14/01/2026
Uongozi wa serikali ya wanafunzi DARUSO -SoED kutoka chuo kikuu Cha Dar es salaam Leo Jan 14 2026 wamefanikiwa kufanya mazungumzo na uongozi wa kampuni ya SWIFPACK inayojishughulisha na usafirishaji ndani ya shirika la Posta Tanzania ....
Mazungumzo hayo yalilenga kujenga ushirikiano wa kufanya KAZI pamoja na Namna Bora ya kufanikisha Bonanza la Wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2025/2026 katika ofisi ya Posta Makao makuu.
Bonanza hilo linatarajiwa kufanyika siku ya Tarehe 31 Jan 2026 kwa kuwashirikisha wanafunzi wote wa Shule kuu ya Elimu (SoED) pamoja na kawaalika wanafunzi Kutoka college of Humanities (COHU) na wale wanafunzi wa DUCE .....
Hivyo mpaka sasa majadiliano yapo pazuri kuhakikisha mambo yanakaa vizuri Ili kuanza matangazo ya haraka... .tanzania