28/06/2022
NAFASI ZA KAZI
Meira School inatafuta waalimu wanaoweza kufundisha
Masomo mbalimbali wakiwa nyumbani.
Sifa:
-Mwalimu awe na uwezo wa kurekodi masomo yeye mwenyewe kupitia screen recorder au Zoom.
-Aina ya masomo
• Ujasiliamali
• IT
• Afya na mazingira
• Video production
• Graphics designing
• Na masomo mengine
Mawasiliano tuma meseji kupitia facebook, whatsup 0717 163462 au email
[email protected]
Tembelea tovuti yetu:
https://www.meiraschool.com