YPIT Consultancies

YPIT Consultancies Education consultancy for Abroad universities
Secure up to 70% scholarships ๐Ÿ‘ฉโ€๐ŸŽ“๐Ÿ“š

20/08/2026

Kusoma nje ya nchi ni kujifunza zaidi ya darasani.

Kuelewa tamaduni, kuheshimu tofauti na kuzoea mazingira mapya ni sehemu ya safari ya mwanafunzi.

Ukiwa kwao, kua k**a wao.
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

15/08/2026

100+ admissions achieved! ๐ŸŽ‰๐ŸŒ

Behind every admission is a dedicated team working tirelessly to turn studentsโ€™ dreams of studying abroad into reality.

And yesโ€ฆ weโ€™re celebrating! ๐Ÿ’ƒ๐Ÿ•บ๐Ÿ”ฅ

But the goal doesnโ€™t stop at 100. Weโ€™re even more motivated to assist, guide, and help more students secure opportunities to study abroad.

100 admissions down. More dreams to fulfil. More journeys to begin, ADMISSIONS STILL OPEN
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

12/08/2026

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limewataka wanafunzi wanaosoma vyuo vikuu nje ya nchi kuwa makini na uhifadhi wa vyeti vyao halisi wakati wanapoenda kusoma nje ya Tanzania

๐Ÿ“œ Afisa wa Masuala ya Vyeti, Mohamed Semsue, amesisitiza kuwa nyaraka hizi halisi ni muhimu unaporejea nchini pale zinapohitajika kuthibitisha elimu yako

Naye Mkurugenzi wa STUDY ABROAD WITH YPIT CONSULTANCIES Shedrack Masine, amesisitiza umuhimu wa wanafunzi kufuata taratibu zilizowekwa na nchi pindi wanapoomba vyuo nje ya nchi. Hatua hii itasaidia kuepuka upotezaji wa muda na gharama katika vyuo visivyo na sifa wala utambuzi wa kisheria.

๐Ÿ“œโœ๏ธ David Nelson Shija _

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

12/08/2026

Fahamu zaidi juu ya CHINA scholarship!

Scholarship haimaanishi unaenda China leo na kuanza kusoma bure, bali kuna mambo kadhaa ya kuelewa kuhusiana na Scholarship za china pamoja na vigezo muhimu.

Kupitia Video hii utafahamu zaidi namna ambavyo unaweza kuwa miongoni mwa wanufaika wa Scholarship.

05/08/2026

Most of Graduates donโ€™t understand on how is China Diploma.

Weโ€™ve prepared you with a brief awareness and insights on China Programs also highlighting on;
- Diploma opportunities,
- Scholarships,
- and how a diploma can easily lead a graduate to a bachelorโ€™s degree.

Watch the highlights and discover your pathway to studying abroad. ๐ŸŒโœจ

๐Ÿ“ž+255 769 227 898
๐Ÿ“Posta, NIC Investment house - 4th floor

03/08/2026

Umehitimu Form Six kwa combination za Arts k**a HKL, HGE, HGL au EGM?

Kwa wewe muhitimu wa Arts usifikirie kuwa fursa za kusoma nje ya nchi ni za wanafunzi wa Sayansi pekee,
Karibu YPIT ili tuweze kupatia mwongozo wa kuchagua kozi zinazokufaa pamoja na fursa za Scholarship katika vyuo mbalimbali duniani.

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi: +255 769 227 898
๐Ÿ“ Posta, NIC Investment House, Ghorofa ya 4.

Imekuwa ni siku ya kipekee kwetu YPIT kwani tumepata wasaa wa kukutana na wanafunzi pamoja na wazazi wao katika Pre-Depa...
01/08/2026

Imekuwa ni siku ya kipekee kwetu YPIT kwani tumepata wasaa wa kukutana na wanafunzi pamoja na wazazi wao katika Pre-Departure Training iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwaandaa kabla ya kuanza safari yao ya masomo nje ya nchi.

Kupitia mafunzo haya, tumegusia masuala muhimu kuhusu maandalizi ya safari, maisha ya mwanafunzi akiwa ugenini, pamoja na ushauri utakaowasaidia katika safari yao ya masomo ugenini.

Tunawashukuru wazazi na wanafunzi wote kwa ushiriki wao na tunawatakia safari njema pamoja na mafanikio makubwa katika masomo yao.

29/07/2026

Habari njema kwa wale wanaohitaji kusoma nje ya nchi.
Tumewaandalia mafunzo ya muongozo wa safari (Pre - Departure Training) kwa wanafunzi wetu wanaotarajia kuanza safari zao za kimasomo.

Hivyo tunawakaribisha na wale wote wenye uhitaji wa;
- Muongozo wa kuchagua fani (Course) za kusoma vyuoni.
- Usaidizi wa kuchagua vyuo vikuu nje ya nchi.
- Usaidizi wa kupata ufadhiri (Abroad Scholarship) kwa vyuo vikuu nje ya nchi.
- Bila kusahau udahili wa vyuo papo kwa hapo (Onspot admissions)

Siku: 01/08/2026
Mahali: Stanbic Bank - Biashara Equbeter

Thibitisha ushiriki wako kwa kubonyeza link hii
https://forms.gle/nJ4wUR6g38BH6ki79

WE ARE HIRING.Send your CV through administrator@ypitconsultancies.com & whatsapp (+255 794 280 200) before 29th JULY 20...
26/07/2026

WE ARE HIRING.

Send your CV through [email protected] & whatsapp (+255 794 280 200) before 29th JULY 2026.

18/07/2026

Timu yetu ya wataalamu bado ipo kuwahudumia wakazi wa Zanzibar na maeneo ya jirani, fika sasa kwenye banda la YPIT hapa viwanja vya Mnazi Mmoja - Zanzibar ili kupata;

- Fursa za Ufadhiri wa masomo nje ya nchi (Scholarship).
- Muongozo na usaidizi kwenye kuchagua fani (course) za kusoma kwa wahitimu wote.
- Udahili wa vyuo papo hapo (Onspot admissions)
- Huduma za kupata Passport za kusafiria pamoja na VISA.

Address

POSTA NIC INVESTMENT HOUSE
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when YPIT Consultancies posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to YPIT Consultancies:

Shortcuts

Share