10/04/2017
Habarini wana MKUGWA ,Nitumie nafasi hii kuwaga rasmi k**a kiongozi katika hii Page nimekuwa nanyi kwa muda sasa lakini kwa sasa nimehamishwa shuleni.hivyo sitakuwa tena mwalimu Wa MKUGWA SEKONDARI. Niwashukuru members wote kwa ushirikiano mlionipa.lakini nikiwa nawaaga nionyeshe masikitiko yangu mengi sana kwa MTU aliyejibatiza jina langu Na anayelitumia vibaya kutapeli wazazi hakika namuomba aache Mara moja so far mzazi mmoja ameshatapeliwa tsh 20000/=Hivyo nawatahadhalisha watu wote kuwa makini Na watu hawa wenye nia ovu,kwani katika miaka yangu nane niliyokaa MKUGWA sijawahi kumwibia mzazi yeyote hata centi moja.hivyo usitume fedha zako kwa sir messo huyu feki.Mwisho niwatakia uck mwema nawapenda wote.Na karibuni MOYOWOSI SEKONDARI.