03/05/2026
Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Mwanzugi akitoa Tuzo ya Mwalimu Hodari Mwezi April kwa Mwalimu CLEOPA RUBENI MJEMA Katika siku ya kuadhimisha SIKUKUU YA WAFANYAKAZI DUNIANI β MEI MOSI,
Mwalimu Mkuui wa Shule ya Msingi Mwanzugi anajivunia kumtunuku tuzo ya:
π MWALIMU HODARI WA MWEZI APRIL π
Tuzo hii imetolewa kwa kutambua:
β Ufundishaji bora na maandalizi madhubuti ya vipindi
β Ubunifu katika mbinu za kufundishia
β Nidhamu na uwajibikaji wa hali ya juu
β Ushirikiano mzuri na wanafunzi, wazazi na walimu wenzake
β Mchango mkubwa katika kuinua taaluma na maadili shuleni
π Tunampongeza kwa juhudi, moyo wa kujituma na uzalendo kazini.
Ameendelea kuonesha kuwa ualimu ni wito na dhamira ya dhati.
π Hongera sana kwa kuwa mfano bora katika jamii ya walimu!