09/11/2022
Sector ya kilimo ni sector muhimu Sana ktk nchi.
Serikali pamoja na sector binafsi Kuna umuhimu mkubwa Sana wa kuendeleza sector ya kilimo na mifugo kwa maendeleo ya Taifa,
Serikali iangalie kwa umakini sector ya kilimo na mifugo ili kuleta mapinduzi makubwa ya viwanda ,na uchumi ,
Sector ya kilimo ikiimarishwa vizuri kilio Cha ajira itapungua kwa asilimia kubwa Sana ktk nchi .kwani watu wengi watapata ajira, kupitia sector hii.
Hatuna haja ya kununua nguo nje ya nchi , kwani maligafi inayotumika kutengenezea nguo zipo za kutosha hapa nchini ,mfano mikoa mingi ya Tanzania tunalima pamba .
Kuna viwanda vingi vya nguo Leo vimefungwa kutokana na kutozingatia sector ya kilimo.
Leo hii tunaagiza viatu vya ngozi na vitu vyote vya ngozi kutoka nchi za jirani wakati Tanzania tuna zalisha ngozi nyingi kuliko nchi yeyote Africa š.
Naomba serikali yetu iimarishe vizuri sector hizi mbili kwa maana ya sector ya kilimo na mifugo.
Hii itasaidia Sana ktk ukuaji wa kiuchumi wa taifa na wananchi kwa ujumla.
Hizi sector zikiamarishwa vizuri .
Nchi itakuwa na chakula Cha kutosha Sana,
Uchumi wa nchi yetu utakua Sana.
Piah Technolojia itaongezeka Sana Kwa upande wa uzalishaji.
Watu wengi watapata ajira za kutosha .
Leo hii vyuo vingi vinazalisha wataalam wengi wa kilimo lakini utaalam wao unaishia mtaani bila kuleta impact ktk jamii, serikali ina haja ya kuangalia hilii kwa umakini Sanaa.
NB.
Kiongozi makini atazalisha watu makini wenye maono na mtazamo chanya , na watu wenye mtazamo chanya watasababisha Taifa lenye uzalendo,
Maana watafanya kwa kizazi kijacho na sio kwa ajili ya watu wachache kwa maslai yao binafsi.
Kilimo #
"Secret of succeful is in the farm"@