03/05/2026
Watu wengi wanachanganya kazi na maisha binafsi.
Unaanza kuona boss k**a rafiki… kampuni k**a familia…
Lakini ukweli ni huu:
Biashara inaangalia faida, sio hisia zako.
Ukifanya kazi vizuri, wanakulipa.
Ukishindwa, wanakubadilisha.
Hakuna loyalty ya kweli k**a unavyodhani.
Ndio maana:
Usijisahau kwa ajili ya kazi.
Usitoe kila kitu mpaka ubaki bila kitu.
Fanya kazi yako kwa akili.
Lipwa unachostahili.
Linda muda wako, afya yako, na maisha yako binafsi.
Kazi ni sehemu ya maisha… sio maisha yako yote.