Dhehebu LIPI Litatufikisha Mbinguni

Dhehebu LIPI Litatufikisha Mbinguni A .biblia sio Kweli, Bali Kweli ni Roho ,
B. tusome tujue na
📖 tufahamu..tusomacho katika ROHO daim

Kwa hiyo Yesu ni Mungu Baba au Yesu ni Mwana wa Mungu❓, kwa hiyo hilo neno Mungu,   tuliondoe au tusiliondoe 🤔❓Maandiko ...
27/08/2024

Kwa hiyo Yesu ni Mungu Baba au Yesu ni Mwana wa Mungu❓,
kwa hiyo hilo neno Mungu,
tuliondoe au tusiliondoe 🤔❓

Maandiko yanasema alizalaliwa
( Mithali 8:24 )
👉“Wakati visipokuwako vilindi 👉 ,.
Kabla Ya vilindi Yesu anasema yeye alikuwa tayari amezaliwa ,,,,
Je alizaliwa kivipi ⁉️

Karibuni tujengeni ukuta wa Mbinguni.....

Hivi unajua Yesu ni mdanganyifu sana ,kwanini anawapoteza Wakristo ⁉️Ebu twende ukasikie Udanganyifu huo pale TikTok.👇👇👇...
16/08/2024

Hivi unajua Yesu ni mdanganyifu sana ,kwanini anawapoteza Wakristo ⁉️
Ebu twende ukasikie Udanganyifu huo pale TikTok.
👇👇👇👇👇👇👇👇👇

Check out Never do combat on mondays’s video.

Ila ulokole ni uongo ambao hata wachawi hawauwezi
25/05/2024

Ila ulokole ni uongo ambao hata wachawi hawauwezi

Check out HARD-TALK 🍇🫐🍞’s video.

Mathayo 3 ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯⁵ Ndipo walipomwendea  , na  , na   za   ya Yordani;⁶ naye   katika mto wa Yordani, huku   dhambi za...
29/04/2024

Mathayo 3
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁵ Ndipo walipomwendea , na , na za ya Yordani;
⁶ naye katika mto wa Yordani, huku dhambi zao.


katika siku ya ubatizo wa Yohana walihudhuria miji hii 👉 . Yeru-salemu wote
. uyahudi wote
nchi zote zilizoko kando ya Yordani yaani hizi 👉Lebanon, Syria , Israel, Yordani.
na kutoka Yerusalemu Hadi mto Yordani ni 140km sawa na masaa 153.619 Kwa kutembea Kwa Miguu , 😆
sasa imeandikwa nchi zote walienda kubatizwa, nakuuliza
hivi NCHI za zamani walikuwa wakiishi watu wawili tu😄 hivi nchi zaidi ya 4 zote ziende kubatizwa, hivi mkoa mmoja wa Yerusalemu una watu wangapi ,
Bethlehem yote ya uyahudi Ina watu wangapi enzi hizo au walikuwa 10 tu❓ 🤔
sasa niambie k**a hayo mambo ni halisi ❓ Yohana wadhani alikuwa mtu wa namna Gani hata hastahimili kubatiza watu wote nchi zote 4 na Bethlehem na Israel 🤔❓
huoni k**a haiwezekani watu watuana ❓🤔Mbona kusoma sio kazi , kazi ipo kwenye kutafakari na kufahamu yaliyo andikwa ❗ 😄😆hapa ndipo panawaangusha watu Wengi wenye ROHO MTAKATIFU makanisani 👉💒⛪💒
SOMA UTAFUTE KUFAHAMU ACHA KIBURI WAKATI HUJUI KITU WALA NJIA YA UZIMA..

K**a Mungu sio mwanamke basi Hili Andiko ni la biblia ni uongo Mwanzo 1:26-27    Mungu akaumba mtu Kwa sura na mfano wak...
21/04/2024

K**a Mungu sio mwanamke basi
Hili Andiko ni la biblia ni uongo
Mwanzo 1:26-27
Mungu akaumba mtu Kwa sura na mfano wake Kwa mfano wa mungu alimuumba mwanaume na mwanamke akawaumba...
Wewe kima mfia Dini unasemaje 😅❓

256 likes, 444 comments. “Mungu ni mwanamke tena ni mwanaume....... ”

Eti Kuna ubaya nikisema Mungu wa MWAMPOSA amezidi Mungu wa wachungaji wengine tanzania .Karibu katika Dhehebu LIPI Litat...
08/03/2024

Eti Kuna ubaya nikisema Mungu wa MWAMPOSA amezidi Mungu wa wachungaji wengine tanzania .

Karibu katika Dhehebu LIPI Litatufikisha Mbinguni
Sambaza ujumbe huu .........

Hata mliookoka mnacheza karata , je Mnajua maana ya KARATA ❓ANAYEJUA SIRI ILIYOJIFICHA KATIKA   ATUAMBIE.......
15/11/2023

Hata mliookoka mnacheza karata , je
Mnajua maana ya KARATA ❓

ANAYEJUA SIRI ILIYOJIFICHA KATIKA ATUAMBIE.......

Eti kwamba kufunga ndoa Kanisani, ndio kushik**ana Kwa ndoa ❓au ndio mtiririko wa usalama wa ndoa au kudumu Kwa ndoa ,, ...
07/11/2023

Eti kwamba kufunga ndoa Kanisani, ndio kushik**ana Kwa ndoa ❓au ndio mtiririko wa usalama wa ndoa au kudumu Kwa ndoa ,, au ndo kutochepuka au ndio UTAKATIFU, BALI WASIO FUNGA ndio waovu na wachafu au wasio-dumu ndoani ❓

Shusha comment like page share ... Tujue kinagaubaga ...

Address

Mbezi
Dar Es Salaam

Telephone

+255717194571

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dhehebu LIPI Litatufikisha Mbinguni posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Dhehebu LIPI Litatufikisha Mbinguni:

Shortcuts

Share

Category