18/03/2023
⚠️Kuna maamuzi ya aina 3 kwenye Biashara yoyote ⚠️
1..Kuamua kuanza Biashara.. (80%)
2..kuamua Kufanya Biashara..(18%)
3..Kuamua Kukomaa na Biashara.. (2%)
Hizo asilimia(%) kwenye maamuzi ni idadi ya watu... watu wengi wanaanzaga biashara ila hawapo tayari kufanya biashara(namaanisha hawataki kufanya biashara inavyotakiwa ifanyike wanataka wafanye wanavyojua wao na wengi wanafeli ndio maana wanaofanya biashara ni wachache......., na wanao amua kukomaa na biashara ni wachache maana hawaridhiki na kidogo wanachokipata kwenye biashara na ndio wanaofanikiwa kwenye biashara..
So ukianza biashara,ifanye biashara na usiishie hapo komaa nayo😄🤝 ..kujifunza biashara whatsapp 0653993171
MONEY HOME TEAM✅