KD Ministry Institute

KD Ministry Institute ■ Christianity Knowledge Capital Provider
■ Capacity Building
■ Mentorship
■ Consultation.

EBENEZER! HAPA NDIPO BWANA ALIPOTUSAIDIA​Bwana Yesu Asifiwe watu wa Mungu alie Hai   Apostle Kelvin & Prophetess Deborah...
28/08/2026

EBENEZER! HAPA NDIPO BWANA ALIPOTUSAIDIA
​Bwana Yesu Asifiwe watu wa Mungu alie Hai

Apostle Kelvin & Prophetess Deborah pamoja na uongozi mzima wa kanisa la Palm Church wanakualika kwa moyo mkunjufu katika Ibada ya Shukrani (1st Anniversary Thanksgiving Service) ya Palm Church.

​Tunakusanyika pamoja kumrudishia Mungu utukufu, sifa na heshima kwa uaminifu wake mkubwa na matendo makuu aliyotutendea kwa mwaka mzima.

​Usipange kukosa mtembeo huu wa kipekee pamoja na Watumishi wa Mungu: Apostle Mathew George Kihiyo, Reverend Sialove Lukumay, Pastor Shedrack, na Prophet Baraka Yoramu .

​🗓️ Jumapili, 30 Agosti 2026
⏰ Saa 8:00 Mchana (2:00 PM)
📍Mahali: Mbezi Msakuzi, Kwalubaba (Kituo cha Mashine, Dar es Salaam)
​📞 Mawasiliano: +255718521142 | +255718521146

​Haleluya! Njoo tuungane pamoja kumshukuru Mungu na kupokea baraka zako za msimu mpya

KARIBU KATIKA IBADA YA JUMAPILI — PALM CHURCH​Bwana Yesu Asifiwe watu wa Mungu alie Hai.   ​Uongozi wa Palm Church ukion...
22/08/2026

KARIBU KATIKA IBADA YA JUMAPILI — PALM CHURCH
​Bwana Yesu Asifiwe watu wa Mungu alie Hai.

​Uongozi wa Palm Church ukiongozwa na Apostle Kelvin & Prophetess Deborah unakukaribisha kwa moyo mkunjufu katika Ibada ya Jumapili (Sunday Service) kesho.

​Njoo upokee Neno la Uzima, Huduma ya Maombi, Unabii, Ufungulivu na Ukombozi pamoja na Baraka tele katika Uwepo wa Mungu alie Hai.

​📅 Jumapili, 23 Agosti 2026
⏰ Saa 3:00 Asubuhi (9:00 AM)
📍Mbezi Msakuzi, Kwalubaba (Kituo cha Mashine, Mtaa wa Makoko, Dar es Salaam)
​📞 Mawasiliano: +255718521142 | +255718521146 | +255787101432
🌐 Tovuti: www.kelvinanddeborah.com

"Kuja na ndugu, rafiki au jirani yako na Mungu atakuhudumia kwa namna ya pekee kabisa!"

​Karibuni Sana.

WELCOME TO TODAY'S WEDNESDAY SERVICE.Praise the Lord.  ​I would like to warmly invite you to our today's Wednesday Midwe...
19/08/2026

WELCOME TO TODAY'S WEDNESDAY SERVICE.
Praise the Lord.


​I would like to warmly invite you to our today's Wednesday Midweek Service. It is a special time to meet with God through Praise, Worship, the Word, and Prayer. There will be Personal Prophecy (One-on-One) with a Great Move of the Holy Spirit, Power and Miracles everywhere, Deliverance and Breakthroughs
​📍Location: Palm Church, Mbezi Msakuzi, Kwalubaba, Makoko Street, Dar es Salaam, Tanzania.
⏰ Time: 5:00 PM

​Come with a relative, friend, or neighbor, and God will minister to you in a very special way
_____________________

KARIBU KATIKA IBADA YA LEO JUMATANO.
​Bwana Yesu Asifiwe.

​Napenda kukukaribisha sana katika Ibada yetu ya Katikati ya Wiki inayofanyika leo Jumatano. Ni wakati wa pekee wa kukutana na Mungu kupitia Sifa, Kuabudu, Neno na Maombi. Kutakuwa na Unabii wa mtu mmoja mmoja, Mtembeo mkubwa wa nguvu ya Roho Mtakatifu, Nguvu na Miujiza kila mahali, Ukombozi na Ufungulio
​📍Mahali: Palm Church, Mbezi Msakuzi, Kwalubaba, Kituo cha Mashine, Mtaa wa Makoko, Dar es Salaam, Tanzania.
​⏰ Muda: Saa 11:00 Jioni (5:00 PM)

​Njoo na ndugu, rafiki au jirani yako na Mungu atakuhudumia kwa namna ya kipekee sana.

PALM CHURCH — SUNDAY SERVICE​Bwana Yesu Asifiwe.     ​Karibu kwenye Ibada ya Kesho Jumapili katika kanisa la Palm Church...
15/08/2026

PALM CHURCH — SUNDAY SERVICE
​Bwana Yesu Asifiwe.


​Karibu kwenye Ibada ya Kesho Jumapili katika kanisa la Palm Church uambatane nasi katika Maombi, Sifa, na Neno la Mungu pamoja na Apostle Kelvin & Prophetess Deborah.

​⏰ Muda: Saa 3:00 Asubuhi (9:00 AM)
📍Mahali: Mbezi Msakuzi, Kwa Lubaba (Kituo cha Mashine, Mtaa wa Makoko, Dar es Salaam)
📞 Simu: 0718521142 | 0718521146 | 0787101432
🌐 Tovuti: www.kelvinanddeborah.com

Karibu sana na Mungu akubariki

MID-WEEK SERVICE | KUHUISHWA NA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU​Bwana Yesu Asifiwe Watu wa Mungu.   ​Tarehe 12 Agosti 2026 (Juma...
11/08/2026

MID-WEEK SERVICE | KUHUISHWA NA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU
​Bwana Yesu Asifiwe Watu wa Mungu.

​Tarehe 12 Agosti 2026 (Jumatano hii), Mungu ameandaa meza Maalumu kwa ajili yako katika Kanisa la Palm Church. Ni ibada ya kuhuishwa na kujazwa upya nguvu za Roho Mtakatifu.

​Njoo upokee:
📖 Neno lenye Kunyoosha na Kuongoza Njia Zako.
□ Unabii Utakaotembea kwa ajili ya maisha yako.
□ Ishara na Miujiza kutoka kwa Bwana.
□ Ufungulivu na Ukombozi Timilifu dhidi ya kila kifungo.

​📅 Siku na Tarehe: Jumatano, 12 Agosti 2026
​⏰ Muda: Kuanzia Saa 11:00 Jioni (5:00 PM)
​📍Mahali: Mbezi Msakuzi, Kwa Lubaba (Kituo cha Mashine, Dar es Salaam)
​🎙️Watumishi: Apostle Kelvin & Prophetess Deborah
​📞 Mawasiliano: +255718521142 / +255787101432

USIPANGE KUKOSA. Mwalike na mwenzako uje naye kupokea nguvu na mwelekeo mpya wa maisha yako.

USIKOSE IBADA YA JUMAPILI HII | PALM CHURCH​Bwana Yesu Asifiwe Watu wa Mungu.   ​Karibu katika Ibada ya Jumapili hii tuk...
08/08/2026

USIKOSE IBADA YA JUMAPILI HII | PALM CHURCH

​Bwana Yesu Asifiwe Watu wa Mungu.

​Karibu katika Ibada ya Jumapili hii tukiwa pamoja na Watumishi wa Mungu Apostle Kelvin na Prophetess Deborah. Njoo ukiwa na shauku na imani ya kupokea Neno la Uzima, Maombezi, na Baraka tele zitakazobadilisha maisha yako.

​📅 Jumapili 09 August 2026
​⏰ Saa 3:00 Asubuhi (9:00 AM)
​📍Palm Church — Mbezi Msakuzi, Kwa Lubaba (Kituo cha Mashine, Mtaa wa Makoko, Dar es Salaam)
​📞 +255718521142 / +255718521146
🌐 www.kelvinanddeborah.com

​Karibu wewe pamoja na familia yako na rafiki zako. Bwana anakusubiri.

HITIMISHO LA OPERATION KUVUNJA MADHABAHU OVU | PALM CHURCH​Bwana Yesu Asifiwe Watu wa Mungu alie Hai.  ​Leo Jumatatu (05...
05/08/2026

HITIMISHO LA OPERATION KUVUNJA MADHABAHU OVU | PALM CHURCH

​Bwana Yesu Asifiwe Watu wa Mungu alie Hai.


​Leo Jumatatu (05 August 2026) tunaingia katika Siku ya 3 na ya Hitimisho ya Ibada Maalumu ya Maombi ya Kuvunja Madhabahu Ovu.

​Njoo uhitimishe na kufunga kabisa sauti, mamlaka, na amri zote za kuzimu. Tutatekeza maagano yote yanayosimama juu yako kutoka katika madhabahu ovu zilizoinuliwa kwa kujua au kutokujua, tangu enzi za mababu zako na vizazi vya kale hadi sasa.

Leo tutasimamisha MADHABAHU YA DAMU YA YESU, damu inenayo mema (Waebrania 12:24):
​🩸Inayoondoa Laana ➔ Kunena Baraka
​🩸Inayoondoa Kufeli ➔ Kunena Ushindi
​🩸Inayoondoa Kudharauliwa ➔ Kunena Heshima
​🩸Inayoondoa Kilio ➔ Kunena Furaha
​🩸Inayoondoa Huzuni ➔ Kunena Amani
​🩸Inayoondoa Utasa ➔ Kunena Uzao
​🩸Inayoondoa Magonjwa ➔ Kunena Afya Tele
​🩸Inayoondoa Msiba ➔ Kunena Uzima

​📅 Ni Leo Jumatano, 05 August 2026
​⏰ Muda: Saa 11:00 Jioni – Saa 2:00 Usiku (5:00 PM – 8:00 PM)
​📍Mahali: Palm Church — Mbezi Msakuzi, Kwa Lubaba (Kituo cha Mashine, Mtaa wa Makoko, Dar es Salaam)
​🎙️Watumishi: Apostle Kelvin & Prophetess Deborah
​📞 Mawasiliano: +255718521142 / +255718521146

Usikose leo kabisa! Njoo ukiwa na imani na shauku ya kuona ushindi wako ukithibitika

BWANA YESU ASIFIWE, WATU WA MUNGU.​Uongozi wa Palm Church unakukaribisha kwa moyo mkunjufu wewe na familia yako katika I...
01/08/2026

BWANA YESU ASIFIWE, WATU WA MUNGU.

​Uongozi wa Palm Church unakukaribisha kwa moyo mkunjufu wewe na familia yako katika Ibada Kuu ya Jumapili hii, Tarehe 2 Agosti 2026.

​Hii si tu ibada ya kawaida, bali ni Wakati wa Mabadiliko na Mwelekeo Mpya. Tunaingia katika mwezi huu tukiwa na imani kuu kuwa Uwepo wa Bwana utakwenda kugusa, kuponya, kunyoosha njia zako, na kutoa majibu ya maombi yako.

​Njoo ukiwa na shauku kubwa, moyo wa kuabudu, na imani ya kupokea kile ambacho Mungu amekuandalia kwa ajili ya msimu huu mpya.

​📅 Jumapili, 2 Agosti 2026
​⏰ Saa 3:00 Asubuhi (9:00 AM)
​📍Palm Church — Mbezi Msakuzi, Kwa Lubaba (Kituo cha Mashine, Mtaa wa Makoko)
​📞 +255718521142 / +255718521146


​"Usije peke yako, mwalike ndugu, rafiki, au jirani. Hakika uwepo wa Bwana utakuhudumia na hautabaki k**a ulivyokuja"

​Karibuni Sana Nyumbani mwa Bwana.

BWANA YESU ASIFIWE, WATU WA MUNGU ALIYE HAI​Ni matumaini yetu kuwa mnaendelea vyema kabisa, na mkono wa Bwana upo pamoja...
28/07/2026

BWANA YESU ASIFIWE, WATU WA MUNGU ALIYE HAI

​Ni matumaini yetu kuwa mnaendelea vyema kabisa, na mkono wa Bwana upo pamoja nanyi hata sasa.

​Ikiwa unapitia changamoto yoyote hivi sasa, napenda kuktia moyo: Neema ya Mungu inatosha. Katika kila eneo lenye uzito au jaribu, Bwana anasema neema yake inatosha kwako. Muamini, mtumainie, na upeleke hoja zako mbele zake. Yeye ni mwaminifu sana atakutendea kwa kadiri ya mapenzi yake, atazinyoosha njia zako, na kukutenga na kila uovu na muovu.


​Nikukaribishe tena kwa moyo mkunjufu kesho katika Ibada ya Katikati ya Wiki (Wednesday Service) hapa Palm Church. Eneo la kipekee la kukutana na Nguvu za Mungu, mahali ambapo Neno, Maombi, Unabii, na Ukombozi vinapatikana na kuvunja kila kiota cha adui na kuwekwa huru kabisa kwa Jina la Yesu.

​📍Mbezi Msakuzi, Kwa Lubaba (Kituo cha Mashine, Mtaa wa Makoko)
⏰ Saa 11:00 Jioni
📞 Mawasiliano: +255718521142 / +255718521146

Usipange kukosa ibada hii ya kipekee. Njoo ukiwa na imani, shauku, na moyo wa kupokea. Hakika utarudi ukiwa na ushuhuda wako.

​Karibu Sana.

BWANA YESU ASIFIWE SANA, WANA WA MUNGU ALIE HAI.  ​Amani na neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Tuna...
27/07/2026

BWANA YESU ASIFIWE SANA, WANA WA MUNGU ALIE HAI.


​Amani na neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Tunapoanza Jumatatu hii na wiki hii mpya kabisa, tukiwa katika siku za kuelekea kukamilisha mwezi huu wa Saba na kuuingia Mwezi wa Nane, uongozi wa kanisa la Palm Church chini ya uangalizi wa watumishi wa Mungu Apostle Kelvin na Prophetess Deborah, tunawatakia wiki njema yenye ushindi.

Tunatangaza na kuamuru kuwa wiki hii ikawe ni wiki ya Baraka tele, Mafanikio makuu, na Rehema mpya kwenye maisha yenu. Kila kilichokwama au kusuasua katika mwezi wa saba kikapate UKAMILIFU na MAJIBU ya haraka. Ukakutane na ushuhuda wako wa kipekee wiki hii katika Jina la Yesu Kristo

🗓️ RATIBA YA IBADA ZA WIKI HII (SAVE DATES):

​1️⃣ Ibada ya katikati ya wiki Jumatano (Wednesday Service)
Siku: Kesho Kutwa Jumatano, Tarehe 29 July 2026
Muda: Saa 11:00 Jioni
Mahali: Palm Church, Mbezi Msakuzi, Kwalubaba (Kituo cha Mashine, Mtaa wa Makoko).

​2️⃣ Mkesha Mkubwa wa Kuvuka Mwezi (Night of Breakthrough)
Siku: Ijumaa, Tarehe 31 July 2026 (Siku ya Mwisho wa Mwezi)
Muda: Kuanzia Saa 4:00 Usiku
Lengo: Kuvuka salama na kwa nguvu kuelekea mwezi mpya wa Agosti tukiwa madhabahuni

Mungu wetu anatenda kazi siku zote. Sogeza na ndugu, marafiki na majirani waje kupokea baraka zao.

​📞 Mawasiliano & Maombi: 0718521142 / 0718521146
📧 Email: [email protected]

Address

Ilala
Dar Es Salam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KD Ministry Institute posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to KD Ministry Institute:

Shortcuts

Share