Azizi Afya

Azizi Afya

Share

Nasaidia Wanaume Kurudisha Heshima ya ndoa Kwa Mfumo Wa Virutubisho Lishe. WhatsApp Namba 0629224104.

17/10/2024

🔥JE, UMEWAHI KUJICHUA NA KUATHIRIKA KIAFYA?🔥

👀 Usiruhusu madhara ya punyeto yaendelee kuharibu maisha yako! Sasa ni wakati wa kurejesha afya na nguvu zako za kiume.

💥 Jiunge na Group letu maalum la WhatsApp ambapo utaweza kujifunza:
✅ Njia za kuondoa madhara ya punyeto
✅ Mazoezi ya kurudisha nguvu za kiume
✅ Lishe bora na virutubisho vya kuboresha afya yako

🎯 Bofya hapa👇

https://chat.whatsapp.com/GzJPViAq1CWJ64MnSca9mf

kujiunga sasa na anza safari ya afya bora k**a mwanaume! 💪

👉 Usikose hii nafasi adimu ya kuboresha maisha yako!



---.

19/07/2024

Mwanamme Kula mlo kamili na wenye virutubishi asubuhi husaidia kuongeza nguvu, kuboresha umakini na kuimarisha afya kwa ujumla

_Mlo wa asubuhi unapaswa kuwa na mchanganyiko wa protini, wanga, na mafuta yenye afya.

K**a ungependa kupata elimu hizi kwa muendelezo save namba 0629224104 kwa jina Azizi Afya kisha Tuma ujumbe FOOD kwenda WhatsApp namba 0629224104

20/06/2024

*GOOD MORNING* kabla hujala chakula cha Asubuhi soma hapa..

Ili mwanaume aweze kudumisha nguvu za kiume na afya bora kwa ujumla, ni muhimu kuepuka vyakula ambavyo vinaweza kuathiri vibaya afya ya uzazi na nguvu za kiume.

_Je ungependa kujuwa vyakula hivyo.. Tuma neno ndio ili nijuwe wahitaji wa somo hili.._

13/06/2024

*Huboresha afya ya akili na uwezo wa kufikiri*

Maji yana umuhimu katika kuboresha mzunguko wa damu kwenda kwenye ubongo, hivyo kuongeza uwezo wa kufikiri na kupunguza uchovu wa akili.

_Kwa ujumla, kunywa maji asubuhi ni tabia nzuri inayoweza kuboresha afya na ustawi wa mwili wako kwa njia nyingi_

Kwa ushauri na msaada zaidi tuma neno AFYA kwenda WhatsApp namba 0629224104

11/06/2024

*_Baridi inaweza kusababisha maumivu ya misuli na viungo, hali inayojulikana k**a arthritis ya baridi_*

Ni muhimu kuvaa mavazi yanayofaa na yenye joto, kuepuka kukaa muda mrefu nje wakati wa baridi kali, na kuchukua hatua za kujikinga ili kuepuka madhara haya.

Kwa ushauri na msaada zaidi tuma neno AFYA kwenda WhatsApp namba 0629224104

09/06/2024

*Leo ni Jumapili itumie pia kwa mazoezi jitahidi kuwekeza Afya yako kwa hali yoyote ile*

_Mazoezi yanaweza kusaidia kuongeza kiwango cha nishati kwa kuboresha usafirishaji wa oksijeni na virutubisho kwenye seli za mwili_

*SIRI kubwa ya Nguvu za kiume ni kuboresha kinga yako ya mwili na kuimarisha misuli pamoja na pumzi usione Uvivu kwa afya yako*

Kwa ushauri na msaada zaidi tuma neno AFYA kwenda WhatsApp namba 0629224104.

07/06/2024

*Unapoamka, mwili wa mwanadamu unahitaji vitu kadhaa muhimu ili kuanza siku kwa njia bora:*

*Kunyoosha Mwili* _Mazoezi mepesi ya kunyoosha yanaweza kusaidia kuboresha mzunguko wadamu,kupunguza mvutano wa misuli na kukuamsha kiakili_

Kwa ushauri na msaada zaidi tuma neno AFYA kwenda WhatsApp namba 0629224104

29/05/2024

*_Faida Za Kula Samaki Pweza_*

🐙. **Protini:** Pweza ni chanzo kizuri cha protini, ambayo ni muhimu kwa ujenzi na ukarabati wa tishu, ikiwa ni pamoja Na misuli ya mwili, hivyo kusaidia katika kuimarisha misuli ya uume kuwa imara zaidi

🐙. **Seleniamu:** Ni madini mengine muhimu yanayopatikana kwenye pweza. Seleniam husaidia kudhibiti mfumo wa kinga na ina jukumu katika kuzuia uharibifu wa seli, pia kwa mwanaume inamsaidia katika kuongeza hamu na hisia za kushiriki tendo la ndoa

🐙. **Zinki:** Zinki ni madini muhimu kwa afya ya uzazi, hususan katika kuongeza uzalishwaji wa mbegu za kiume kwa wingi.

🐙. **Asidi ya Omega-3:** Pweza ana asidi ya omega-3, ambayo ni muhimu kwa afya ya moyo na ubongo. Asidi hii inaweza kusaidia kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo na tatizo la ubongo kupungua uwezo wake wa kufanya kazi (Alzheimer) hasa kwa watu wenye umri mkubwa.

Hayo Madini yote yanapatikana kwenye kirutubisho chetu cha mafuta ya Samaki kinaitwa ARCTIC SEA , badala ya kutumia PWEZA wawili kila siku unaweza kutumia supplement ya Arctic sea tu.

*PWEZA sio dawa , hivyo Tumia K**a sehemu ya chakula tu. Na Kwa wenye changamoto za udhaifu kwenye tendo la ndoa usisite kunijulisha mapema nikushauri program yako utatue tatizo lako, usiendelee kumtesa mpenzi wako kihisia unaweza kuanza kwa full dozi au nusu dozi. KARIBU SANA*

Tuma ujumbe neno AFYA kwenda WhatsApp number 0629224104

29/05/2024

*GOOD MORNING* *zoezi hili husaidia kuboresha mzunguko wa damu kwenye sehemu za pelvic na kusaidia afya ya uzazi amka nalo*

K**a una changamoto ya mfumo wa uzazi nicheki nikushauri cha kufanya..

Tuma ujumbe neno AFYA kwenda WhatsApp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema





28/05/2024

Jinsi Punyeto Itakavyo kupa Madhara kwenye mfumo wako Wa uzazi...

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama .

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE KUNICHEKI

Tuma ujumbe neno AFYA kwenda WhatsApp namba 0629224104.



25/05/2024

Raha ya tendo kwa Mwanaume unatakiwa uwe Imara , kitu kisimame K**a msumari , akili yako itulie isiwe na papara , hisia zako ziwe kwenye balance , mbegu ziwe nyingi ili uende Round nyingi.

Ukiona wewe unaishia round Moja ama sekunde tu umemwaga jua ya kwamba muda si mrefu hata Hilo Moja utalitafuta kwa shida jifunze mbinu mpya za kukufanya ufaidi Tendo lenyewe.

Unaweza nicheki kwa WhatsApp number 0629224104 ili Nikushauri.

23/05/2024

Dawa za msongo wa mawazo (Sonona)
Dawa hizi, zinazojulikana k**a "benzodiazepines," mara nyingi hutumiwa kutibu magonjwa ya wasiwasi, k**a vile wakati mtu anaogopa vitu ambavyo havipo na yuko peke yake.

Magonjwa mengine ambayo hutumia dawa hizi ni pamoja na kukosa usingizi na maumivu ya misuli.

Lakini, upande wa madhara ni kwamba huathiri utendaji wa seli za uzazi wa kiume na hisia kuwa na tahadhari usimalize nguvu zako karibu kwa ushauri zaidi.

Whatsapp namba 0629224104

Want your school to be the top-listed School/college in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Website

Address


MWANANYAMALA
Dar Es Salaam
255