19/04/2024
jamani pamoja nakuwa tunahitaji kuwa na pesa nautajiri lkn usiokoke kwakuwa unataka hela okoka kwasababu umechoshwa na maisha ya dhambi na unataka kuishi maisha yanayompendeza Mungu...maana baada ya kuwa na maisha haya kuna maisha mengine bora kuliko haya na usidanganyike kwamba ukipata pesa ndio umemaliza bado huwezi kutoshezwa k**a huna Yesu dhiki haita isha