27/08/2024
Kwa hiyo Yesu ni Mungu Baba au Yesu ni Mwana wa Munguβ,
kwa hiyo hilo neno Mungu,
tuliondoe au tusiliondoe π€β
Maandiko yanasema alizalaliwa
( Mithali 8:24 )
πβWakati visipokuwako vilindi π ,.
Kabla Ya vilindi Yesu anasema yeye alikuwa tayari amezaliwa ,,,,
Je alizaliwa kivipi βοΈ
Karibuni tujengeni ukuta wa Mbinguni.....
β
16/08/2024
Hivi unajua Yesu ni mdanganyifu sana ,kwanini anawapoteza Wakristo βοΈ
Ebu twende ukasikie Udanganyifu huo pale TikTok.
πππππππππ
TikTok Β· Never do combat on mondays
Check out Never do combat on mondaysβs video.
25/05/2024
Ila ulokole ni uongo ambao hata wachawi hawauwezi
TikTok Β· HARD-TALK ππ«π
Check out HARD-TALK ππ«πβs video.
29/04/2024
Mathayo 3
Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―
β΅ Ndipo walipomwendea , na , na za ya Yordani;
βΆ naye katika mto wa Yordani, huku dhambi zao.
katika siku ya ubatizo wa Yohana walihudhuria miji hii π . Yeru-salemu wote
. uyahudi wote
nchi zote zilizoko kando ya Yordani yaani hizi πLebanon, Syria , Israel, Yordani.
na kutoka Yerusalemu Hadi mto Yordani ni 140km sawa na masaa 153.619 Kwa kutembea Kwa Miguu , π
sasa imeandikwa nchi zote walienda kubatizwa, nakuuliza
hivi NCHI za zamani walikuwa wakiishi watu wawili tuπ hivi nchi zaidi ya 4 zote ziende kubatizwa, hivi mkoa mmoja wa Yerusalemu una watu wangapi ,
Bethlehem yote ya uyahudi Ina watu wangapi enzi hizo au walikuwa 10 tuβ π€
sasa niambie k**a hayo mambo ni halisi β Yohana wadhani alikuwa mtu wa namna Gani hata hastahimili kubatiza watu wote nchi zote 4 na Bethlehem na Israel π€β
huoni k**a haiwezekani watu watuana βπ€Mbona kusoma sio kazi , kazi ipo kwenye kutafakari na kufahamu yaliyo andikwa β ππhapa ndipo panawaangusha watu Wengi wenye ROHO MTAKATIFU makanisani ππβͺπ
SOMA UTAFUTE KUFAHAMU ACHA KIBURI WAKATI HUJUI KITU WALA NJIA YA UZIMA..
21/04/2024
K**a Mungu sio mwanamke basi
Hili Andiko ni la biblia ni uongo
Mwanzo 1:26-27
Mungu akaumba mtu Kwa sura na mfano wake Kwa mfano wa mungu alimuumba mwanaume na mwanamke akawaumba...
Wewe kima mfia Dini unasemaje π
β
TikTok Β· HARD-TALK ππ«π
256 likes, 444 comments. βMungu ni mwanamke tena ni mwanaume....... β
08/03/2024
Eti Kuna ubaya nikisema Mungu wa MWAMPOSA amezidi Mungu wa wachungaji wengine tanzania .
Karibu katika Dhehebu LIPI Litatufikisha Mbinguni
Sambaza ujumbe huu .........
15/11/2023
Hata mliookoka mnacheza karata , je
Mnajua maana ya KARATA β
ANAYEJUA SIRI ILIYOJIFICHA KATIKA ATUAMBIE.......
07/11/2023
Eti kwamba kufunga ndoa Kanisani, ndio kushik**ana Kwa ndoa βau ndio mtiririko wa usalama wa ndoa au kudumu Kwa ndoa ,, au ndo kutochepuka au ndio UTAKATIFU, BALI WASIO FUNGA ndio waovu na wachafu au wasio-dumu ndoani β
Shusha comment like page share ... Tujue kinagaubaga ...