Ace Schools

Ace Schools “Where talents meet excellence”

24/12/2023

Je wewe ni mzazi unayehangaika mwanao asikae tu nyumbani ndani ya likizo hii??

Ace Schools wamekuandalia program ya *TAEKWONDO FOR KIDS* ambayo inalenga kuwapa mafunzo ya ukakamavu na nidhamu watoto jinsia yoyote katika kipindi chote cha likizo.

Faida za Taekwondo kwa watoto
-Kuimarika kwa afya pamoja na uwezo wa akili kupitia mazoezi
-Kujifunza kanuni za maadili na nidhamu
-Kujiamini na kujenga ujasiri hata watakapokabiliana na changamoto mbalimbali
-Kujenga ushirikiano
-Kujifunza uvumilivu na kupenda kushinda.
-Humsaidia kuwahi kujitambua

Usiruhusu mwanao akae tu nyumbani ni hatari kwa future yake, Mlete leo Ace school tumpe mafunzo na mbinu mbalimbali zitakazo msaidia maishani.
Tunapatikana tabata kimanga,kwa swai mnarani

Wasiliana nasi:0718 528 821

24/12/2023

Step into a world of martial arts excellence as our students showcase their incredible skills in this dynamic Taekwondo practice session!

From powerful kicks to flawless forms, witness the dedication and discipline that make each moment extraordinary.

Join us on a journey of martial arts mastery and be inspired by the precision, focus, and sheer brilliance of our Taekwondo stars. Like, share, and subscribe to stay tuned for more thrilling moments from our academy! 🥋✨

Address

Tabata Kimanga, Kisukuru
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ace Schools posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category