04/09/2023
K**a bado haujafahamu mwanao, mdogo wako, jirani Yako hajui akasomee Ualimu wa chekechea au Ualimu wa shule ya msingi basi Chuo Cha Ualimu Mtumba kilichopo Dodoma kinawapokea. Iko hivi k**a amepata div I mpaka 3 anaruhusiwa kujiunga na Ualimu wa shule ya msingi ngazi ya cheti. Na k**a amepata div 4 tunamkaribisha kujiunga na Ualimu wa chekechea au malezi ya watoto wadogo. Chuo kitakupa 20,000 ukituletea mwanafunzi mmoja. Kwa maelezo tupigie 0715920082 au 0656667880 au 0745722126 au 0658587675