gari_kiganjani

gari_kiganjani Tunajihusisha na huduma ya kutoa ujuzi wa magari

Ladha ya kwanza ya Gari lako ni Injini kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na kusudi la muundaji wa gari alivokusudia.Zifu...
11/04/2023

Ladha ya kwanza ya Gari lako ni Injini kufanya kazi kwa ufanisi kutokana na kusudi la muundaji wa gari alivokusudia.

Zifuatazo ni sababu zinazopelekea gari lako kukosa nguvu.

1.Kasoro ya uchomaji ndani ya chumba Cha muako ndani ya Injini
Mfano sparkplug mbovu/Sparkplug ikilowa oil au mafuta, baadhi ya coil kualibika.

2.Mfumo wa hewa wenye kasoro
Mfano airclean (chujiolahewa) likiwa chafu,
Vavle ikiziba ndani ya cylinder head

3.Mfumo wa mafuta wenye Kasoro
Mfano
Pampu ikiziba,fuel filter ikiziba

3.Changamoto ya mfumo wa transmission
Mfano
Toque convert ikivujisha hydrolic, toque convert ikialibika,gia box ikiwa mbovu.
Kwa msaada zaidi kwa changamoto mbalimbali wasiliana nasi kwa Namba hii 0743448501

MAGARI, KUUZA NA KUNUNUA MAgari SoKoni MAGARI USED MAGARI SHOWROOM MAGARI SOKONI USED CAR MAGARI BEI RAHISI TANZANIA MAGARI USED and NEW kwa bei nafuu sana hapa MAGARI SOKONI (SHOWROOMS) Magari bei nafuu Magari ya bei nafuu MAGARI&PIKIPIKI SOKONI TANZANIA 🇹🇿 Magari Sokoni Online Leo🔮 Magari Specialists MAGARI MTAANI MAGARI MAZURI DSM MAGARI MAKALI BEIPOA Magari Online Kenya Magari Sokoni na Godwin magari used online 🚚🚜🚐🛻🚗 magari ya bei rahisi(mr_magari_tanzania Instagram follow us) MAGARI USED TANZANIA magari used MAGARI SOKONI Magari Used Bei rais ��� MAGARI POA SANA. Magari Arusha

Kumekuwa na sitofahamu na watu wengi kutokujua sababu mbalimbali zinazosababisha ulikaji wa matairi katika magari yao le...
16/10/2020

Kumekuwa na sitofahamu na watu wengi kutokujua sababu mbalimbali zinazosababisha ulikaji wa matairi katika magari yao leo tumepata wasaa wa kutizama
ULIKAJI WA TAILI SEHEMU YA KATIKATI
kabla hatuja toa sababu,tunachotakiwa kujua ni kuwa wakati muundaji wa gari lako wakati anaunda gari lako alipata kiasi stahiki kinachotakiwa kwenye matairi ya gari lako hivyo wewe ukiweka kiwango tofauti na muundaji taili zako zitalikatofauti, na sababu inayoelekea taili kulika katika ni kuzidisha ujazo wa upepo katika taili na kupelekea taili kuisha dizaini ya kipara

YouTube tunapatikana kwa jina GARI KIGANJANI..video yake link hiihttps://youtu.be/43SBLwcG6T4Gari lako ni chombo kilicho...
19/07/2020

YouTube tunapatikana kwa jina GARI KIGANJANI..video yake link hii
https://youtu.be/43SBLwcG6T4

Gari lako ni chombo kilichosanifiwa mithili ya uharilisia wa mwili wa mwanadamu hivyo asilimia kubwa ya utendaji wa wa gari ni. Sawa na mwanadamu
Yafuatazo ni madhara ya kuendesha gari wakati ujazo wa injini oil upo PUNGUFU
1- Vyuma vinasuguana ndani ya injini
2-Mabadiliko ya Joto la injini mara kwa mara
3-oil pump kuwa kuaribika
4-injini yako ndani inakuwa chafu
Akikisha unaendesha gari lako likiwa na UJAZO sawa na unaotakiwa

Kwa maswali mbalimbali karibuni katika group letu la WhatsApp ujipatie ufafanuzi mzuri zaidi kwa haraka zaidi
https://chat.whatsapp.com/FkuU2ke6rO34wWNlIKJ0Rr
Kwa video mbalimbali karibuni katika platform zetu za YouTube kuna video nyingi zenye mafunzo mbalimbali

Popote ulipo tunakuletea ujuzi kiganjani mwako dhidi ya Gari lako karibuni katika clinic ya Gari lako
19/07/2020

Popote ulipo tunakuletea ujuzi kiganjani mwako dhidi ya Gari lako karibuni katika clinic ya Gari lako

Address

Ipogoro
Iringa

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when gari_kiganjani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to gari_kiganjani:

Shortcuts

Share

Category