Dilite entertainment

Dilite entertainment page is all about entertainments issues ,education ,business,tv and radio advertisiment ,bronchures,advice in relation,enterpreneur ship ,beauty,art etc

page is all about entertainments issues ,education ,business,tv and radio advertisiment ,bronchres,advice in relation,enterpreneur ship ,beauty,art

12/06/2016
Magazeti june 12 2016
12/06/2016

Magazeti june 12 2016

11/05/2016

VITUKO DUNIANI

Mwanamke afutwa kazi kwa kutovaa viatu vya juu

Karani mmoja wa kupokea wageni mjini London alilazimika kurudi nyumbani baada ya kukataa kuvaa viatu vyenye visigino virefu,imebainika.

Mfanyikazi huyo wa kampuni ya Temp, Nicola Thorp mwenye umri wa miaka 27 kutoka Hackney aliwasili katika kampuni moja inayoshughulikia maswala ya kifedha PwC kabla ya kuarifiwa kwamba anahitajika kuvaa viatu vyenye visigino vya nchi 2 hadi 4.

Alipokataa na kulalamika kwamba mbona wenzake wa kiume hawakutakiwa kuvaa hivyo,alitakiwa kurudi bila ya mshahara.
Kampuni ya Portico imesema kuwa iliweka sheria hizo kwa wafanyikazi wanaokabidhiwa PwC lakini imesema kuwa haitaondoa sheria hiyo.

Walimu walipwa vifaranga badala ya mshahara Uzbekistan

Mji mmoja nchini Uzbekistan umekua ukiwapa waalimu wake kuku k**a mshahara badala ya pesa. Mamlaka za mji wa Nukus katika jimbo linalojitawala la Karakalpakstan wamekua wakitia vifaranga wachanga kwa walimu kutokana na uhaba wa pesa nchini humo.

Kituo cha radio kinachofadhiliwa na Marekani{Radio Ozodlik} kimemnukuu mwalimu mmoja akilaani hatua hiyo k**a aibu kubwa kwa mamlaka.

Mwalimu huyo aliyeghadhabishwa na hatua hiyo amesema hataki vifaranga kwa sababu anaweza kuwapata sokoni, lakini wanataka pesa zao.

Vifaranga wanaotolewa k**a mshahara wana gharama ya dola mbili kila mmoja, ikiwa ni maradufu bei inayouzwa vifaranga sokoni.

Mamlaka za Uzbekistan hazikubalii uhuru wa vyombo vya habari na raia wa huko hutegemea vyombo vya habari vya kimataifa kutoa sauti yao, ila hawajitambulishi.

Uzbekistan imekumbwa na uhaba wa fedha kwa miaka sasa hali inayosababisha serikali kuchelewesha mishahara ya wafanyikazi na malipo ya uzeeni.

Mapema mwezi huu wafanyikazi wa serikali katika mji mkuu,Tashkent walilalamikia kwamba hawakuwa wamelipwa mshahara kwa miezi miwili kwa sababu benki hazikuwa na pesa.

Mwanamke wa miaka 72 ajifungua mtoto India

Mwanamke wa umri wa miaka 72 amejifungua mtoto mvulana katika hospitali moja nchini India.

Mwanamke huyo alipachikwa mimba kupitia njia ya kitaalamu ya IVF ambapo yai la mwanamke hutolewa kutoka kwenye ovari, kutungishwa mbegu ya kiume na kisha kurejeshwa kwenye mji wa mimba. Yai hilo linaweza kutolewa kwa mwanamke mwingine.

Njia hiyo hutumiwa kuwawezesha wanawake tasa kupata watoto.
Daljinder Kaur alijifungua mtoto wake baada ya kupokea matibabu kwa miaka miwili katika hospitali iliyoko jimbo la Haryana.
Matabibu walifanikiwa kumtungisha mimba kupitia IVF mara yao ya tatu.

Mumewe Kaur ana umri wa miaka 79.
Kisa hicho kimezua mjadala mkali kuhusu kutumiwa kwa teknolojia hiyo ya IVF na umri ambao wanawake wanaweza kuruhusiwa kuitumia kupata watoto.

Dkt Kanad Nayar, katibu mkuu wa chama cha upachikaji mimba nchini India anasema sheria ya kuamua umri wa juu ambao mwanamke anaweza kuruhusiwa kutumia teknolojia hiyo itatungwa karibuni.

Sana umri huo utakuwa miaka karibu miaka 55.
Daktari huyo anasema jambo la kuzingatiwa zaidi ni uwezo wa mwanamke kumlea mtoto hadi akomae.

Ni mara ya pili kwa mwanamke mkongwe kujifungua mtoto India. Awali, mwanamke wa miaka 70 alijaliwa mtoto nchini humo.
Lakini mwanamke huyo alifariki miaka miwili baadaye na sasa mtoto huyo anatuzwa na jamaa zake.

11/05/2016

NIGERIA MSAMAHA 11.5.2016

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari anasema hataki "kuombwa msamaha na yoyote" baada ya waziri mkuu wa Uingereza David Cameron kuitaja nchi yake k**a "taifa lenye ufisadi mkubwa".

Akizunhgumza katika hafla ya kupambana na ufisadi Mjini London, Buhari amesema zaidi angependa kurudishiwa mali yote iliyoibiwa Nigeria inayozuiwa katika mabenki ya Uingereza.

Cameron alitoa tamko hilo katika mazungumzo na Malkia Elizabeth na Ameandaa mkutano wa kimataifa wa kupambana na ufisadi ambao utafanyika may 12 mwaka huu .

Hotuba ya Buhari katika mkutano huo katika makao ya jumuiya madola London inafuata taarifa iliyotolewa kutoka ofisi yake inayosema kwamba "ameshutushwa naku aibishwa" na kauli ya Cameron.

Nigeria imeorodheshwa 136 kati ya nchi 167 katika faharasha ya shirika la Transparency International mwaka 2015.
Katika hotuba yake, kiongozi huyo wa Nigeria ametaja ufisadi k**a jinamizi linalotishia usalama wa mataifa "na halina tofuati katika matifa yalioendelea na yanayoendelea.
MWISHO

NEWZELAND AFUKUZWA 11.5.2016
Waziri Mkuu mpya wa New Zealand John Key ametupwa nje ya bunge na spika baada ya kukaidi kufuata kanuni za bunge.

Bunge hilo limekua na mjadala mkali kuhusu sakata ya akaunti za siri ambazo zinadaiwa kuwepo katika kisiwa cha Panama.

Spika wa Bunge David Carter ametetea hatua yake na kusema Waziri Mkuu alikaidi onyo la kutoheshimu kanuni za bunge, na hivyo hakua na kinga ila kumuadhibu, k**a wabunge wengine.
Rekodi za bunge zimenakili kwamba Waziri Mkuu huyo aliwahi kutupwa nje ya bunge mara tatu wakati akiwa mbunge.

Hata hivyo si mara ya kwanza Waziri MKuu NewZealand anatupwa nje ya bunge.

Waziri Mkuu wa zamani Helen Clark alitupwa nje mwaka 2005 huku naye mtangulizi wake, David Lange akijipata pabaya miaka ya 1986 na 1987.
MWISHO

CONGO WAFUASI 11.5.2016

Polisi kusini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasi ya Congo wamewatawanya maelfu ya wafuasi wa mwanaisiasa, Moise Katumbi, anayehojiwa dhidi ya tuhuma za serikali kwamba ameajiri mamluki kutoka mataifa ya nje.

Wafuasi wa Katumbi waliingia mahak**ani kwa lazima mjini Lubumbashi anakotarajiwa kufika kusikizwa kwa mara ya pili kesi dhii yake.

Wafuasi wake wanasema tuhuma hizo zimenuiliwa kutatiza kampeni yake ya kisiasa kumrithi rais Joseph Kabila.
Moise Katumbi amethibitisha rasmi siku chache zilizopita kwamba atogemba urais wa nchi hiyo katika uchaguzi utakao fanyika Novemba mwaka huu.

Katumbi amekana mashtaka na ameishutumu serikali kwa kutumia njia za kumchafulia jina.
MWISHO

11/05/2016

NIGERIA MSAMAHA 11.5.2016

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari anasema hataki "kuombwa msamaha na yoyote" baada ya waziri mkuu wa Uingereza David Cameron kuitaja nchi yake k**a "taifa lenye ufisadi mkubwa".
Akizunhgumza katika hafla ya kupambana na ufisadi Mjini London, Buhari amesema zaidi angependa kurudishiwa mali yote iliyoibiwa Nigeria inayozuiwa katika mabenki ya Uingereza.
Cameron alitoa tamko hilo katika mazungumzo na Malkia Elizabeth na Ameandaa mkutano wa kimataifa wa kupambana na ufisadi ambao utafanyika may 12 mwaka huu .
Hotuba ya Buhari katika mkutano huo katika makao ya jumuiya madola London inafuata taarifa iliyotolewa kutoka ofisi yake inayosema kwamba "ameshutushwa naku aibishwa" na kauli ya Cameron.
Nigeria imeorodheshwa 136 kati ya nchi 167 katika faharasha ya shirika la Transparency International mwaka 2015.
Katika hotuba yake, kiongozi huyo wa Nigeria ametaja ufisadi k**a jinamizi linalotishia usalama wa mataifa "na halina tofuati katika matifa yalioendelea na yanayoendelea.
MWISHO

NEWZELAND AFUKUZWA 11.5.2016
Waziri Mkuu mpya wa New Zealand John Key ametupwa nje ya bunge na spika baada ya kukaidi kufuata kanuni za bunge.
Bunge hilo limekua na mjadala mkali kuhusu sakata ya akaunti za siri ambazo zinadaiwa kuwepo katika kisiwa cha Panama.
Spika wa Bunge David Carter ametetea hatua yake na kusema Waziri Mkuu alikaidi onyo la kutoheshimu kanuni za bunge, na hivyo hakua na kinga ila kumuadhibu, k**a wabunge wengine.
Rekodi za bunge zimenakili kwamba Waziri Mkuu huyo aliwahi kutupwa nje ya bunge mara tatu wakati akiwa mbunge.
Hata hivyo si mara ya kwanza Waziri MKuu NewZealand anatupwa nje ya bunge.
Waziri Mkuu wa zamani Helen Clark alitupwa nje mwaka 2005 huku naye mtangulizi wake, David Lange akijipata pabaya miaka ya 1986 na 1987.
MWISHO

CONGO WAFUASI 11.5.2016

Polisi kusini mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasi ya Congo wamewatawanya maelfu ya wafuasi wa mwanaisiasa, Moise Katumbi, anayehojiwa dhidi ya tuhuma za serikali kwamba ameajiri mamluki kutoka mataifa ya nje.
Wafuasi wa Katumbi waliingia mahak**ani kwa lazima mjini Lubumbashi anakotarajiwa kufika kusikizwa kwa mara ya pili kesi dhii yake.
Wafuasi wake wanasema tuhuma hizo zimenuiliwa kutatiza kampeni yake ya kisiasa kumrithi rais Joseph Kabila.
Moise Katumbi amethibitisha rasmi siku chache zilizopita kwamba atogemba urais wa nchi hiyo katika uchaguzi utakao fanyika Novemba mwaka huu.
Katumbi amekana mashtaka na ameishutumu serikali kwa kutumia njia za kumchafulia jina.
MWISHO

JAMANI NDUGU ZANGU....
02/05/2016

JAMANI NDUGU ZANGU....

MAGAZETI YA LEO APRIL 25
25/04/2016

MAGAZETI YA LEO APRIL 25

22/04/2016

My mind is often of happy

Address

Dar Es Salam

Telephone

0713208872

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dilite entertainment posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share