28/11/2020
Habari njema kwa wakazi wa Dar es salaam. . .
NYOTA ACADEMY tunakutangazia kuwa tumeanza kufundisha masomo ya kidato cha TATU kwa vijana waliomaliza kidato cha PILI mwaka huu...
Bei zetu ni nafuu sana...
Tunapatikana Buguruni rozana jirani na chuo cha ufundi cha Bruno.
Kwa mawasiliano zaidi tupigie kupitia ....
0757670986 /
0712152528 /
0621023893 .