Shule Direct Kids

Shule Direct Kids

Share

Shule Direct Kids is a mobile App for Primary School to improve the accessibility of qualified learning content for primary school pupils in Tanzania.

05/10/2022

Tunawatakia kila la kheri watoto wetu wanaofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi

01/06/2022

Tunakutakia heri na baraka katika huu mwezi mpya. Kumbuka kupakua app ya umpe mtoto afanye maswali ya marudio na majaribio, wakati huu ambapo watoto wetu wanajiandaa na mitihani ya kumaliza muhula wa kwanza wa mwaka wa masomo. Mpe fursa mtoto ajifunze kidijitali.

Photos from Shule Direct Kids's post 19/05/2022

Maonyesho ya ya wiki ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu yanaendelea kwenye uwanja wa Jamhuri, Dodoma.

tupo ndani ya banda la mbia wetu tayari kukuonyesha mambo mazuri ya kumsaidia mtoto wako kufaulu. Karibu sana

Photos from Shule Direct Kids's post 19/05/2022

Omary na Grace, wanafunzi darasa la 4 na la 6 Shule ya Msingi Uhuru, jijini Dodoma wako tayari kukupokea na kukuonyesha wanafaidikaje na jukwaa la kujifunzia la

Hujachelewa, karibu uwanja wa Jamhuri, Dodoma kwenye maonyesho ya ya Wiki ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu


Photos from Shule Direct Kids's post 18/05/2022

Mzazi unasubiri nini kumleta mtoto wako kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kwenye Maonyesho ya ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu.

Sisi na mbia wetu tuko hapa wiki nzima kuanzia saa mbili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni, tutakuelezea na kukuonyesha namna jukwaa la linavyomsaidia mtoto wako kuongeza umahiri wa Kusoma, Kuandika, Kuhesabu na kumuandaa K**a mbunifu wa kiteknolojia ajae.

Photos from Shule Direct Kids's post 12/05/2022

Bado tupo katika maonyesho ya wiki ya ubunifu hapa JNICC-Dar es Salaam, tunaendelea kuwaelimisha wazazi, walezi, walimu pamoja na wanafunzi wanaofika katika banda la juu ya faida na umuhimu wa majukwaa ya kujifunzia ya kidijitali.

Karibuni Sana.


________________________________________

Photos from Shule Direct Kids's post 11/05/2022

Mzazi, Mlezi, Mwalimu tembelea banda la hapa katika ukumbi wa Julius Nyerere International Conference Centre uweze kujifunza mambo mbali mbali kuhusu majukwaa ya kujifunzia ya kidijitali.

Timu ya iko hapa katika wiki ya ubunifu. Karibuni Sana.


___________________________________________

03/05/2022

Tunakutakia wewe na familia yako kheri, baraka, furaha, amani na upendo wakati huu wa sikukuu ya Eid.


Photos from Shule Direct Kids's post 29/04/2022

Tukiwa tunaendelea kuadhimisha Juma la wiki Ya Elimu Wilayani Igunga, Tabora.
Leo tulikua na Wanafunzi wa shule ya Msingi tukiwa tunajifunza kwa Njia Ya kidijitali kupitia jukwaa letu la .





28/04/2022

Tukiwa Bado tunaendelea kuadhimisha juma la wiki Ya Elimu Wilayani Igunga, Tabora. Wadau na washirika wa mtandao wa Elimu Shule Direct] wamejumuika kwa pamoja na Wanafunzi wa Msingi Mwenge na kuweza kujifunza pamoja kidijitali kupitia majukwaa Yetu ya .


Shule Direct]


Photos from Shule Direct Kids's post 26/04/2022

Siku ya pili ya ilianza kwa kutembelea Shule Ya Msingi Igunga, iliyopo Wilayani Igunga, Tabora.

Timu Ya pamoja na wakishirikiana na wadau mbalimbali wa Elimu kwenye Kikao kilichohudhuriwa na Wanafunzi, walimu na wazazi.

Aidha ziara hii iliendelea hadi Shule ya sekondari ya Nanga nakufanya Kikao na walimu, wazazi, Wanafunzi, viongozi wa Dini pamoja na Mila.




Photos from Shule Direct Kids's post 25/04/2022

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwenge, wakiwa wanajifunza na Mwalimu Kicheko kupitia darasa lake la kidijitali linalofadhiliwa na kwenye viwanja vya shule ya Msingi Mwenge, wilayani Igunga, mkoani Tabora ambapo tupo wiki yote hii kuadhimisha wiki ya Elimu nchini

Karibuni walimu, wazazi, wanafunzi na marafiki wa elimu, tujadiliane na kwa pamoja tuwekeze kwa ajili ya elimu bora kwa watoto wetu.






Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


#539 Old Bagamoyo Road, Msasani
Dar Es Salaam
14111