Kingalu Jr

Kingalu Jr Together we can

Heri ya mwaka mpya
04/01/2019

Heri ya mwaka mpya

24/08/2016

NIELEWEKE KAWAIDA TU: Mwezi uliopita yaani mwezi wa 7/2016 Serikali ya Uingereza ilikuwa inapitisha mswada wa kufuta mfumo wa ajira-veti (kuwa na cheti cha taaluma hiyo) km ndio kigezo cha kuwa mtumishi badala yake ni kuangalia zaidi uzoefu na ufanisi wa ufanyaji kazi wa mtu huyo lakini imekuwa tofauti huku kwetu hata km unauwezo namna gani km huna vyeti wewe ni feki hii inaonesha tofauti ya Elimu zetu

17/06/2016

Kwa makadilio zaidi ya watanzania 10000000 wanatumia simu za bei nafuu (feki) na km wastani wa kila simu ni Tsh-30000/=. Hivyo hasara ambaye wamepata kupitia kwa simu za bei nafuu ni km Tsh-300000000000/=. Nani atalipa hii hasara? Ugumu wa maisha na maendeleo duni yanasababishwa na maamuzi yasiyo na tija yanayofanya na serikali.

01/02/2016

Amani ikiwepo furaha inakamilika

Nawashukulu sana wale wote walio nitakia heri ktk cku yangu ya kuzaliwa sina cha kuwalipa ila Mungu awaongoze kwa kila j...
01/01/2016

Nawashukulu sana wale wote walio nitakia heri ktk cku yangu ya kuzaliwa sina cha kuwalipa ila Mungu awaongoze kwa kila jambo

24/12/2015

Mwaka unakaribia kuisha sasa ni muda muafaka wa kufanya tathmini ya mwaka mzima kwa uliyofanya kipi umefanikiwa na kipi hujafanikiwa na kwanini na kipi kifanyike ili kufanikisha malengo yako?

04/12/2015

Katika hali ya kawaida Tanzania ilimuhitaji sana mtu k**a Dk Magufuli ili kufika Tanzania tunayoiwaza k**a wako watatu nchi inaenda binafasi nampongeza huyu jaa wewe je?

03/12/2015

Hongera Dk, Magufuli kwa mwanzo mzuri ila ukiingiza huruma nawe watakuona km waliopita

Address

Husseinidd24@gmail. Com
Dar Es Salaam

Telephone

+255788173322

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kingalu Jr posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category