17/12/2020
AJIRA,AJIRA !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!chuo kikuu cha sumbawanga kinafuraha ya kuwakaribisha katika kozi zake ambazo zinatolewa chuo hapo kozi Ni k**a ifuatavyo - kozi ya kwanza Ni kupaisha ungo kozi hii inatole kwa miaka sita mwanafunzi atakayemaliza kozi hii AJIRA ni papopapo chuoni kozi ya pili ni urogaji kozi hii inatolewa miaka 3tu. Chuo hichi kimefaniki kutoa mwanafunzi was kwanza kitaifa na wapili kimataifa pia chuo kinapokea ada kwa awamu tatu.Tunapenda kuwakaribisha katika chuo chetu kwa mafunzo bora ya sects ya uchawi.