Jiandae kwa wakati unaofaa na usiofaa
MWS Updates
Ninatoa Elimu Kuhusu Maendeleo Binafsi, Uwezo wa Kuongea Kwenye public(hadhara), uwezo wa kuongea kwenye interview(usaili) na Kukuongezea uwezo wa kujiamini
Kabla Mwaka 2023 haujaisha jitahidi usome hivi vitabu 👇👇👇
11/09/2023
Take it...!! ✍️✍️
25/07/2023
You Can Now Message Us Directly To WhatsApp By Clicking The Link Below This Post
01/07/2023
UNIVERSITY
3 Things You Must Do in The Digital World Before and After You Leave the University Inorder to Live Poverty Free
1. Find Your Passion, Capture One Skill and Specialize On It
There are different skills which supports living and far more to growingrich eq Programming, Canva, Forex, Microsoft, Freelancing, Copywriting, Public Speaking, Digital Content Creation, Adobe Creative siklls, etc
Nowdays aproximately 65% of opportunities are found online
By having the above skills you can grow your brand easily, increase your reputation and get hired at big companies as a corporate freelancer
The above skills are so promising in the digital word when it comes to earning a significant amount
It is up to you to take time and learn the above skills , Many people have grown their wealth from becoming freelancers.
Take one step ahead, you got every resource on your hands, never hesitate, tranquilize or proscratinate
2. Learn to Do Business Both Offline And Online,
Offline
If you have a limited capital, start as a middle man by taking goods from the business owner, sell them and give his money back with some percent of profit which comes after bargaining with the customer,
This can first be insured by gaining trust from him
You can gain trust by purchasing every need from him, and by directing customers to him
Everytime the customer gets to the shop let you notify him that you are the one who directed the customer or you can make it by escorting customers to his market point
Everytime you do this you are promising him to make great deals with you.
You must be focused, because it can take a long time, six months to a year
After that stage, you can start to convince the owner to give you certain pack and you will give back the money after selling
That is how you can learn about business offline, not only learning about business but also earning a significant amount of money which can enable you to grow your own business
*_BAADA YA KUPOTEZA CHETI CHA NECTA 4M 4 AU 4M 6 UFANYE NINI??_*
Nimekuwa Nikipokea Maswali Mengi Juu ya Nini mtu afanye k**a amepotelewa na Cheti cha 4m 4 au 4m 6
Kwa Experience Yangu nilishawahi saidia watu kafhaa kupata Vyeti Baada ya Kupoteza either ni 4m 4 au 4m 6
Moja ni rafiki yangu alipoteza cheti cha kuzaliwa na cha form 4 mwaka 2014
Cheti cha kuzaliwa ilikua rahisi tu kwenda office za ustawi wa jamii zilizopo karibu nawe au za RITA unawaambia watakutengenezea kingine
Kimbembe kipo kwenye cheti cha form 4 tuliteseka sana. Kwanza make sure una loss report ya polisi, then weka tangazo la upotevu wa cheti chako kwenye gazeti.
Then chukua hio loss report na tangazo la gazeti nenda office za NECTA dar es salaam, utalipia k**a sikosei Tsh 100k
Utapewa cheti kingine cha form 4 ila pale juu kinaandkkwa “DUPLICATE” wakimaanisha kuwa umepewa copy ya pili. Ondoa shaka cheti hicho kinakubalika kiko sawa tu na kile cha kwanza kasoro maneno “DUPLICATE” pale juu
Changamoto ipo kwenye kukipata sasa, tulifua
https://www.facebook.com/profile.php?id=100083000790937
MWS Updates Ninatoa Elimu Kuhusu Maendeleo Binafsi, Uwezo wa Kuongea Kwenye public(hadhara), uwezo wa kuongea kwenye interview(usaili) na Kukuongezea uwezo wa kujiamini
10/04/2022
This is My page, I will be sharing contents daily
MWS Updates Ninatoa Elimu Kuhusu Maendeleo Binafsi, Uwezo wa Kuongea Kwenye public(hadhara), uwezo wa kuongea kwenye interview(usaili) na Kukuongezea uwezo wa kujiamini
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Address
Dar Es Salaam