stevechampion17

stevechampion17 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from stevechampion17, Education, Dar es Salaam.

Wanangu wa Man U mnajisahau sana kumlinganisha Captain BF na Super Frank.Wanangu, mjue mnayejaribu kumlinganisha naye ni...
26/08/2026

Wanangu wa Man U mnajisahau sana kumlinganisha Captain BF na Super Frank.

Wanangu, mjue mnayejaribu kumlinganisha naye ni mfungaji bora wa muda wote wa Chelsea, mtu aliyefunga mabao 211 akiwa na The Blues, mshindi wa nafasi ya pili kwenye Ballon d’Or mara mbili, Bingwa wa Ulaya, kiungo aliyefunga mabao 177 katika historia ya EPL, Bingwa wa EPL mara 3, na Mchezaji Bora wa EPL mwaka 2005, huu msimu alitoa Assists 18 na mabao 13 na Chelsea ilibeba Epl.

Tafuteni mtu mwingine wa kumlinganisha lakini sio super frank watoto wadogo.

Steve Leonard Champion

26/08/2026

Mungu wa Nathaniel Chilambo 🙏🏿



Credit Simba Sports Club

25/08/2026

Ubishani mkali umeibuka hapa Kipengani leo baada ya Hamisa kusema Enzo Fernandez ni kiungo bora wa Dunia, Eben amepinga vikali kuwa Enzo ni mchezaji wa kawaida.

Unaungana na nani? Je ni kweli Enzo sio World Class Player?

Steve Leonard Champion

Emmanuel John Nchimbi Steve Leonard Champion
25/08/2026

Emmanuel John Nchimbi

Steve Leonard Champion

Ukiwa fundi haswa kwenye mpira raha sana, mnawakumbuka wale masela wakati tunasoma walikuwa wanaubonda sana halafu wator...
25/08/2026

Ukiwa fundi haswa kwenye mpira raha sana, mnawakumbuka wale masela wakati tunasoma walikuwa wanaubonda sana halafu watoro kichizi, skuli hawaonekani hadi siku za mechi na wanapokuja walimu wote wanashangilia sasa ndio Enzo, jana dhidi ya Fulham kiungo cha Chelsea haswa dakika za mwisho kilipoteana, Enzo yuko benchi tuli anawaangalia tu.

Sidhani k**a Xabi alipanga kumchezesha lakini kwa mambo yalivyokuwa yanaenda pale kati hakuwa na budi akamsimamisha mtoto wa Amerika Kusini, mashabiki walizomea lakini mwamba akapiga sana kazi pale kati na game ikaisha kwa ushindi kwa Chelsea.

Xabi aliona nazidiwaje na Enzo yupo? Potelea pote ingia kapige kazi kijana wangu.

25/08/2026

Nani amepatia kati ya Amisa Abdulrahman na Isihaka Nyamihasi

Nani Bingwa wa Epl msimu huu?

Steve Leonard Champion

25/08/2026

Kifo cha Marc-Vivien Foé  🫩

Chelsea tafuteni Kipa huyu tapeli hatowafikisha popote.Steve Leonard Champion
24/08/2026

Chelsea tafuteni Kipa huyu tapeli hatowafikisha popote.

Steve Leonard Champion

Mshkaji anacheza mpira Simple sana, hana papara, hakuna mijasho wala nini, anakimbia ki Star, anaucheza mpira huku moyon...
24/08/2026

Mshkaji anacheza mpira Simple sana, hana papara, hakuna mijasho wala nini, anakimbia ki Star, anaucheza mpira huku moyoni anasema mimi naujua huu, yani kila nikimuangalia ananikumbusha mbali sana kipindi nacheza, hadi sasa huu ndio usajili bora wa Dirisha kubwa, Wananchi huyu mtu wazee.

Steve Leonard Champion

Shabiki la Yanga tuma salama kwa mwanao yoyote yule ambaye ni Adui wa Yanga 😂Steve Leonard Champion
24/08/2026

Shabiki la Yanga tuma salama kwa mwanao yoyote yule ambaye ni Adui wa Yanga 😂

Steve Leonard Champion

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when stevechampion17 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category