Mtakatifu. Roho Mtakatifu ndani mwetu ni wa muhimu sana kwa sisi kuweza kunena kwa lugha, maana ndiye pekee atupaye kunena kwa lugha k**a apendavyo yeye. Ukisoma (1 Kor 12:8,10-11) inasema hivi, “Maana mtu mmoja kwa Roho apewa....aina za lugha; na mwingine tafsiri za lugha; lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake k**a apendavyo yeye.” Hivyo hakuna mtu yeyote anayeweza kunena kwa lugha kwa njia nyingine yeyote yake, zaidi tu ya hii ya kupewa na Roho.
Huwa tunaanza kupewa kunena kwa lugha pale tunapokuwa tumejawa na Roho Mtakatifu ndani mwetu. Anasema katika (Mdo. 2:4) - “Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, [ndipo] wakaanza kusema kwa lugha nyingine, k**a Roho alivyowajalia kutamka.” Tunajazwa Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha kwa njia zifuatazo; moja - kwa njia ya imani (Mark 16:17). Pili kwa njia ya kuomba kwa muda mrefu katika roho na kweli (Mdo. 4:31; Lk 11:13). Tatu kwa njia ya kuombewa na watumishi (Mdo. 9:17). Na nne ni kwa njia ya kumsifu, na kumwabudu, na kumshukuru Mungu sana (Efe. 5:18-20). Njia hizo ndio njia unaweza tumia, kujazwa Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha. Mungu akubariki sana. Amina!!

25/10/2020

KARIBUNI SANA KATIKA PAGE HII YENYE LENGO LA KUELIMISHA JAMII JUU YA MAMBO MBALIMBALI

Address

Kilosa

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwalimu wa Zamu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Mwalimu wa Zamu:

Shortcuts

Share