05/03/2023
๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐, ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐
๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐, ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐
๐๐๐ ๐ ๐๐ ๐
๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐
๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐.
Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online International School) shule hii haiitaji wewe kwenda shuleni kusoma, Unasoma ukiwa nyumbani, Unafanya mitihani ya kujipima ukiwa nyumbani isipokuwa ule mitihani wa mwisho (Mitihani wa Taifa)
Shule hii ni maalumu kwa wanaotaka kujiendeleza mfano mtu ana cheti Cha form 4 Ila hana cha form 6 Basi anajiunga na TAIFA ONLINE SCHOOL anasoma mwaka 1 kisha tunamtafutia kituo Cha kufanyia mitihani, Mwanafunzi atafanya mtihani K**a private candidate kisha ataendelea na elimi ya juu ya chuo kikuu.
Au K**a umeishia darasa la Saba Basi ukijiunga na TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL utasoma miaka 2 kisha tutakutafutia kituo Cha kufanyia mtihani, Utafanya mitihani K**a private candidate kisha utaendelea na form 6 au vinginevyo.
Madara yetu yanaendeshwa Mtandaoni Yani E-CLASS na yapo live(Mubashara) utaweza kuuliza swali na ukajibiwa ana kwa ana ukiwa darasani. Vipindi vyetu vinaanza kuanzia saa 1 usiku siku za jumatatu mpaka jumamosi.
Tukisema mitihani namaanisha mitihani ya online Yan mwanafunz anafanya mtihani wa kujipima na wenzake Mtandaoni walioko sehemu mbalimbali za nchi kwa muda mmoja , siku moja na mtihani wa Aina moja, System yetu inaweza kugundua udanganyifu wowote ndan ya chumba Cha mtihani na kumtoa kwenye mitihani mwanafunzi endapo ataigilizia.
Kwenye shule yetu tuna makundi mengi ya watu wanaosoma.
1. Waliofeli / anbao hawakufanya vizuri kwenye normal school (Hawa ni wale waliofeli au kutofanya vizuri au kukosa alama za kuendelea na elimu ya form 5, )
2. Wanaotaka kujiendeleza Yani upgrading (Hawa ni makundi ya watu wazima waliopo makazini, maofisini na kwingineko)
3. House Girls na wanaotaka kusoma k**a tuition.
๐๐๐ ๐ณ๐๐ญ๐ฎ ๐ง๐ข ๐ง๐๐๐ฎ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ณ๐ข๐ง๐ ๐๐ญ๐ข๐ ๐ฏ๐ข๐ ๐๐ณ๐จ ๐ง๐ ๐ก๐๐ฅ๐ข ๐ฒ๐ ๐ฎ๐๐ก๐ฎ๐ฆ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฌ๐๐ฌ๐ ๐ฐ๐ ๐ฆ๐ญ๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐, ๐๐ ๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐ข ๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐๐ ๐ก๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข ๐๐๐ ๐ฒ๐๐ค๐จ ,๐ฉ๐๐ค๐ ๐ฎ๐ฃ๐ข๐ซ๐ข๐๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ง๐ ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ ๐ฒ๐๐ญ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ณ๐ (๐๐๐ฅ๐๐ค๐๐ณ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ฎ๐๐ฅ๐๐ฐ๐ ๐ง๐๐ฆ๐ง๐ ๐ฆ๐๐ฎ๐ฆ๐จ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ง๐๐ฏ๐ฒ๐จ ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ค๐๐ณ๐ข ๐ง๐๐ข๐ฉ๐จ ๐ฎ๐ญ๐๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐ ๐๐๐)
Tunatoa huduma zifuhatazo huduma zifuatazo:
๐ฬฒ:ฬฒ ฬฒ๐ฬฒ๐ขฬฒ๐ฌฬฒ๐ญฬฒ๐ฬฒ๐งฬฒ๐ฬฒ๐ฬฒ ฬฒ๐ฅฬฒ๐ฬฒ๐ฬฒ๐ซฬฒ๐งฬฒ๐ขฬฒ๐งฬฒ๐ ฬฒ/ ๐ฆ๐ต๐๐น๐ฒ ๐ฌ๐ฎ ๐ ๐๐ฎ๐ป๐ฑ๐ฎ๐ผ๐ป๐ถ
( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalimu yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Kipindi kimoja huwa kinakuwa na DK 45 pekee, Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi kwa kuonana na mwalimu mbashara kupitia simu yake au computer. Hii haina tofauti na Darasa la kawaida la kwenye shule za kawaida, Utofauti pekee ni kwamba darasa hili ni Online kila kitu kinafanyika Online. Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia (Bonyeza Maandishi Haya Ya Blue) au tupigie 0652428842 kwa maelezo zaidi https://www.taifaschool.net/sec-registration.html
๐๐๐๐๐๐๐๐: ๐๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐๐ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ณ๐ ๐ฐ๐๐ญ๐๐ค๐๐จ ๐๐จ๐ฆ๐ฆ๐๐ง๐ญ ๐ง๐๐ง๐จ ๐ง๐ข๐ฉ๐จ ๐ญ๐๐ฒ๐๐ซ๐ข au kututmia ujumbe kwenye whatsapp number +255652428842 (๐๐๐ญ๐๐ฌ๐จ๐ฆ๐ ๐๐ฐ๐ ๐๐ก๐๐ซ๐๐ฆ๐ ๐ฒ๐ ๐๐ฌ๐ก ๐๐๐,๐๐๐/= ๐๐ฐ๐๐ค๐ ๐ฆ๐ณ๐ข๐ฆ๐/ ๐ก๐๐ฐ๐๐ญ๐๐ฅ๐ข๐ฉ๐ ๐๐๐ ๐ญ๐๐ง๐) ๐๐๐ซ๐๐ฌ๐ ๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ง๐ข ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ค๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐จ๐ฃ๐ข๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ณ๐ ๐๐ฎ ๐๐ฆ๐๐๐จ ๐ก๐๐ฐ๐๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ค๐๐ญ๐ข๐ค๐ ๐ฆ๐ข๐ญ๐ข๐ก๐๐ง๐ข ๐ฒ๐ ๐๐จ๐ซ๐ฆ ๐ ๐ง๐ ๐๐จ๐ซ๐ฆ ๐ ๐๐ฎ ๐ฐ๐๐ฅ๐ข๐จ ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ ๐๐๐ซ๐๐ฌ๐ ๐ฅ๐ ๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐ญ๐๐ค๐ ๐ฐ๐๐ฌ๐จ๐ฆ๐ ๐ฆ๐ฉ๐๐ค๐ ๐๐จ๐ซ๐ฆ ๐
๐ฎ: ๐ง๐ฎ๐ถ๐ณ๐ฎ ๐ผ๐ป๐น๐ถ๐ป๐ฒ ๐ฒ๐
๐ฎ๐บ๐
Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.
Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia (Bonyeza Maadishi haya ya blue) https://www.taifaschool.net/exam.html
๐: ๐๐๐ข๐๐ ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐ฌ๐๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ฅ๐ข๐๐ซ๐๐ซ๐ฒ.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika. Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea https://www.taifaschool.net/taifa-secondary-online... (Bonyeza Maandishi ya blue kujisajili)
๐: ๐๐๐ข๐๐ ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐ฌ๐๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ญ๐ฎ๐ข๐ญ๐ข๐จ๐ง
Hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili bonyeza link hii (Maandishi haya ya Blue) https://www.taifaschool.net/tuition-registration.html
๐: ๐๐ฎ๐ฃ๐ข๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ ๐ค๐ข๐ฌ๐ฐ๐๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ค๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ ๐๐ง๐ข.
Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya GBP 550 (PAUND 550) kwa vipindi 100, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/student-registration.html
๐: ๐๐จ๐จ๐ค ๐๐ง๐๐ฅ๐ฒ๐ฌ๐ข๐ฌ.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia https://www.taifaschool.net/analysis.html
๐: ๐๐๐ข๐๐ ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐ฌ๐๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ช๐ฎ๐๐ฌ๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐๐ง๐ ๐๐ง๐ฌ๐ฐ๐๐ซ
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net
Pia tunatoa huduma zingine nyingi K**a online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.
๐๐๐๐๐๐๐๐: T๐๐๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ข๐ง๐๐๐ฎ๐๐ญ๐ข๐ฅ๐ข๐ ๐ฆ๐๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐จ ๐ฒ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ ๐ฆ๐๐ญ๐จ๐ค๐๐จ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ค๐๐ญ๐ข ๐ฉ๐ข๐ ๐ญ๐ฎ๐ง๐๐ฐ๐๐ญ๐๐๐ฎ๐ญ๐ข๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฏ๐ข๐ญ๐ฎ๐จ ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฏ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ฒ๐ข๐ ๐ฆ๐ข๐ญ๐ข๐ก๐๐ง๐ข ๐ฒ๐๐จ ๐ฒ๐ ๐๐๐๐๐, ๐๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐ ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐ ๐ฒ๐จ๐ฒ๐จ๐ญ๐ ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐ ๐ง๐๐ฆ๐๐ ๐ฒ๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐
๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐, ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐.
Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam
Tunapatikana kwa nambari ya ofisi Number 0652 428 842
Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: facebook Taifa Online International School