22/07/2023
Tunakutangazia nafasi za KAZI ya Mwl wa Bible Knowledge kwa kidato cha 1 mpaka kidato cha 4.
Tuma maombi yako kupitia WhatsApp 0755911880 au piga simu hiyo kwa maelezo zaidi
To establish, develop and run pre-schools, primary schools, secondary schools, colleges, universities and vocational schools in Tanzania.
Company objectives:
1. To attain highest goods in education,maintain and improve standards of education in Tanzania.
2. To establish, develop and run pre-schools, primary schools, secondary schools, colleges, universities and vocational schools in Tanzania.
3. To establish professional cooperation and coordination with other similar national and international institutions in the initiation and
22/07/2023
Tunakutangazia nafasi za KAZI ya Mwl wa Bible Knowledge kwa kidato cha 1 mpaka kidato cha 4.
Tuma maombi yako kupitia WhatsApp 0755911880 au piga simu hiyo kwa maelezo zaidi
29/12/2022
Mwaka Mpya wa masomo 2023 unaanza hivi karibuni. Mlete mwanao EDEN VALLEY SECONDARY kwa masomo na malezi bora ya Kikristo.
Tunapokea wanafunzi wote kidato cha kwanza mpaka cha nne kwa wanaotaka kuhamia
Sasa unaweza kupata course yoyote uipendayo kutoka chuo cha NERIAN TECHNICAL COLLEGE kwa campus ya Bunda kuanzia mwezi September. Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa 0717025750.
30/06/2021
Karibu Eden Valley Secondary kwa nafasi za kidato cha kwanza na tatu kuhamia mwaka huu 2021 bado zinapatikana.
Shule hii iko chini ya MFEC Ltd. Ina mazingira mazuri na maadili ya Kikristo.
Karibuni sana.
Mwemezi Foundation For Education Co Ltd To establish, develop and run pre-schools, primary schools, secondary schools, colleges, universities and vocational schools in Tanzania.
Sasa tunapokea wahamiaji kidato cha kwanza na cha tatu kea mwaka huu 2021
We are in need of Physics/ Chemistry or Physics/Biology teacher for O level.
The vacancy is available at Eden Valley Sec in Mwanza. For more information call 0717025750
Msimu wa masomo mwaka 2021 ndo unaanza sasa. Leta mwanao kwa Elimu bora toka Eden Valley Secondary iliyo chini ya Mwemezi Foundation. Mtoto atapata Elimu bora ya darasani na ya kimaadili ya mtanzania pia kumcha Mungu.
Nafasi zipo kidato cha kwanza mpaka cha nne na wanaopenda kurudia mitihani yao wanahudumiwa bila ubaguzi wowote.
Elimu ni Ukombozi
25/11/2020
Vijana wa Eden Valley Sec wanaoendelea na mitihani yao ya kumaliza kidato cha nne.
Your age will affect the body not your brain. So try to keep your body energetic and your brain brave .
Contact our foundation for more information
08/11/2020
Business Consultancy!
07/11/2020
Shule ya Eden Valley Secondary School iliyopo ILEMERA, Mwanza Inawatangazia Wazazi/Walezi na Wanafunzi Masomo ya Kidato Cha I-IV na Masomo ya Pre Form I.
Kwa maelezo zaidi soma kitini hapa chini 👇👇👇👇👇👇