08/11/2018
https://youtu.be/ra5ZsA0JHCE
THE RAINBOW: Baba aliniacha/Nilifanya uchafu/Niliolewa ndoa ya kitapeli ili nipate mtaji
Maisha ni kitabu ila kila mmoja ana kurasa zake anazopitia,THE RAINBOW ni kipindi kinachokuletea historia za watu mbalimbali wakishare na wewe maisha waliyop...
10/07/2018
Makala mpya toka CJ DOCUMENTARY
Kuipata na kuwa wa kwanza comment neno
comments zikifika mia naiweka hapa ruksa kushare
CJ DOCUMENTARY
***Knowledge that matters***
19/04/2017
ANGALIA PICHA HIZI PICHA MBILI KWA MAKINI...
Hv kweli niache kuangalia fast and furious 8 niangalie tumbo la JB!?
Bongo movie siasa itawaua na njaa zenu filamu mbovu story ikianza tu unajua itaisha vipi!?
Sasa hvi mnafanya seasons kisa mmeona zinauza ila bado story mbovu waigizaji uhalisia hakuna
Ray bado anapayuka kwenye movie kila siku Jb naye kubadilika hataki kila filamu yeye anawaka tu
Mzee magari ukimuona kwenye movie yeye jambazi au katili tu,Mhogo Mchungu ndevu hanyoi yani inshort filamu ya mwaka 2010 haina tofauti na ya mwaka 2017 kinachobadilika ni majina tu....
Jifunzeni jaman acheni kuandamana kisiasa
BONGO MOVIE HATA KUIGIZA KUNA CHETI KASOMENI KWANZA
08/04/2017
HALAFU BADO WANATUFUNDISHA AMANI
Juu ni nyumbani kwa kijana aliyetumwa na Bash*te kuandika wimbo wa kuwapumbaza wa Tz chini hapo ni kwetu sisi tukidai haki wanatishia amani,hv nan ana power na mamlaka c wao wao ndio watavunja amani cyo sisi......tunamtaka Roma
09/03/2017
Genius people finds unique answers
03/03/2017
Mti mrefu baran Africa wagundulika moshi..
Unafahamika kwa jina la mkukusu...
Una urefu wa mita 90
Upo katika hifadhi ya mlima Kilimanjaro,Una umri zaidi ya miaka 600...
Unazungumziaje umri wa mti huu?