22/11/2019
Katika mtaala mpya wa elimu kuanzia darasa I-VI,,umejikita Katika ujuzi yaani uwezo wa kutenda Kwa kile alichofundishwa mwanafunzi. Ushauri Kwa walimu wenzangu tufundishe watoto Kwa Kwa kutumia mbinu nzuri ili tuweze kufikia malengo yetu tuliyojiwekea.