Dar es salaam School of Journalism and Social Sciences - DSJSS

Dar es salaam School of Journalism and Social Sciences - DSJSS We are a Full Accredited College established in 1998 and registered by the National Council for Technical Education (NACTE) on the 4th April, 2003.

Tuna uhakika wa kukupa unachostahili ndani ya wiki mbiliTimu yetu ya Wabobevu itakupa weledi wa kuifanya michezo iwe ni ...
23/08/2026

Tuna uhakika wa kukupa unachostahili ndani ya wiki mbili

Timu yetu ya Wabobevu itakupa weledi wa kuifanya michezo iwe ni sehemu yako ya kujidai kwenye Tasnia ya Habari.

📅 Muda mfupi | 💰 Ada nafuu | 📜 Cheti kinatolewa

📞 Tupigie | WhatsApp | SMS: 0655573294 | 0677025472 | 0677025476 | 0677025478
🌐 Apply online: www.dsj.uti.tz

16/08/2026
30/07/2026

SIFA ZA KUJIUNGA NA MASOMO

“CERTIFICATE (MWAKA MMOJA)”
Mwombaji awe amehitimu kidato cha nne (IV) kwa ufaulu wa angalau D nne (4). au amehitimu masomo katika ngazi ya NVA 3.

“DIPLOMA (MIAKA MIWILI)”
Mwombaji awe amehitimu kidato cha sita (VI) kwa ufaulu wa angalau “Principal” moja na “Subsidiary” moja. Au awe amehitimu “Certificate” ya kozi husika au kozi yoyote inayofanana na kozi husika pia awe ana “GPA” ya kuanzia 2.0 na kuendelea kutoka katika chuo kinachotambulika na serikali.

Tupigie|SMS|WhatsApp:
0655573294 | 0677025472 | 0677025476 | 0677025478
Ku *“Download”* Fomu Zetu au kufanya maombi "Online" Tembelea Tovuti yetu: www.dsj.uti.ac.tz

21/07/2026

REPOST FROM Kaniki Brown

RIPOTA LEO: Nimepata nafasi ya kutembelea Chuo cha Uandishi wa Habari cha DSJ, chenye kampasi ya Ilala na makao makuu yake yaliyopo Kiluvya, ambapo uongozi wa chuo umetangaza ofa maalum kwa wanafunzi wanaotamani kujiunga na masomo ya uandishi wa habari.

Kwa mujibu wa taarifa ya chuo, wanafunzi 50 wa kwanza watakaowahi kujiunga watanufaika na punguzo la asilimia 10 ya ada. Uongozi wa DSJ umesema lengo la ofa hiyo ni kuwapa fursa zaidi vijana wenye ndoto za kuwa waandishi wa habari na wataalamu wa mawasiliano kupata elimu kwa gharama nafuu.

DSJ imeendelea kuwakaribisha wahitimu wa kidato cha nne, kidato cha sita na wengine wenye sifa stahiki kufika chuoni kwa ajili ya kupata ushauri na kufanya usajili mapema kabla nafasi hizo hazijaisha.

Kwa wanaotamani kujenga taaluma ya uandishi wa habari, hii ni nafasi muhimu ya kuanza safari yao katika chuo kinacholenga kutoa mafunzo ya vitendo na kuwaandaa wahitimu kwa soko la ajira.

Piga| SMS | WhatsApp: 0655573294 | 0677025472 | 0677025476 | 0677025478

Fanya maombiau pakua fomuya maombi kupitia: www.dsj.uti.ac.tz
.........................................................

Ripota wa Habari za Mikoani ✍ Kaniki Brown
“Endelea kufuatilia kwa taarifa sahihi na za uhakika.
KWA MATANGAZO YA BIASHARA NA HABARI Follow kwa updates zaidi. Kuwasiliana 📞 0622 732 287

Reposted from Kaniki Brown

11/07/2026

WE ARE PROUD OF YOU Kaniki Brown

Kazi zako na jitihada zako zinazungumza zenyewe.

Repost

Mtangazaji wa redio na mwanahabari Awadh Omary Kaniki amesema kuwa kupata tuzo katika umri wake ni jambo lenye thamani kubwa, akieleza kuwa mafanikio hayo yametokana na kujituma, kujifunza kila siku na kujenga uaminifu katika kazi ya uandishi wa habari.

Kaniki amesema tuzo hiyo ni ishara kwamba juhudi zake zimetambuliwa, huku akiwashukuru wadau, wasikilizaji, watazamaji na wote waliomuunga mkono katika safari yake ya taaluma.

Amesema tuzo hiyo inampa nguvu ya kuendelea kufanya kazi kwa weledi, ubunifu na kuwahudumia wananchi kupitia habari zenye ukweli na manufaa kwa jamii.

Aidha, amewahimiza vijana wanaotamani kuingia kwenye tasnia ya habari kutokata tamaa, wakiamini kwamba mafanikio yanapatikana kwa nidhamu, uvumilivu na kufanya kazi kwa bidii.

Credit MSN Tanzania

Watafute Leca building and furniture.........................................................

Ripota wa Habari za Mikoani ✍ Kaniki Brown
“Endelea kufuatilia kwa taarifa sahihi na za uhakika.
KWA MATANGAZO YA BIASHARA NA HABARI Follow kwa updates zaidi. Kuwasiliana 📞 0622 732 287

Address

Ilala Campus: Ilala, Shariff Shamba, Kiluvya Campus: Kisarawe
Dar Es Salaam
25444

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255735573294

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dar es salaam School of Journalism and Social Sciences - DSJSS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share