Non Governmental Primary Schools Organisation (NGOPSO)

Non Governmental Primary Schools Organisation (NGOPSO) NGOPSO

Is a Non- Governmental Primary Schools Organization that deals with Private schools in Tanzania in terms of Academic performances and other matters pertaining education in Private Schools in Tanznia

02/09/2023

Kwa sisi wahenga
1. Wali na nyama ilikuwa ni kwa ajili ya chrismas au tukio fulani la kusherehekea

2. Mpira wa miguu half time ilikuwa inaamuliwa na idadi ya magoli, kwa mfano bao tatu geugeu. Msipofungana no half time.

3. Jezi ilikuwa timu moja kuvua mashati na nyingine kuvaa.

4. Njumu hazikuwa zinaruhusiwa uwanjani.

5. Goli likizidi kimo cha kipa siyo goli.

6. Penalt inaweza kutengwa hata k**a faulo imefanyika katikati ya kiwanja ilimradi ni faulo mbaya.

7. Wachezaji wote ni waamuzi wenye kushawishi kwa kelele zaidi hushinda

8. Mwenye mpira lazima apewe namba.

9. Mpira utaisha kwa sababu tatu. Mwenye mpira kuitwa nyumbani, giza kuingia au ngumi

10. Kulikuwa na nguo rasmi za jumapili na ndiyo siku ambayo kila mtu ataoga.

Nikumbusheni mengine.

Muhenga Moses

NEWS FROM MOFETWakala rasmi wa vitabu vya taasisi ya Elimu Tanzania. Pata vitabu kwa idadi unayotaka kutoka kwetu. Tupo ...
09/01/2023

NEWS FROM MOFET

Wakala rasmi wa vitabu vya taasisi ya Elimu Tanzania. Pata vitabu kwa idadi unayotaka kutoka kwetu. Tupo Mwenge Mpakani, huna sababu ya kwenda kuibiwa Kariakoo. Tuna vitabu vya kampuni nyingine pia KBP, MEP, LONGHORN, APE na wengine.

Tunaaminika, mikoani tunatuma. Tupigie 0714414282, au 0767414284

Karibu tushiriki sote
05/07/2022

Karibu tushiriki sote

28/10/2012

Mambo ya ajira za walimu kwenye Ngopso yawekwe hapa

Address

P. O. Box 75875 Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Non Governmental Primary Schools Organisation (NGOPSO) posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category