Tanzanian Training Centre for International Health

Tanzanian Training Centre for International Health (TTCIH) PPP Between the Ministry of Health (MoH), Novartis & Swiss TPH
P. O. Box 39, Ifakara, Morogo

25/08/2026


25/08/2026
Je, una ndoto ya kuwa mtaalamu wa afya πŸ©ΊπŸ’ŠπŸ‘οΈTaasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa (TTCIH) – Ifakara, iliyopo mkoani Mor...
23/08/2026

Je, una ndoto ya kuwa mtaalamu wa afya πŸ©ΊπŸ’ŠπŸ‘οΈ

Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa (TTCIH) – Ifakara, iliyopo mkoani Morogoro, imefungua Dirisha la Pili la Udahili kwa mwaka wa masomo 2026/2027. Tunakukaribisha kutuma maombi ya kujiunga na chuo kwa kozi zifuatazo::

🩺 Stashahada ya Utabibu
πŸ’Š Stashahada ya Ufamasia
πŸ‘οΈ Stashahada ya Optometria

πŸ“Œ SIFA ZA KUJIUNGA NA CHUO

🩺 Stashahada ya Utabibu

πŸŽ“- Ufaulu katika: Biology, Chemistry na Physics/Engineering Sciences.

πŸ’Š Stashahada ya Ufamasia

πŸŽ“- Ufaulu katika: Physics, Chemistry, Biology, Basic Mathematics na English Language.

πŸ‘οΈStashahada ya Optometria (Kozi yenye kipaumbele cha mkopo kutoka Bodi ya Mkopo HESLB) :

πŸŽ“ - Ufaulu katika: Biology, Chemistry, Basic Mathematics, Physics/Engineering Sciences na English Language.

🌟 KWA NINI UCHAGUE TTCIH?

πŸ‘¨β€βš•οΈπŸ‘©β€βš•οΈ- Wakufunzi wabobezi katika fani ya afya na tafiti
πŸ₯ - Hospitali kubwa ya Rufaa kwa ajili kujifunzia kwa vitendo
🌐 - Internet ya uhakika
🏠 - Hostel za kisasa na salama zenye huduma zote muhimu
πŸ”¬- Maabara zenye vifaa vya kutosha kwa ajili ya mafunzo na mazoezi ya vitendo
πŸ“š - Library yenye vitabu vya kutosha kwa ajili ya kujifunzia
🍽️ - Cafeteria yenye chakula bora, safi na kwa bei nafuu.
πŸ’»πŸ“– - Mafunzo kwa njia ya masafa kupitia National eLearning Platform for Health
🌳 - Mazingira tulivu, salama na bora kwa kujifunzia

: 25/08/2026

πŸ“ž Kwa maelezo zaidi wasiliana na Dawati la Udahili:

πŸ“± 0718 552 164
πŸ“± 0781 845 374

🌐 Tembelea tovuti yetu : www.ttcih.ac.tz
πŸ“§ Tuandikie barua pepe: [email protected]

πŸš€ KARIBU CHUO BORA CHENYE UWEZO WA KUTOA MAFUNZO YENYE KUJENGEA WAHITIMU UWEZO WA KUTOA TIBA KWA KUTUMIA TAFITI ZA KISAYANSI YAANI β€œEVIDENCE BASED MEDICINE”





ClinicalMedicine
FutureHealthProfessionals
KoziYenyeKipaumbelechaMkopo
AfyaKwanzaAcademicYear20262027

Je, una ndoto ya kuwa mtaalamu wa afya πŸ©ΊπŸ’ŠπŸ‘οΈTaasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa (TTCIH) – Ifakara, iliyopo mkoani Mor...
07/08/2026

Je, una ndoto ya kuwa mtaalamu wa afya πŸ©ΊπŸ’ŠπŸ‘οΈ

Taasisi ya Mafunzo ya Afya ya Kimataifa (TTCIH) – Ifakara, iliyopo mkoani Morogoro, imefungua Dirisha la Pili la Udahili kwa mwaka wa masomo 2026/2027. Tunakukaribisha kutuma maombi ya kujiunga na chuo kwa kozi zifuatazo::

🩺 Stashahada ya Utabibu
πŸ’Š Stashahada ya Ufamasia
πŸ‘οΈ Stashahada ya Optometria

πŸ“Œ SIFA ZA KUJIUNGA NA CHUO

🩺 Stashahada ya Utabibu

πŸŽ“- Ufaulu katika: Biology, Chemistry na Physics/Engineering Sciences.

πŸ’Š Stashahada ya Ufamasia

πŸŽ“- Ufaulu katika: Physics, Chemistry, Biology, Basic Mathematics na English Language.

πŸ‘οΈStashahada ya Optometria (Kozi yenye kipaumbele cha mkopo kutoka Bodi ya Mkopo HESLB) :

πŸŽ“ - Ufaulu katika: Biology, Chemistry, Basic Mathematics, Physics/Engineering Sciences na English Language.

🌟 KWA NINI UCHAGUE TTCIH?

πŸ‘¨β€βš•οΈπŸ‘©β€βš•οΈ- Wakufunzi wabobezi katika fani ya afya na tafiti
πŸ₯ - Hospitali kubwa ya Rufaa kwa ajili kujifunzia kwa vitendo
🌐 - Internet ya uhakika
🏠 - Hostel za kisasa na salama zenye huduma zote muhimu
πŸ”¬- Maabara zenye vifaa vya kutosha kwa ajili ya mafunzo na mazoezi ya vitendo
πŸ“š - Library yenye vitabu vya kutosha kwa ajili ya kujifunzia
🍽️ - Cafeteria yenye chakula bora, safi na kwa bei nafuu.
πŸ’»πŸ“– - Mafunzo kwa njia ya masafa kupitia National eLearning Platform for Health
🌳 - Mazingira tulivu, salama na bora kwa kujifunzia

: 21/08/2026

πŸ“ž Kwa maelezo zaidi wasiliana na Dawati la Udahili:

πŸ“± 0718 552 164
πŸ“± 0781 845 374

🌐 Tembelea tovuti yetu : www.ttcih.ac.tz
πŸ“§ Tuandikie barua pepe: [email protected]

πŸš€ KARIBU CHUO BORA CHENYE UWEZO WA KUTOA MAFUNZO YENYE KUJENGEA WAHITIMU UWEZO WA KUTOA TIBA KWA KUTUMIA TAFITI ZA KISAYANSI YAANI β€œEVIDENCE BASED MEDICINE”





ClinicalMedicine
FutureHealthProfessionals
KoziYenyeKipaumbelechaMkopo
AfyaKwanzaAcademicYear20262027

  ya pamoja na Prof. Columba Mbekenga, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uzamili na Utafiti (Director of Postgraduate ...
04/08/2026

ya pamoja na Prof. Columba Mbekenga, Mkurugenzi wa Taasisi ya Mafunzo ya Uzamili na Utafiti (Director of Postgraduate Studies and Research Institute – DPSRI) kutoka Chuo Kikuu cha Kairuki, alipotembelea banda la TTCIH katika Viwanja vya Mnazi Mmoja - Zanzibar, kwenye Maonesho ya Saba (7) ya Wiki ya Elimu ya Juu.

Katika ziara hiyo, Prof. Mbekenga ameipongeza TTCIH kwa kushiriki katika maonesho haya, akieleza kuwa ni jukwaa muhimu la kuitangaza taasisi, kuongeza uelewa wa umma kuhusu kozi mbalimbali zinazotolewa na chuo pamoja na kuwarahisishia waombaji kupata taarifa na kujaza fomu za kujiunga kwa mwaka wa masomo 2026/2027.

TTCIH inaendelea kujitolea kuwafikia Watanzania wengi zaidi kwa kuwapatia taarifa sahihi kuhusu fursa za elimu na mafunzo ya afya yenye ubora. Tunawakaribisha kwenye banda letu ili kuweza kujionea na kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo kujionea Mfumo wa Mafunzo kwa Njia ya Masafa NATONAL ELEARNING PLATFORM FOR HEALTH (www.elearning.moh.go.tz) ambao umeasisiwa na TTCIH ikishirikiana na Wizara ya Afya kupitia idara ya mafunzo. Watoa huduma wetu watakuelekeza namna ya kujaza fomu za kujiunga na chuo kwa mwaka wa masomo 2026/27.

Karibu utembelee banda letu upate fursa ya kujifunza zaidi kuhusu Chuo cha TTCIH Ifakara, kozi tunazotoa, pamoja na sifa za kujiunga.

Chuo Kinatoa Kozi Zifuatazo:

1. Stashahada ya Ufamasia (Diploma in Pharmaceutical Sciences) - Miaka mitatu
2. Stashahada ya Utabibu (Diploma in Clinical Medicine) – Miaka mitatu
3. Stashahada ya Optometria (Diploma in Optometry) - Miaka mitatu

msaada na maelekezo zaidi piga simu namba zifuatazo 0718 365 374 & 0718 552164

β€œKARIBU TTCIH – IFAKARA KWA MAFUNZO YENYE KUJENGEA WAHITIMU UWEZO WA KUTOA TIBA KWA KUTUMIA TAFITI YAANI EVIDENCE BASED MEDICINE".

/2027

Picha ya pamoja ya vyuo vilivyoshiriki kwenye MAONESHO na Mgeni Rasmi, Mheshimiwa Lela Muhamed M***a, Waziri mwenye dham...
27/07/2026

Picha ya pamoja ya vyuo vilivyoshiriki kwenye MAONESHO na Mgeni Rasmi, Mheshimiwa Lela Muhamed M***a, Waziri mwenye dhamana ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, katika hitimisho la kilele cha Maonesho ya Saba (7) ya Wiki ya Elimu ya Juu yaliyofanyika katika Uwanja wa Gombani, Pemba.

Akihitimisha maonesho hayo, Mheshimiwa Waziri alitoa hotuba fupi ya kuvishukuru vyuo na taasisi zote zilizoshiriki, akieleza kuwa ushiriki wao ni ishara ya mshik**ano na jitihada za kuwawezesha Watanzania kupata fursa za elimu ya juu kupitia vyuo vinavyotoa fani mbalimbali.

Aidha, alivitaka vyuo kuimarisha ushirikiano na taasisi za elimu ya juu za ndani na nje ya nchi ili kupanua wigo wa kubadilishana uzoefu, kuboresha ubora wa elimu, na kuongeza ushindani wa wahitimu. Alisisitiza kuwa ushirikiano huo utasaidia kuzalisha wahitimu mahiri wenye uwezo wa kuchangia maendeleo ya Tanzania kwa kutoa huduma bora katika sekta mbalimbali.

πŸ“Œ Je, ungependa kuifahamu zaidi TTCIH?

Tunakukaribisha kutembelea banda letu ili ujifunze zaidi kuhusu Chuo cha TTCIH, kozi mbalimbali tunazotoa, sifa za kujiunga, pamoja na huduma nyingine zinazopatikana chuoni.

Aidha, utapata fursa ya kujionea Mfumo wa Mafunzo kwa Njia ya Masafa (National eLearning Platform for Health) unaopatikana kupitia www.elearning.moh.go.tz, mfumo uliasisiwa na TTCIH kwa ushirikiano na Wizara ya Afya kupitia Idara ya Mafunzo.

Wahudumu wetu wapo tayari kukuelekeza kuhusu kozi mbalimbali zinazotolewa, sifa za kujiunga na chuo, pamoja na kukusaidia hatua kwa hatua katika kujaza fomu za kujiunga na CHUO kwa mwaka wa masomo 2026/2027.

πŸ“Œ Chuo Kinatoa Kozi Zifuatazo:

πŸ’Š Stashahada ya Ufamasia (Diploma in Pharmaceutical Sciences) – Miaka 3
🩺 Stashahada ya Utabibu (Diploma in Clinical Medicine) – Miaka 3
πŸ‘οΈ Stashahada ya Optometria (Diploma in Optometry) – Miaka 3

πŸ“ž Kwa maelezo zaidi

πŸ“± 0781 845 374
πŸ“± 0718 552 164

🌐 Tembelea tovuti yetu : www.ttcih.ac.tz
πŸ“§ Tuandikie barua pepe: [email protected]

🌟 KWA NINI UCHAGUE TTCIH?

πŸ‘¨β€βš•οΈ - Wakufunzi wabobezi katika fani ya afya na tafiti
πŸ₯ - Hospitali kubwa ya Rufaa kwa ajili kujifunzia kwa vitendo
🌐 - Internet ya uhakika
🏠 - Hostel za kisasa na salama zenye huduma zote muhi

27/07/2026   mbalimbali yakiendelea kutembelea banda letu la TTCIH katika  kiwanja cha GOMBANI - PEMBA KWENYE MAONESHO Y...
27/07/2026

27/07/2026
mbalimbali yakiendelea kutembelea banda letu la TTCIH katika kiwanja cha GOMBANI - PEMBA KWENYE MAONESHO YA SABA YA WIKI YA ELIMU YA JUU.

Karibu kwenye banda la TTCIH kwa ajili ya kufahamu mambo mbalimbali kuhusiana na Chuo pamoja na kozi tunazotoa, tafadhali tembelea banda letu kwa msaada zaidi namna ya kujaza za kujiunga na Chuo.

Kinatoa Kozi Zifuatazo:

1. Stashahada ya Ufamasia (Diploma in Pharmaceutical Sciences) - Miaka mitatu
2. Stashahada ya Utabibu (Diploma in Clinical Medicine) – Miaka mitatu
3. Stashahada ya Optometria (Diploma in Optometry) - Miaka mitatu

TTCIH ni Taasisi iliyosajiliwa na NACTVET kwa namba HAS/003 inayoendeshwa chini ya Wizara ya AFYA kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo kutoka inchini USWISI,

Chuo kina mazingira tulivu na mazuri kwa kujifunza ikiwa pamoja Wakufunzi waliobobea katika fani za Afya na tafiti, Hospitali ya kujifunzia kwa vitendo, Internet ya uhakika, na kutoa mafunzo kupitia Mfumo wa Mafunzo kwa njia ya Masafa - (National eLearning Platform for Health - www.elearning.moh.go.tz) ambao umeasisiwa na TTCIH kwa kushirikiana Idara ya Mafunzo Wizara ya Afya.

msaada na maelekezo zaidi piga simu namba zifuatazo 0718 552 164 & 0781 845 374 na tembelea tovuti yetu wwww.ttcih.ac.tz au barua pepe [email protected]

"KARIBU TTCIH IFAKARA KWA MAFUNZO YENYE KUJENGEA WAHITIMU UWEZO KUTOA TIBA KWA KUTUMIA TAFITI YAANI EVIDENCE BASED MEDICINE"

TTCIH imepata heshima ya kutembelewa na Mgeni rasmi, Mheshimiwa Lela Muhamed M***a - Waziri mwenye dhamana ya kusimamia ...
26/07/2026

TTCIH imepata heshima ya kutembelewa na Mgeni rasmi, Mheshimiwa Lela Muhamed M***a - Waziri mwenye dhamana ya kusimamia Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, katika kilele cha Maonesho ya Saba (7) ya Wiki ya Elimu ya Juu yaliyofanyika katika Uwanja wa Gombani, Pemba.

Akizungumza baada ya kutembelea banda la TTCIH, Mheshimiwa Waziri aliupongeza uongozi wa chuo kwa kutumia maonesho hayo k**a fursa ya kuwafikishia wananchi wa Zanzibar taarifa kuhusu fursa mbalimbali za kimasomo zinazopatikana katika Mkoa wa Morogoro. Alieleza kuwa hatua hii itaweza kuwasaidia wanafunzi kutoka shule mbalimbali Zanzibar kufahamu namna ya kujiunga na kozi zinazotolewa na TTCIH, ambazo zinawalenga kuwaandaa wataalamu mahiri watakaochangia maendeleo ya jamii kwa kutatua changamoto mbalimbali, hususani katika sekta ya afya.

Aidha, Mheshimiwa Waziri alisisitiza umuhimu wa TTCIH kuendelea kushiriki katika maonesho hayo kila mwaka ili kuwafikia vijana wengi zaidi. Alieleza matarajio yake kwamba mwaka ujao ataona idadi kubwa zaidi ya wanafunzi kutoka Zanzibar wakitumia fursa hiyo kujiunga na masomo katika chuo cha TTCIH na kunufaika na mafunzo yanayotolewa na TTCIH.

πŸ“Œ Je, ungependa kuifahamu zaidi TTCIH?

Tunakukaribisha kutembelea banda letu ili ujifunze zaidi kuhusu Chuo cha TTCIH, kozi mbalimbali tunazotoa, sifa za kujiunga, pamoja na huduma nyingine zinazopatikana chuoni.

Aidha, utapata fursa ya kujionea Mfumo wa Mafunzo kwa Njia ya Masafa (National eLearning Platform for Health) unaopatikana kupitia www.elearning.moh.go.tz, mfumo uliasisiwa na TTCIH kwa ushirikiano na Wizara ya Afya kupitia Idara ya Mafunzo.

Wahudumu wetu wapo tayari kukuelekeza kuhusu kozi mbalimbali zinazotolewa, sifa za kujiunga na chuo, pamoja na kukusaidia hatua kwa hatua katika kujaza fomu za kujiunga na CHUO kwa mwaka wa masomo 2026/2027.

πŸ“Œ Chuo Kinatoa Kozi Zifuatazo:

πŸ’Š Stashahada ya Ufamasia (Diploma in Pharmaceutical Sciences) – Miaka 3
🩺 Stashahada ya Utabibu (Diploma in Clinical Medicine) – Miaka 3
πŸ‘οΈ Stashahada ya Optometria (Diploma in Optometry) – Miaka 3

πŸ“ž Kwa maelezo zaidi

πŸ“± 0781 845 374
πŸ“± 0718 552 164

🌐 Tembelea tovuti yetu : www.ttcih.ac.tz
πŸ“§ Tuandikie barua pepe: [email protected]

23 Julai, 2026Tumepata heshima ya kutembelewa na Mheshimiwa Zuhura Mgeni Othmani, Mkuu wa Wilaya ya Chake, katika Maones...
23/07/2026

23 Julai, 2026
Tumepata heshima ya kutembelewa na Mheshimiwa Zuhura Mgeni Othmani, Mkuu wa Wilaya ya Chake, katika Maonesho ya 7 ya Elimu ya Juu yanayoendelea kwenye Uwanja wa Gombani, Chake Chake - Pemba.

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Zuhura Mgeni Othmani ameipongeza TTCIH Ifakara kwa kuwasogezea karibu wananchi wa Wilaya ya Chake Chake fursa ya kupata taarifa kuhusu kozi mbalimbali ambazo zinazotolewa na chuo cha Afya TTCIH. Amesema hatua hiyo ni chachu ya kuongeza uelewa kwa wananchi na wanafunzi kwenye shule mbalimbali kuhusu fursa za kielimu zinazopatikana TTCIH Ifakara - Morogoro, pamoja na kurahisisha upatikanaji wa taarifa mbalimbali za chuo na kuwasaidia waombaji kujaza fomu za kujiunga na chuo kwa urahisi zaidi.

Tunaendelea kuwakaribisha wananchi wote kutembelea banda letu katika Maonesho ya 7 ya Elimu ya Juu yanayofanyika katika Uwanja wa Gombani, Chake Chake - Pemba, ili kupata maelezo zaidi kuhusu Chuo cha TTCIH Ifakara, kozi mbalimbali tunazotoa, sifa za kujiunga, pamoja na huduma nyingine zinazopatikana chuoni.

sana!

Chuo Kinatoa Kozi Zifuatazo:

1. Stashahada ya Ufamasia (Diploma in Pharmaceutical Sciences) - Miaka mitatu
2. Stashahada ya Utabibu (Diploma in Clinical Medicine) – Miaka mitatu
3. Stashahada ya Optometria (Diploma in Optometry) - Miaka mitatu

msaada na maelekezo zaidi piga simu namba zifuatazo 0718 365 374 & 0718 552164

β€œKARIBU TTCIH – IFAKARA KWA MAFUNZO YENYE KUJENGEA WAHITIMU UWEZO WA KUTOA TIBA KWA KUTUMIA TAFITI YAANI EVIDENCE BASED MEDICINE".

πŸ“… 23 Julai, 2026πŸŽ“ Karibu kwenye Banda la TTCIH Ifakara - UWANJA WA GOMBANI, CHAKE CHAKE – PEMBA!Tunakukaribisha kutembel...
23/07/2026

πŸ“… 23 Julai, 2026

πŸŽ“ Karibu kwenye Banda la TTCIH Ifakara - UWANJA WA GOMBANI, CHAKE CHAKE – PEMBA!
Tunakukaribisha kutembelea banda letu ili upate fursa ya kujifunza kuhusu kozi mbalimbali ambazo zinazotolewa na Chuo cha Afya TTCIH Ifakara, pamoja na sifa na vigezo vya kujiunga na chuo kwa mwaka wa masomo 2026/2027.

, utapata nafasi ya kujionea Mfumo wa Mafunzo kwa Njia ya Masafa (National eLearning Platform for Health – www.elearning.moh.go.tz), ulioasisiwa na TTCIH kwa kushirikiana na Wizara ya Afya kupitia Idara ya Mafunzo. Mfumo huu unawawezesha wanafunzi wa vyuo vya afya kujipakulia nyenzo mbalimbali za kujifunzia kwa urahisi zaidi.

, watoa huduma wetu watakuongoza hatua kwa hatua kuhusu namna ya kujaza fomu za kujiunga na Chuo cha TTCIH Ifakara kwa mwaka wa masomo 2026/2027, pamoja na kukupa maelezo yote kuhusu udahili na huduma nyingine zinazotolewa na chuo.
Karibu sana katika banda letu, Tunakusubiri!

πŸ“ž Wasiliana nasi:

β€’ 0718 552 164
β€’ 0781 845 374

🌐 Tovuti: www.ttcih.ac.tz

πŸ“§ Barua pepe: [email protected]

KARIBU TTCIH IFAKARA KWA MAFUNZO YENYE KUJENGEA WAHITIMU UWEZO KUTOA TIBA KWA KUTUMIA TAFITI YAANI β€œEVIDENCE BASED MEDICINE”.

Address

Mlabani
Ifakara

Opening Hours

Monday 07:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 05:00
Wednesday 08:00 - 05:00
Thursday 08:00 - 05:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255232931532

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzanian Training Centre for International Health posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Tanzanian Training Centre for International Health:

Shortcuts

Share

Category