30/12/2023
Mkinipenda, mtazishika amri zangu. [16] Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; [17] ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu. Yohana 14:15-17
Roho mtakatifu ni nguzo kubwa katika maisha yenye uhusiano na Mungu.
Kifupi ni kwamba hakuna mtu ambaye amemkataa Roho mtakatifu ambaye anaweza kuwa karibu na Mungu.
Katika video ambayo nimekuwekea link hapo chini utajifunza jambo kuhusu utendaji kazi wa Roho mtakatifu katika maisha ya mwanadamu.
Bonyeza 👇
Roho mtakatifu ni Mungu katika utendaji, suala la yeye kutenda kazi katika maisha ya mwanadamu ni muhimu Kwa kiwango kwamba mwanadamu huyo anakuwa milki ya M...