Benjamin Broadcasting Corporation

Benjamin Broadcasting Corporation Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Benjamin Broadcasting Corporation, School, Ilala.

  wishes you all Eid mubarack.
18/07/2015

wishes you all Eid mubarack.

 .
18/06/2015

.

17/06/2015

Ikiwa hapo kesho mfungo wa mwezi wa Ramadhani unaanza rasmi.
Team BBC yawatakia waislamu wote popote pale walipo .

25/05/2015

Mitihani ya mock kwa wanafunzi wa kidato cha nne imeanza ikiwa ni siku chache tu wametoka kufanya mitihani ya BRN.

25/04/2015

BBC inawaalika ndugu, jamaa pamoja na marafiki wote, katika mahafali ya kidato cha sita yatakayofanyika tarehe 29.04.2015 katika viwanja vya shule ya sekondari Benjamin Mkapa........ Wote mnakaribishwa....

27/12/2014

zimebaki siku nne kuelekea kuumaliza mwaka 2014. je, umejiandaa vipi kuukaribisha mwaka 2015?

Merry Christmass and happy newyear
25/12/2014

Merry Christmass and happy newyear

22/12/2014

SAKATA LA ESCROW:
Katika sakata la ESCROW..Raisi Kikwete amwajibisha Waziri wa ardhi Mhe.Tibaijuka..kutokana na kuhusika na sakata hilo na kuwa huo ni ukikwaji wa kimaadili ya utumishi wa umma..Huku akimweka kiporo waziri wa Nishati na madini Mhe.Muhongo kwa madai ya kuwa uchunguzi bado unaendelea...
For more updates keep up with us .

22/12/2014

UCHAGUZI:
Uchaguzi wa serikali za mitaa japo na kukumbwa kwa misuko suko mingi mwisho kufikia ukingoni..huku chama cha CCM..kikiibuka na ushindi kwa asilimia 70..
For more updates keep up with us .. .

29/11/2014

BUNGENI:Hatimaye bunge lafikia muafaka wa kuwawajibisha waliotuhumiwa kuhusika na sakata la ESCROW ikiwemo...
katibu mkuu wa nishati na madini-Pro.Muhongo...
waziri wa ardhi-Pro.Anna Tibaijuka na bodi(board) ya TANESCO..
For more information..keep up with us .

FUNGUKA:Tumia mamlaka yako kuzuia ukatili wa kijinsia...
29/11/2014

FUNGUKA:Tumia mamlaka yako kuzuia ukatili wa kijinsia...

26/11/2014

BUNGENI:SAKATA LA IPTL..
Kamati ya PAC ikishirikiana na takukuru..yaanika wazi leo bungeni uchafu na madudu yaliyofanywa kuhusiana na fedha zilizoko katika akaunti ya Tegeta ESCROW..
Na bunge lategemea kupokea taarifa kwa upande wa serikali hapo kesho..
For more information keep up with us .

Address

Ilala

Telephone

2184725

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Benjamin Broadcasting Corporation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Benjamin Broadcasting Corporation:

Shortcuts

Share

Category