Dhehebu LIPI Litatufikisha Mbinguni

Dhehebu LIPI Litatufikisha Mbinguni

Share

A .biblia sio Kweli, Bali Kweli ni Roho ,
B. tusome tujue na
πŸ“– tufahamu..tusomacho katika ROHO daim

27/08/2024

Kwa hiyo Yesu ni Mungu Baba au Yesu ni Mwana wa Mungu❓,
kwa hiyo hilo neno Mungu,
tuliondoe au tusiliondoe πŸ€”β“

Maandiko yanasema alizalaliwa
( Mithali 8:24 )
πŸ‘‰β€œWakati visipokuwako vilindi πŸ‘‰ ,.
Kabla Ya vilindi Yesu anasema yeye alikuwa tayari amezaliwa ,,,,
Je alizaliwa kivipi ⁉️

Karibuni tujengeni ukuta wa Mbinguni.....
β€”

TikTok Β· Never do combat on mondays 16/08/2024

Hivi unajua Yesu ni mdanganyifu sana ,kwanini anawapoteza Wakristo ⁉️
Ebu twende ukasikie Udanganyifu huo pale TikTok.
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

TikTok Β· Never do combat on mondays Check out Never do combat on mondays’s video.

29/04/2024

Mathayo 3
Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―
⁡ Ndipo walipomwendea , na , na za ya Yordani;
⁢ naye katika mto wa Yordani, huku dhambi zao.


katika siku ya ubatizo wa Yohana walihudhuria miji hii πŸ‘‰ . Yeru-salemu wote
. uyahudi wote
nchi zote zilizoko kando ya Yordani yaani hizi πŸ‘‰Lebanon, Syria , Israel, Yordani.
na kutoka Yerusalemu Hadi mto Yordani ni 140km sawa na masaa 153.619 Kwa kutembea Kwa Miguu , πŸ˜†
sasa imeandikwa nchi zote walienda kubatizwa, nakuuliza
hivi NCHI za zamani walikuwa wakiishi watu wawili tuπŸ˜„ hivi nchi zaidi ya 4 zote ziende kubatizwa, hivi mkoa mmoja wa Yerusalemu una watu wangapi ,
Bethlehem yote ya uyahudi Ina watu wangapi enzi hizo au walikuwa 10 tu❓ πŸ€”
sasa niambie k**a hayo mambo ni halisi ❓ Yohana wadhani alikuwa mtu wa namna Gani hata hastahimili kubatiza watu wote nchi zote 4 na Bethlehem na Israel πŸ€”β“
huoni k**a haiwezekani watu watuana β“πŸ€”Mbona kusoma sio kazi , kazi ipo kwenye kutafakari na kufahamu yaliyo andikwa ❗ πŸ˜„πŸ˜†hapa ndipo panawaangusha watu Wengi wenye ROHO MTAKATIFU makanisani πŸ‘‰πŸ’’β›ͺπŸ’’
SOMA UTAFUTE KUFAHAMU ACHA KIBURI WAKATI HUJUI KITU WALA NJIA YA UZIMA..

TikTok Β· HARD-TALK πŸ‡πŸ«πŸž 21/04/2024

K**a Mungu sio mwanamke basi
Hili Andiko ni la biblia ni uongo
Mwanzo 1:26-27
Mungu akaumba mtu Kwa sura na mfano wake Kwa mfano wa mungu alimuumba mwanaume na mwanamke akawaumba...
Wewe kima mfia Dini unasemaje πŸ˜…β“

TikTok Β· HARD-TALK πŸ‡πŸ«πŸž 256 likes, 444 comments. β€œMungu ni mwanamke tena ni mwanaume....... ”

08/03/2024

Eti Kuna ubaya nikisema Mungu wa MWAMPOSA amezidi Mungu wa wachungaji wengine tanzania .

Karibu katika Dhehebu LIPI Litatufikisha Mbinguni
Sambaza ujumbe huu .........


15/11/2023

Hata mliookoka mnacheza karata , je
Mnajua maana ya KARATA ❓

ANAYEJUA SIRI ILIYOJIFICHA KATIKA ATUAMBIE.......

07/11/2023

Eti kwamba kufunga ndoa Kanisani, ndio kushik**ana Kwa ndoa ❓au ndio mtiririko wa usalama wa ndoa au kudumu Kwa ndoa ,, au ndo kutochepuka au ndio UTAKATIFU, BALI WASIO FUNGA ndio waovu na wachafu au wasio-dumu ndoani ❓

Shusha comment like page share ... Tujue kinagaubaga ...

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Website

Address


Mbezi
Dar Es Salaam