kila mtu huwa na wazo ambalo ulipata kwa ajili ya maisha yake katika shighuli mbalimbali.
Kuna mtu alishawahi kusema mpaka umeliwaza Hilo wazo basi unaliweza. Kitu kinachotufanya tusijiamini katika mawazo yetu tuliyoyapanga kichwani ni matumaini (hope).....
Matumaini ufananishwa na ndoto tulizonazo kwasababu husipokuwa na matumaini huna ndoto maana yake husipokuwa na matumaini huwezi kutimiza ndoto zako.... Matumaini huja kwa mtu mwenye ndoto.. Na kumfanya ajiamini na kujiamini kwake umfanya afikirie na apate njia kwa muda mchache ya kutimiza ndoto.. yake
Akili hisiyokuwa na mawazo huwaza haraka Sana na kutatua jambo kwa muda mfupi..... Ukijiamini akili haiwezi kuwa na mawazo.
Kumbuka.
upelekea ndipo akili upata kwa urahisi....
Hadithi online
Kwa hadithi na quotes na burudani tofauti fuatilia ukurasa huu
Hope and dreams fire tomorrow usikose kesho au kufuatilia ukurasa huu
Kuishi ukiongozwa na matumaini sio dhambii au kosa, kwann? Usikose kujua,,, usiku mwema watu wake god
Quote of the day (Nukuu ya siku)
"i walk slowly but i don't walk backward"
"natembea taratibu lakini sitembei kurudi nyuma "i
Nukuu hii ilisemwa na abraham Lincoln yule wa democracy k**a mnamkumbuka mliosoma civics au general study kwa wengine sjui yaani nyie wa chuo na wengine mlimsikiaga sikiaga
Rahisi sana k**a nukuu ulivyo inatupasa kutokuwa na pupa pupa ya maendeleo ni mdogo mdogo kwani ni bora ufanye mambo taratibu ila unasonga mbele kuliko kuenda haraka halafu hauendelei,,,
Mbuyu ulianza k**a mchicha.........
Mungu ndie kiongozi wetu hisimsahau
Utapitwa na vingi k**a utaikaushia au kuiminyiia kiaina like ukurasa wa hadithi online comment post zilizowekwa utajibiwa na utaelewa zaidi hatuwez kukuacha nyuma mpaka kieleweke na pia share wenzako wajifunze haulipiii ni buuuuure kwanini ukose...........
Mambo rafiki, wana na wote mnaofuatulia vitu mbalimbali vinavyoendelea katika ukurasa huu wa hadithi online.... Leoi tutajifunza uhusiano wa vitu vitatu muhimu ikiwa ni kujiamini , uhuru na furaha
Vitu hivi ni muhimu sana katika kufanya shughuli zetu za kila siku ili tuweze kufanikiwa. Unaweza ukajiuliza kivipi? Ni k**a hivi inashauriwa sana watu kufanya mambo au shughuli au kazi wanayopenda. Kwa sababu lazima utajiamini pale utakapoifanya na kujiamini kwako kutakupa uhuru wa kuifanya na mwishowe utakuwa na furaha kuifanya.
Umeona sasa,,,,,, inasemekana watu ambao wana vitu vyote hivi katika shughuli zao ufanya vizur zaid kuliko zile wasizokuwa na vitu hivyo vitatu.... Na haziwez kuwa bora zaid...
Mwisho fuata kile moyo unapenda mfano hasanali mwanamitindo mzuri na maarufu sana alisomea udaktari kitu kinachoheshimika sana lakini bado uanamitindo ulimwita kwahiyo hujachelewa bado unaweza fanya kitu unachokipenda ikiwa bado ungali hai.....
Na kikawa kizuri saaaaaaana
Tumtangulize mwenyezi mungu kila iitamwapo leo nae atatufanikisha........ Siku njema
23/09/2016
Yule Mwanamke aliposikia lile alimtazama kwa jicho kali.. "khamis utanikela embu nipo hivyo viatu niondoke zangu ", aliongea kwa hasira " nisamehe dada yangu kiukweli sipendi kazi unayofanya ".
" ndio iliyookupa mtaji "
" bhasi yaishe " Khamis alifunga viatu kwenye mfuko na kumpa. Yule mwanamke alivipokea kwa hasira na kuondoka. " kuna nini? ", aliuliza Mwanamke mwingine ambaye alifika tu baada ya wa mwanzo kuondoka. " nimemboa tyu si unajua utani utani "
" mpenzi nawe umezidi unapenda kumuuzi dada yako "
" mimi na dada salha tunajuana bwana mara ngapi tunagombana na unatukuta tunaongea "
Yule mwanamke alitabasamu kisha akamjibu " na kweli mnajuana ndio maana siingiliagi ugomvi wenu maana nitaumbuka bure "
Katika jiji la dar es salaam khamis alikuwa na ndugu mmoja nae ni salha dada yake. Undugu wao ulikuwa wenye nguvu sana hakuna jambo ambalo hawakushirikishana hata Yale ya kimahusiano hawakuoneana aibu kuelezana. Wala usije kudhani unaweza ukawagombanisha hata k**a mmoja wao alifanya kosa kweli, walilijadili na kusuruhisha wenyewe. Miaka 20 iliyopita chini ya paa la nyumba iliyojengwa katika hali duni maeneo ya mkwajuni illiishi familia ya watu watatu mama na watoto wawili wakiume na wakike. Maisha yao hayakuweza kuyamudu kutokana na kipato cha mama huyo ambaye ndie alikuwa tegemezi la familia. Bado maisha.....
23/09/2016
Siku mpya ilianza kwa jua kuchomoza Tatar I by huku likitoa miale iliyoiangaza ulimwengu. Kila lilivyozidi kupanda juu ndivyo makali ya miale yalizidi. Wakazi wengi wa jiji la dar es salaam waliona k**a jua na dunia vinashirikiana kuwapa maisha magumu. Kwani ili uishi hapo lazima uangaike hapa na pale lakini jua nalo halikuwa nyuma kutokana kutokana miale yake.. Khamis hassan (21) alionekana kutojali ukali wa jua na kuendelea kupanga viatu ardhini tayari kwa kuviuza. Ni mfanyabiashara wa viatu katika kituo cha zamani cha mwenge ambaye mara nyingi aliijali sana biashara yake na kuifanya kwa umakini. Muda mrefu haukupita alifika mwanamke na kukaa kwenye benchi lililokuwa kwenye kivuli cha mwamvuli Mkubwa. "karibu, ", alimkaribisha huku akitabasamu " ahsante, naona mambo sio mabaya.. Yaaan nakukubali hapo tu "
" siwezi kukuangusha "
" kwanza umeniwekea mzigo wangu.? ", aliongea huku akiangalia viatu " nilijua tu ndio ulichofuata"
"Haa kwahiyo unataka hivi viatu umuonge Ashura tu"
"hapana huji kunisaliimia ila kuchukua viatu "
" kumbe usijal nikipata mkwanja wa kutosha tutaenda kula bata pamoja "
" halafu hiyo kazi utaacha lini.? "
Yule mwanamke aliposikia lile alimtazama kwa jicho kali..... itaendelea... Usikose Sehemu ya 2
Habar rafiki
K
Quote ya leo ni
"if you can dream it you can do it"
"k**a unaweza kukiota unaweza kukifanya"
Ina maana ya kwamba k**a una jambo unaloliwaza kulifanya baadae unaweza kulifanya ila inakubidi uliweke katika vitendo au ulifanyie kazi.... Mfano watu wengi wanawaza kuwa matajiri lakini wanawaza tu hawalifanyii kazi na hata k**a wanalifanyia kazi hawafuati yale mambo muhimu ya kufanikisha jambo.......
Mambo muhimu ya kufanikisha jambo? Ndiyo... Yapo ukitaka kujua zaidi fuatilia ukurasa huu kwa maelezo zaidi.
Ahsante sana
05/08/2016
Upangaji wa nguo katika mpangilio mzuriiiiiiii ni kitu kizuri. Usaidia kuchagua nguo kwa urahisi bila kupoteza muda pia kuweza kutambua una upungufu wa nguo gani na za rangi gani.
Unaweza kupanga kwa kuzingatia rangi au aina za nguo. K**a picha zinavyoonyesha
Chanzo:picha_google. Com
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Friday | 18:00 - 23:59 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 14:00 - 16:00 |