Kantalamba boyz high school

Kantalamba boyz high school Kanta boyz never stand alone .....

๐Ÿฝ ๐Ÿฉ Chaza au Makabaa๐ŸŽ“
14/11/2020

๐Ÿฝ ๐Ÿฉ Chaza au Makabaa๐ŸŽ“

Mtaje unaemjuaMimi naanza na Yona philimon and Sugwejo Sugwejo๐ŸŽ“
29/09/2020

Mtaje unaemjua

Mimi naanza na Yona philimon and Sugwejo Sugwejo๐ŸŽ“

2013
21/09/2020

2013

This is Kantalamba School Song: Kantalaaamba Kantalaambaa ivi ndo inaimbwaje eti?Nataka nione k**a shule yetu ina mageni...
17/09/2020

This is Kantalamba

School Song: Kantalaaamba Kantalaambaa ivi ndo inaimbwaje eti?

Nataka nione k**a shule yetu ina magenius wengi nahitaji tufikishe comment 500 na likes 1k ili tuvunje rekodi za shule nyengine zinzotaka shindana nasi wajue Kanta boyz sio wa levo yao wakacheze wanapochezaga

Comments: 500
Likes: 1k

Hivi jikoni maji yalikua yanajazwaje vileeee ๐ŸŽ“๐Ÿšฟ
15/09/2020

Hivi jikoni maji yalikua yanajazwaje vileeee ๐ŸŽ“๐Ÿšฟ

29/07/2020
 : Rais John Pombe Magufuli ametangaza kufariki kwa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa. โ€ฌโ€ชMwenyezi Mungu ailaze roho ya...
24/07/2020

: Rais John Pombe Magufuli ametangaza kufariki kwa Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa. โ€ฌ

โ€ชMwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.โ€ฌ

โ€ชHabari zaidi zitakujia hivi punde. โ€ฌ

Neno moja kwakeNani huyoooooNani alieshangaa kashika ndoo
26/06/2020

Neno moja kwake

Nani huyooooo

Nani alieshangaa kashika ndoo

USILETE UTANI KATIKA MAPENZI - Mdada Mmoja alitaka kujua ni kiasi gani anapendwa na mume wake, hivyo akataka kujua mumew...
20/06/2020

USILETE UTANI KATIKA MAPENZI

- Mdada Mmoja alitaka kujua ni kiasi gani anapendwa na mume wake, hivyo akataka kujua mumewe _ atafanya nini endapo ataamua kuondoka na kumuacha!
Mwanamke Huyo akaamua kuandika Barua inayosomeka "Samahani mume wangu, Nimeamua kuondoka na kwenda kuanzisha maisha mapya mbali na wewe" Barua hiyo akaiweka juu ya meza iliyokuwa chumbani
Baadae Jioni, muda wa mumewe kurudi mwanamke Huyo akajificha chini ya Uvungu wa kitanda, mule chumbani mume alipoingia
Akakuta Barua Ile Ipo juu ya meza akaisoma
Kisha akaandika maneno Fulani kwenye Ile Ile Barua, harafu akaanza kuimba imba kwa Furaha huku akiwa anapiga miluzi na akiwa anavua nguo.
Mara akapiga simu na akasikika akisema Hivi *Hello mpenzi nina Raha sana Leo....yule mwanamke nuksi ameondoka mwenyewe bila kumfukuza na kutuachia uwanja jiandae Nakuja * muda Huo huo mume akaondoka
Mwanamke alipokuwa uvunguni akawa analia na kutokwa na machozi akaamua kutoka, huku akiwa amenyong'onyea na ameloa mashavu kwa machozi
Akasogea pale ilipo barua na akataka kujua mumewe aliandika kitu gani kwenye Ile Barua !! Akakuta maneno haya " Nimekuona miguu yako upo chini ya Uvungu tafadhali Andaa chakula nina Njaa Sana
Mumeo ila Nimetoka kidogo nafuata maziwa nilisahau kupitia. Nakupenda mke wangu...
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
-Hivi Nani kampatia mwenzake ??

Mi namjua k**a  Je wewe unamjua k**a nani?
21/03/2020

Mi namjua k**a

Je wewe unamjua k**a nani?

Mtag Unaemjua Mi naanza na  Kikando
21/03/2020

Mtag Unaemjua Mi naanza na Kikando

2014 - 2017Picha kali sana officers wa rushwa from kanta boyz pamoja sana
09/04/2018

2014 - 2017
Picha kali sana officers wa rushwa from kanta boyz pamoja sana

Address

Mabibo
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kantalamba boyz high school posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Kantalamba boyz high school:

Shortcuts

Share

Category