Tanzania Law Students' Association

Tanzania Law Students' Association Tanzania Law Students' Association is a National Organization of the Law Students in the United Republic of Tanzania.

04/12/2021

Are you in need of joining the prestigious whatsapp group chat for Law Students in Tanzania?? Drop your number in your comments down here!!

Chama Cha Wanafunzi wa Sheria Tanzania tunatoa pole zetu  kwa Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungaan...
28/09/2021

Chama Cha Wanafunzi wa Sheria Tanzania tunatoa pole zetu kwa Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungaano wa Tanzania, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chama Cha Mapinduzi, Wananchi wa Jimbo la Ngorongoro na Familia kwa kuondokewa na Mhe. William Tate Olenasha aliyekuwa Naibu Waziri wa Uwekezaji.
TLSA ipo pamoja na ninyi katika kipindi hiki kigumu na cha majonzi mazito kwa kuondokewa na mpendwa wetu.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe.

Raha ya Milele Umpe ee Bwana na Mwanga wa Milele Umuangazie!

Apumzike kwa amani. Amina.

14/09/2021

Welcome to Official Page of the Tanzania Law Students' Association

Address

Dar Es Salaam
TZA

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

+255713286999

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Law Students' Association posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Tanzania Law Students' Association:

Shortcuts

Share

Category