05/04/2022
Ukiwa na malengo, ukaamini na kuyasimamia kwa juhudi. Hakuna kitakachoweza kukuzuia.
Sisi ni washindi wenye kila sababu ya kukuhamasisha wewe mwenye maono makubwa kusimama na kuyapigania.
Hutajutia.
#2022
04/04/2022
Today is the birthday of the co-founder of
Mary Rusimbi who has served as the Fund’s first Executive Director for over 10 years has officially stepped down from this role but will remain a member of the Board of Trustees.
We wish her well in her next adventure!
02/04/2022
Mwanamke Kinara.
Asante kwa kuendelea kutoa jukwaa hili lenye tija na hamasa kwa vijana na wanawake ndani ya nchi yetu.
💪🏾
Cc
08/03/2022
Ondoa mipaka, usawa wa kijinsia kwa Ustawi wa jamii yetu.
Happy women’s day.
28/02/2022
Deogratias Bwire
( ni mfuko unaondeshwa kutoa misaada mbalimbali kwa mashirika yanayotoa misaada ya kisheria,shirikia hili limezinduliwa mwaka 2011.
Legal Services Facility] inafanya kazi katika maswala manne
1.Kuhakikisha watu wanapata msaada wa kisheria
2.Kutoa msaada wa kisheria 3.Uboreshaji wa mazingira ya ufikiaji wa haki
4.Uwekaji wa Uendelevu wa huduma za msaada wa kisheria upatikanaji wa ruzuku
28/02/2022
Jukumu la kuweka usawa na kutokomeza ukatili wa kijinsia ni letu zote.
Asante kwa viongozi wetu kuwa mstari wa mbele katika kuleta chachu ya mabadiliko haya.
Pichani ni Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalumu Dr. Dorothy Gwajima.
Anne kulaya mkurugenzi wa
Dk Katanta Simwanza
Dr Shashid Mfaume
Tulo Masanja kamishna ustawi wa jamii
28/02/2022
Shikiri kutokomeza ukatili wa kijinsia. Ukatili na udhalilishaji mahali pa kazi sasa basi.
Sisi tukiongozwa na mkurugenzi wetu tunaunga mkono harakati, vipi wewe?
Cc
28/02/2022
Ni furaha kwetu kushiriki kikao cha pamoja na Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalumu Dr. Dorothy Gwajima.
Mkutano huu unaendelea sasa ndani ya ofisi za WiLDAF-Mikocheni 'A'.
Picha wa Pili kutoka kushoto ni mkurugenzi wetu
Akiwa sehemu ya washiriki.
Cc
02/12/2020
Ni siku muhimu Sana kwa wazazi na walezi wote wenye mtizamo chanya juu ya watoto wao au familia yao kwa ujumla.
Usipange kukosa siku hii.
18/11/2020
Uongozi mzima wa TDDo unatoa pongezi nyingi kwa Taasisi yote ya kwa kuandaa na kufanikisha Event nzuri....
18/11/2020
Tuliweza kushirika katika michezo mbalimbali iliyoandaliwa na ili kuweza kuwafundisha watoto wetu kwa vitendo.
18/11/2020
M/Kiti wa TDDo aliweza kushiriki pamoja na Taasisi nyingine katika Event ya watoto na wahitimu wa darasa la Saba iliyoandaliwa na