06/02/2024
📌Habari njema kwa Wanafunzi wote 👇👇
Mkuu wa Chuo cha afya na sayansi shirikishi EAST EVAN kilichopo KIGAMBONI DAR ES SALAAM.
📌Anawatangazia wanafunzi wote ambao wanahitaji kujiunga na chuo kwa mkupuo wa MARCH INTAKE kuwa Dirisha la usajili lipo wazi kwa kozi za Biashara.
📌Kutuma maombi yako bonyeza link hapa chini 👇
https://forms.gle/XX79h8o6BLgNPnBf9
Au
Tuma maombi yako moja kwa moja kupitia 👉👉 www.collegeapp.ac.tz
📠📞 Wasiliana nasi moja kwa moja piga simu 0676722621