Taifa Online International School

Taifa Online International School We measure the knowledge of the students for secondary level with their own device, regardless of wh

Happy Labour Day! Today, we celebrate the hard work and dedication of workers everywhere.
01/05/2023

Happy Labour Day! Today, we celebrate the hard work and dedication of workers everywhere.

To all the workers out there: thank you for your contributions to society, and for making the world a better place.
01/05/2023

To all the workers out there: thank you for your contributions to society, and for making the world a better place.

Happy Labour Day! Today, we celebrate the hard work and dedication of workers everywhere.
01/05/2023

Happy Labour Day! Today, we celebrate the hard work and dedication of workers everywhere.

We wish you a blessed and peaceful Easter 2023 filled with love, joy and hope. Wishing you and your family a very happy ...
09/04/2023

We wish you a blessed and peaceful Easter 2023 filled with love, joy and hope. Wishing you and your family a very happy Easter !

Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online Internatio...
09/03/2023

Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online International School) shule hii haiitaji wewe kwenda shuleni kusoma, Unasoma ukiwa nyumbani, Unafanya mitihani ya kujipima ukiwa nyumbani isipokuwa ule mitihani wa mwisho (Mitihani wa Taifa)

Shule hii ni maalumu kwa wanaotaka kujiendeleza mfano mtu ana cheti Cha form 4 Ila hana cha form 6 Basi anajiunga na TAIFA ONLINE SCHOOL anasoma mwaka 1 kisha tunamtafutia kituo Cha kufanyia mitihani, Mwanafunzi atafanya mtihani K**a private candidate kisha ataendelea na elimi ya juu ya chuo kikuu.

Au K**a umeishia darasa la Saba Basi ukijiunga na TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL utasoma miaka 2 kisha tutakutafutia kituo Cha kufanyia mtihani, Utafanya mitihani K**a private candidate kisha utaendelea na form 6 au vinginevyo.

Madara yetu yanaendeshwa Mtandaoni Yani E-CLASS na yapo live(Mubashara) utaweza kuuliza swali na ukajibiwa ana kwa ana ukiwa darasani. Vipindi vyetu vinaanza kuanzia saa 1 usiku siku za jumatatu mpaka jumamosi.

Tukisema mitihani namaanisha mitihani ya online Yan mwanafunz anafanya mtihan wa kujipima na wenzake Mtandaoni walioko sehemu mbalimbali za nchi kwa muda mmoja , siku moja na mtihani wa Aina moja, System yetu inaweza kugundua udanganyifu wowote ndan ya chumba Cha mtihani na kumtoa kwenye mitihani mwanafunzi endapo ataigilizia.

Kwenye shule yetu tuna makundi mengi ya watu wanaosoma

1. Waliofeli / anbao hawakufanya vizuri kwenye normal school (Hawa ni wale waliofeli au kutofanya vizuri au kukosa alama za kuendelea na elimu ya form 5, )

2. Wanaotaka kujiendeleza Yani upgrading (Hawa ni makundi ya watu wazima waliopo makazini, maofisini na kwingineko)

3. House Girls na wanaotaka kusoma k**a tuition.

Ada zetu:
Tsh 50,000 kwa mwezi
Tsh 500,000 kwa mwaka (Punguzo)

Tunapatikana
Acacia Estates, 1st Floor
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam,
United Republic Of Tanzania

๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐ƒ๐ˆ๐†๐ˆ๐“๐€๐‹๐ˆ, ๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐Œ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž๐๐ˆ ๐”๐Š๐ˆ๐–๐€ ๐๐˜๐”๐Œ๐๐€๐๐ˆ ๐‡๐”๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ ๐Š๐”๐…๐ˆ๐Š๐€ ๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐“๐„๐๐€, ๐”๐๐€๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐๐€ ๐Š๐”๐๐€๐“๐€ ๐‚๐‡๐„๐“๐ˆ ๐‚๐‡๐€๐Š๐Ž ๐‚๐‡๐€ ๐…๐Ž๐‘๐Œ ๐Ÿ’ ๐€...
05/03/2023

๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐ƒ๐ˆ๐†๐ˆ๐“๐€๐‹๐ˆ, ๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐Œ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž๐๐ˆ ๐”๐Š๐ˆ๐–๐€ ๐๐˜๐”๐Œ๐๐€๐๐ˆ ๐‡๐”๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ ๐Š๐”๐…๐ˆ๐Š๐€ ๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐“๐„๐๐€, ๐”๐๐€๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐๐€ ๐Š๐”๐๐€๐“๐€ ๐‚๐‡๐„๐“๐ˆ ๐‚๐‡๐€๐Š๐Ž ๐‚๐‡๐€ ๐…๐Ž๐‘๐Œ ๐Ÿ’ ๐€๐” ๐…๐Ž๐‘๐Œ ๐Ÿ” ๐Œ๐€๐‘๐€ ๐๐€๐€๐ƒ๐€ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐…๐€๐๐˜๐€ ๐Œ๐“๐ˆ๐‡๐€๐๐ˆ ๐–๐€ ๐๐„๐‚๐“๐€.

Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online International School) shule hii haiitaji wewe kwenda shuleni kusoma, Unasoma ukiwa nyumbani, Unafanya mitihani ya kujipima ukiwa nyumbani isipokuwa ule mitihani wa mwisho (Mitihani wa Taifa)
Shule hii ni maalumu kwa wanaotaka kujiendeleza mfano mtu ana cheti Cha form 4 Ila hana cha form 6 Basi anajiunga na TAIFA ONLINE SCHOOL anasoma mwaka 1 kisha tunamtafutia kituo Cha kufanyia mitihani, Mwanafunzi atafanya mtihani K**a private candidate kisha ataendelea na elimi ya juu ya chuo kikuu.
Au K**a umeishia darasa la Saba Basi ukijiunga na TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL utasoma miaka 2 kisha tutakutafutia kituo Cha kufanyia mtihani, Utafanya mitihani K**a private candidate kisha utaendelea na form 6 au vinginevyo.

Madara yetu yanaendeshwa Mtandaoni Yani E-CLASS na yapo live(Mubashara) utaweza kuuliza swali na ukajibiwa ana kwa ana ukiwa darasani. Vipindi vyetu vinaanza kuanzia saa 1 usiku siku za jumatatu mpaka jumamosi.

Tukisema mitihani namaanisha mitihani ya online Yan mwanafunz anafanya mtihani wa kujipima na wenzake Mtandaoni walioko sehemu mbalimbali za nchi kwa muda mmoja , siku moja na mtihani wa Aina moja, System yetu inaweza kugundua udanganyifu wowote ndan ya chumba Cha mtihani na kumtoa kwenye mitihani mwanafunzi endapo ataigilizia.

Kwenye shule yetu tuna makundi mengi ya watu wanaosoma.

1. Waliofeli / anbao hawakufanya vizuri kwenye normal school (Hawa ni wale waliofeli au kutofanya vizuri au kukosa alama za kuendelea na elimu ya form 5, )

2. Wanaotaka kujiendeleza Yani upgrading (Hawa ni makundi ya watu wazima waliopo makazini, maofisini na kwingineko)

3. House Girls na wanaotaka kusoma k**a tuition.

๐€๐๐š ๐ณ๐ž๐ญ๐ฎ ๐ง๐ข ๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ณ๐ข๐ง๐ ๐š๐ญ๐ข๐š ๐ฏ๐ข๐ ๐ž๐ณ๐จ ๐ง๐š ๐ก๐š๐ฅ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฎ๐œ๐ก๐ฎ๐ฆ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฌ๐š๐ฌ๐š ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ญ๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š, ๐๐š ๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐ข ๐ค๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐š ๐ก๐š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข ๐š๐๐š ๐ฒ๐š๐ค๐จ ,๐ฉ๐š๐ค๐š ๐ฎ๐ฃ๐ข๐ซ๐ข๐๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐ž ๐ง๐š ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐š ๐ฒ๐ž๐ญ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š (๐”๐ž๐ฅ๐ž๐ค๐ž๐ณ๐ฐ๐ž ๐ง๐š ๐ฎ๐ž๐ฅ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐š๐ฆ๐ง๐š ๐ฆ๐Ÿ๐ฎ๐ฆ๐จ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ณ๐ข ๐ง๐๐ข๐ฉ๐จ ๐ฎ๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐š ๐š๐๐š)

Tunatoa huduma zifuhatazo huduma zifuatazo:
๐Ÿฬฒ:ฬฒ ฬฒ๐ƒฬฒ๐ขฬฒ๐ฌฬฒ๐ญฬฒ๐šฬฒ๐งฬฒ๐œฬฒ๐žฬฒ ฬฒ๐ฅฬฒ๐žฬฒ๐šฬฒ๐ซฬฒ๐งฬฒ๐ขฬฒ๐งฬฒ๐ ฬฒ/ ๐—ฆ๐—ต๐˜‚๐—น๐—ฒ ๐—ฌ๐—ฎ ๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐—ถ
( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalimu yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Kipindi kimoja huwa kinakuwa na DK 45 pekee, Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi kwa kuonana na mwalimu mbashara kupitia simu yake au computer. Hii haina tofauti na Darasa la kawaida la kwenye shule za kawaida, Utofauti pekee ni kwamba darasa hili ni Online kila kitu kinafanyika Online. Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia (Bonyeza Maandishi Haya Ya Blue) au tupigie 0652428842 kwa maelezo zaidi https://www.taifaschool.net/sec-registration.html

๐™๐ˆ๐๐†๐€๐“๐ˆ๐€: ๐–๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐Ÿ๐ŸŽ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š ๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ค๐š๐จ ๐œ๐จ๐ฆ๐ฆ๐ž๐ง๐ญ ๐ง๐ž๐ง๐จ ๐ง๐ข๐ฉ๐จ ๐ญ๐š๐ฒ๐š๐ซ๐ข au kututmia ujumbe kwenye whatsapp number +255652428842 (๐–๐š๐ญ๐š๐ฌ๐จ๐ฆ๐š ๐Š๐ฐ๐š ๐†๐ก๐š๐ซ๐š๐ฆ๐š ๐ฒ๐š ๐“๐ฌ๐ก ๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ,๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ/= ๐Œ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฆ๐ณ๐ข๐ฆ๐š/ ๐ก๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐š ๐€๐๐š ๐ญ๐ž๐ง๐š) ๐ƒ๐š๐ซ๐š๐ฌ๐š ๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ง๐ข ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐จ๐ฃ๐ข๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š ๐š๐ฎ ๐š๐ฆ๐›๐š๐จ ๐ก๐š๐ฐ๐š๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฆ๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ’ ๐ง๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ ๐š๐ฎ ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐จ ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐š ๐๐š๐ซ๐š๐ฌ๐š ๐ฅ๐š ๐Ÿ• ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ญ๐š๐ค๐š ๐ฐ๐š๐ฌ๐จ๐ฆ๐ž ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ’

๐Ÿฎ: ๐—ง๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—ผ๐—ป๐—น๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐—ฒ๐˜…๐—ฎ๐—บ๐˜€
Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia (Bonyeza Maadishi haya ya blue) https://www.taifaschool.net/exam.html

๐Ÿ‘: ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ž ๐ฌ๐œ๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ฅ๐ข๐›๐ซ๐š๐ซ๐ฒ.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika. Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea https://www.taifaschool.net/taifa-secondary-online... (Bonyeza Maandishi ya blue kujisajili)

๐Ÿ’: ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ž ๐ฌ๐œ๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ญ๐ฎ๐ข๐ญ๐ข๐จ๐ง
Hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili bonyeza link hii (Maandishi haya ya Blue) https://www.taifaschool.net/tuition-registration.html

๐Ÿ“: ๐Š๐ฎ๐ฃ๐ข๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ข๐ฌ๐ฐ๐š๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ ๐ž๐ง๐ข.
Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya GBP 550 (PAUND 550) kwa vipindi 100, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/student-registration.html

๐Ÿ”: ๐๐จ๐จ๐ค ๐š๐ง๐š๐ฅ๐ฒ๐ฌ๐ข๐ฌ.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia https://www.taifaschool.net/analysis.html

๐Ÿ•: ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ž ๐ฌ๐œ๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ช๐ฎ๐ž๐ฌ๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฌ๐ฐ๐ž๐ซ
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi K**a online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

๐™๐ˆ๐๐†๐€๐“๐ˆ๐€: T๐š๐š๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ข๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐š๐ญ๐ข๐ฅ๐ข๐š ๐ฆ๐š๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐จ ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐š๐ค๐ž ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐จ๐ค๐ž๐จ ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ฉ๐ข๐š ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ญ๐ข๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฏ๐ข๐ญ๐ฎ๐จ ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐ข๐š ๐ฆ๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š๐จ ๐ฒ๐š ๐๐„๐‚๐“๐€, ๐”๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐ž ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐š ๐ฒ๐จ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐š ๐ง๐š๐ฆ๐›๐š ๐ฒ๐š ๐Œ๐๐„๐’๐€ ๐€๐” ๐“๐ˆ๐†๐Ž ๐๐„๐’๐€ ๐€๐” ๐Œ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž ๐–๐Ž๐–๐Ž๐“๐„ ๐–๐€ ๐’๐ˆ๐Œ๐” ๐๐€๐’๐ˆ๐๐Ž ๐‰๐ˆ๐๐€ ๐‹๐€ ๐“๐€๐ˆ๐…๐€ ๐’๐‚๐‡๐Ž๐Ž๐‹ ๐Š๐”๐Ž๐๐„๐Š๐€๐๐€, ๐๐ˆ๐€ ๐”๐’๐ˆ๐‹๐ˆ๐๐ˆ๐„ ๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐€ ๐Š๐€๐๐‹๐€ ๐”๐‰๐€๐‰๐ˆ๐‘๐ˆ๐ƒ๐‡๐ˆ๐’๐‡๐€ ๐๐€ ๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐€ ๐Š๐–๐€ ๐Š๐”๐ˆ๐Ž๐๐€.

Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam
Tunapatikana kwa nambari ya ofisi Number 0652 428 842
Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: facebook Taifa Online International School

Leo tunatoa nafasi kwa wanafunzi 30 watakao wai kucomment neno "NALIPIA KABLA YA TAREHE 10" kwa kufanya hivyo utalipia 1...
05/03/2023

Leo tunatoa nafasi kwa wanafunzi 30 watakao wai kucomment neno "NALIPIA KABLA YA TAREHE 10" kwa kufanya hivyo utalipia 100,000/= badala ya 500,000/= utasoma bure mwaka mzima

Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online International School) shule hii haiitaji wewe kwenda shuleni kusoma, Unasoma ukiwa nyumbani, Unafanya mitihani ya kujipima ukiwa nyumbani isipokuwa ule mitihani wa mwisho (Mitihani wa Taifa)

Shule hii ni maalumu kwa wanaotaka kujiendeleza mfano mtu ana cheti Cha form 4 Ila hana cha form 6 Basi anajiunga na TAIFA ONLINE SCHOOL anasoma mwaka 1 kisha tunamtafutia kituo Cha kufanyia mitihani, Mwanafunzi atafanya mtihani K**a private candidate kisha ataendelea na elimi ya juu ya chuo kikuu.

Au K**a umeishia darasa la Saba Basi ukijiunga na TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL utasoma miaka 2 kisha tutakutafutia kituo Cha kufanyia mtihani, Utafanya mitihani K**a private candidate kisha utaendelea na form 6 au vinginevyo.

Madara yetu yanaendeshwa Mtandaoni Yani E-CLASS na yapo live(Mubashara) utaweza kuuliza swali na ukajibiwa ana kwa ana ukiwa darasani. Vipindi vyetu vinaanza kuanzia saa 1 usiku siku za jumatatu mpaka jumamosi.

Tukisema mitihani namaanisha mitihani ya online Yan mwanafunz anafanya mtihan wa kujipima na wenzake Mtandaoni walioko sehemu mbalimbali za nchi kwa muda mmoja , siku moja na mtihani wa Aina moja, System yetu inaweza kugundua udanganyifu wowote ndan ya chumba Cha mtihani na kumtoa kwenye mitihani mwanafunzi endapo ataigilizia.

Kwenye shule yetu tuna makundi mengi ya watu wanaosoma

1. Waliofeli / anbao hawakufanya vizuri kwenye normal school (Hawa ni wale waliofeli au kutofanya vizuri au kukosa alama za kuendelea na elimu ya form 5, )

2. Wanaotaka kujiendeleza Yani upgrading (Hawa ni makundi ya watu wazima waliopo makazini, maofisini na kwingineko)

3. House Girls na wanaotaka kusoma k**a tuition.

Kiufupi tunatoa huduma zifuatazo:

1: Distance learning( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalim yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi.

Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/sec-registration.html


2: Taifa online exams. Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/exam.html


3: Taifa online school library. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika.
Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea https://www.taifaschool.net/taifa-secondary-online-library.html

4: Taifa online school tuition hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili binyeza link hii (Maandishj haya ya Blue https://www.taifaschool.net/tuition-registration.html

5: Kujifunza kiswahili kwa wageni. Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya Tsh 800,000/= kwa vipindi 100, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/student-registration.html

6: Book analysis. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia https://www.taifaschool.net/analysis.html

7: Taifa online school question and answer. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi K**a online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

ZINGATIA: taasisi inafuatilia maendeleo ya wanafunzi wake na kutoa matokeo kwa wakati pia tunawatafutia wanafunzi vituo vizuri vya kufanyia mitihani yao ya NECTA, Usilipie huduma yoyote kupitia namba ya MPESA AU TIGO PESA AU MTANDAO WOWOTE WA SIMU PASIPO JINA LA TAIFA SCHOOL KUONEKANA, PIA USILIPIE HUDUMA KABLA UJAJIRIDHISHA NA HUDUMA KWA KUIONA.

Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam

Tunapatikana kwa nambari 0652 428 842

Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: facebook Taifa Online International School

๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐ƒ๐ˆ๐†๐ˆ๐“๐€๐‹๐ˆ, ๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐Œ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž๐๐ˆ ๐”๐Š๐ˆ๐–๐€ ๐๐˜๐”๐Œ๐๐€๐๐ˆ ๐‡๐”๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ ๐Š๐”๐…๐ˆ๐Š๐€ ๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐“๐„๐๐€, ๐”๐๐€๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐๐€ ๐Š๐”๐๐€๐“๐€ ๐‚๐‡๐„๐“๐ˆ ๐‚๐‡๐€๐Š๐Ž ๐‚๐‡๐€ ๐…๐Ž๐‘๐Œ ๐Ÿ’ ๐€...
05/03/2023

๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐ƒ๐ˆ๐†๐ˆ๐“๐€๐‹๐ˆ, ๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐Œ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž๐๐ˆ ๐”๐Š๐ˆ๐–๐€ ๐๐˜๐”๐Œ๐๐€๐๐ˆ ๐‡๐”๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ ๐Š๐”๐…๐ˆ๐Š๐€ ๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐“๐„๐๐€, ๐”๐๐€๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐๐€ ๐Š๐”๐๐€๐“๐€ ๐‚๐‡๐„๐“๐ˆ ๐‚๐‡๐€๐Š๐Ž ๐‚๐‡๐€ ๐…๐Ž๐‘๐Œ ๐Ÿ’ ๐€๐” ๐…๐Ž๐‘๐Œ ๐Ÿ” ๐Œ๐€๐‘๐€ ๐๐€๐€๐ƒ๐€ ๐˜๐€ ๐Š๐”๐…๐€๐๐˜๐€ ๐Œ๐“๐ˆ๐‡๐€๐๐ˆ ๐–๐€ ๐๐„๐‚๐“๐€.

Sote tunafahamu kwamba ukuaji wa Teknolojia ulivyo hivi Sasa tunaileta kwenu shule ya Mtandaoni (Taifa Online International School) shule hii haiitaji wewe kwenda shuleni kusoma, Unasoma ukiwa nyumbani, Unafanya mitihani ya kujipima ukiwa nyumbani isipokuwa ule mitihani wa mwisho (Mitihani wa Taifa)

Shule hii ni maalumu kwa wanaotaka kujiendeleza mfano mtu ana cheti Cha form 4 Ila hana cha form 6 Basi anajiunga na TAIFA ONLINE SCHOOL anasoma mwaka 1 kisha tunamtafutia kituo Cha kufanyia mitihani, Mwanafunzi atafanya mtihani K**a private candidate kisha ataendelea na elimi ya juu ya chuo kikuu.

Au K**a umeishia darasa la Saba Basi ukijiunga na TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL utasoma miaka 2 kisha tutakutafutia kituo Cha kufanyia mtihani, Utafanya mitihani K**a private candidate kisha utaendelea na form 6 au vinginevyo.

Madara yetu yanaendeshwa Mtandaoni Yani E-CLASS na yapo live(Mubashara) utaweza kuuliza swali na ukajibiwa ana kwa ana ukiwa darasani. Vipindi vyetu vinaanza kuanzia saa 1 usiku siku za jumatatu mpaka jumamosi.

Tukisema mitihani namaanisha mitihani ya online Yan mwanafunz anafanya mtihan wa kujipima na wenzake Mtandaoni walioko sehemu mbalimbali za nchi kwa muda mmoja , siku moja na mtihani wa Aina moja, System yetu inaweza kugundua udanganyifu wowote ndan ya chumba Cha mtihani na kumtoa kwenye mitihani mwanafunzi endapo ataigilizia.

Kwenye shule yetu tuna makundi mengi ya watu wanaosoma

1. Waliofeli / anbao hawakufanya vizuri kwenye normal school (Hawa ni wale waliofeli au kutofanya vizuri au kukosa alama za kuendelea na elimu ya form 5, )

2. Wanaotaka kujiendeleza Yani upgrading (Hawa ni makundi ya watu wazima waliopo makazini, maofisini na kwingineko)

3. House Girls na wanaotaka kusoma k**a tuition.

๐€๐๐š ๐ณ๐ž๐ญ๐ฎ ๐ง๐ข ๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ณ๐ข๐ง๐ ๐š๐ญ๐ข๐š ๐ฏ๐ข๐ ๐ž๐ณ๐จ ๐ง๐š ๐ก๐š๐ฅ๐ข ๐ฒ๐š ๐ฎ๐œ๐ก๐ฎ๐ฆ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฌ๐š๐ฌ๐š ๐ฐ๐š ๐ฆ๐ญ๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š, ๐๐š ๐ฎ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐ข ๐ค๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐š ๐ก๐š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข ๐š๐๐š ๐ฒ๐š๐ค๐จ ,๐ฉ๐š๐ค๐š ๐ฎ๐ฃ๐ข๐ซ๐ข๐๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐ž ๐ง๐š ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐š ๐ฒ๐ž๐ญ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š (๐”๐ž๐ฅ๐ž๐ค๐ž๐ณ๐ฐ๐ž ๐ง๐š ๐ฎ๐ž๐ฅ๐ž๐ฐ๐ž ๐ง๐š๐ฆ๐ง๐š ๐ฆ๐Ÿ๐ฎ๐ฆ๐จ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ง๐š๐ฏ๐ฒ๐จ ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ค๐š๐ณ๐ข ๐ง๐๐ข๐ฉ๐จ ๐ฎ๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐š ๐š๐๐š)

Tunatoa huduma zifuhatazo huduma zifuatazo:

๐Ÿฬฒ:ฬฒ ฬฒ๐ƒฬฒ๐ขฬฒ๐ฌฬฒ๐ญฬฒ๐šฬฒ๐งฬฒ๐œฬฒ๐žฬฒ ฬฒ๐ฅฬฒ๐žฬฒ๐šฬฒ๐ซฬฒ๐งฬฒ๐ขฬฒ๐งฬฒ๐ ฬฒ/ ๐—ฆ๐—ต๐˜‚๐—น๐—ฒ ๐—ฌ๐—ฎ ๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐—ถ
( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalimu yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Kipindi kimoja huwa kinakuwa na DK 45 pekee, Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi kwa kuonana na mwalimu mbashara kupitia simu yake au computer. Hii haina tofauti na Darasa la kawaida la kwenye shule za kawaida, Utofauti pekee ni kwamba darasa hili ni Online kila kitu kinafanyika Online. Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia (Bonyeza Maandishi Haya Ya Blue) au tupigie 0652428842 kwa maelezo zaidi https://www.taifaschool.net/sec-registration.html

๐™๐ˆ๐๐†๐€๐“๐ˆ๐€: ๐–๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐Ÿ๐ŸŽ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š ๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ค๐š๐จ ๐œ๐จ๐ฆ๐ฆ๐ž๐ง๐ญ ๐ง๐ž๐ง๐จ ๐ง๐ข๐ฉ๐จ ๐ญ๐š๐ฒ๐š๐ซ๐ข au kututmia ujumbe kwenye whatsapp number +255652428842 (๐–๐š๐ญ๐š๐ฌ๐จ๐ฆ๐š ๐Š๐ฐ๐š ๐†๐ก๐š๐ซ๐š๐ฆ๐š ๐ฒ๐š ๐“๐ฌ๐ก ๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ,๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ/= ๐Œ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฆ๐ณ๐ข๐ฆ๐š/ ๐ก๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐š ๐€๐๐š ๐ญ๐ž๐ง๐š) ๐ƒ๐š๐ซ๐š๐ฌ๐š ๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ง๐ข ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐จ๐ฃ๐ข๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š ๐š๐ฎ ๐š๐ฆ๐›๐š๐จ ๐ก๐š๐ฐ๐š๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฆ๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ’ ๐ง๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ ๐š๐ฎ ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐จ ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐š ๐๐š๐ซ๐š๐ฌ๐š ๐ฅ๐š ๐Ÿ• ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ญ๐š๐ค๐š ๐ฐ๐š๐ฌ๐จ๐ฆ๐ž ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ’


๐Ÿฎ: ๐—ง๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—ผ๐—ป๐—น๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐—ฒ๐˜…๐—ฎ๐—บ๐˜€
Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia (Bonyeza Maadishi haya ya blue) https://www.taifaschool.net/exam.html


๐Ÿ‘: ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ž ๐ฌ๐œ๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ฅ๐ข๐›๐ซ๐š๐ซ๐ฒ.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika. Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea https://www.taifaschool.net/taifa-secondary-online-library.html (Bonyeza Maandishi ya blue kujisajili)

๐Ÿ’: ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ž ๐ฌ๐œ๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ญ๐ฎ๐ข๐ญ๐ข๐จ๐ง
Hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili bonyeza link hii (Maandishi haya ya Blue) https://www.taifaschool.net/tuition-registration.html

๐Ÿ“: ๐Š๐ฎ๐ฃ๐ข๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ข๐ฌ๐ฐ๐š๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ ๐ž๐ง๐ข.
Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya GBP 550 (PAUND 550) kwa vipindi 100, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/student-registration.html

๐Ÿ”: ๐๐จ๐จ๐ค ๐š๐ง๐š๐ฅ๐ฒ๐ฌ๐ข๐ฌ.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia https://www.taifaschool.net/analysis.html

๐Ÿ•: ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ž ๐ฌ๐œ๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ช๐ฎ๐ž๐ฌ๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฌ๐ฐ๐ž๐ซ
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi K**a online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

๐™๐ˆ๐๐†๐€๐“๐ˆ๐€: T๐š๐š๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ข๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐š๐ญ๐ข๐ฅ๐ข๐š ๐ฆ๐š๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐จ ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐š๐ค๐ž ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐จ๐ค๐ž๐จ ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ฉ๐ข๐š ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ญ๐ข๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฏ๐ข๐ญ๐ฎ๐จ ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐ข๐š ๐ฆ๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š๐จ ๐ฒ๐š ๐๐„๐‚๐“๐€, ๐”๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐ž ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐š ๐ฒ๐จ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐š ๐ง๐š๐ฆ๐›๐š ๐ฒ๐š ๐Œ๐๐„๐’๐€ ๐€๐” ๐“๐ˆ๐†๐Ž ๐๐„๐’๐€ ๐€๐” ๐Œ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž ๐–๐Ž๐–๐Ž๐“๐„ ๐–๐€ ๐’๐ˆ๐Œ๐” ๐๐€๐’๐ˆ๐๐Ž ๐‰๐ˆ๐๐€ ๐‹๐€ ๐“๐€๐ˆ๐…๐€ ๐’๐‚๐‡๐Ž๐Ž๐‹ ๐Š๐”๐Ž๐๐„๐Š๐€๐๐€, ๐๐ˆ๐€ ๐”๐’๐ˆ๐‹๐ˆ๐๐ˆ๐„ ๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐€ ๐Š๐€๐๐‹๐€ ๐”๐‰๐€๐‰๐ˆ๐‘๐ˆ๐ƒ๐‡๐ˆ๐’๐‡๐€ ๐๐€ ๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐€ ๐Š๐–๐€ ๐Š๐”๐ˆ๐Ž๐๐€.

Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam

Tunapatikana kwa nambari ya ofisi Number 0652 428 842

Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: facebook Taifa Online International School

๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐ƒ๐ˆ๐†๐ˆ๐“๐€๐‹๐ˆ, ๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐Œ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž๐๐ˆ ๐”๐Š๐ˆ๐–๐€ ๐๐˜๐”๐Œ๐๐€๐๐ˆ ๐‡๐”๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ ๐Š๐”๐…๐ˆ๐Š๐€ ๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐“๐„๐๐€Kiufupi wanatoa huduma zifuatazo: ๐Ÿฬฒ:ฬฒ ฬฒ๐ƒฬฒ๐ขฬฒ...
05/03/2023

๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐˜๐€ ๐Š๐ˆ๐ƒ๐ˆ๐†๐ˆ๐“๐€๐‹๐ˆ, ๐’๐Ž๐Œ๐€ ๐Œ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž๐๐ˆ ๐”๐Š๐ˆ๐–๐€ ๐๐˜๐”๐Œ๐๐€๐๐ˆ ๐‡๐”๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ ๐Š๐”๐…๐ˆ๐Š๐€ ๐’๐‡๐”๐‹๐„ ๐“๐„๐๐€

Kiufupi wanatoa huduma zifuatazo:

๐Ÿฬฒ:ฬฒ ฬฒ๐ƒฬฒ๐ขฬฒ๐ฌฬฒ๐ญฬฒ๐šฬฒ๐งฬฒ๐œฬฒ๐žฬฒ ฬฒ๐ฅฬฒ๐žฬฒ๐šฬฒ๐ซฬฒ๐งฬฒ๐ขฬฒ๐งฬฒ๐ ฬฒ/ ๐—ฆ๐—ต๐˜‚๐—น๐—ฒ ๐—ฌ๐—ฎ ๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐—ถ
( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalimu yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Kipindi kimoja huwa kinakuwa na DK 45 pekee, Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi kwa kuonana na mwalimu mbashara kupitia simu yake au computer. Hii haina tofauti na Darasa la kawaida la kwenye shule za kawaida, Utofauti pekee ni kwamba darasa hili ni Online kila kitu kinafanyika Online. Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia (Bonyeza Maandishi Haya Ya Blue) au tupigie 0652428842 kwa maelezo zaidi https://www.taifaschool.net/sec-registration.html

๐™๐ˆ๐๐†๐€๐“๐ˆ๐€: ๐–๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐Ÿ๐ŸŽ ๐ฐ๐š ๐ค๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š ๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ค๐š๐จ ๐œ๐จ๐ฆ๐ฆ๐ž๐ง๐ญ ๐ง๐ž๐ง๐จ ๐ง๐ข๐ฉ๐จ ๐ญ๐š๐ฒ๐š๐ซ๐ข au kututmia ujumbe kwenye whatsapp number +255652428842 (๐–๐š๐ญ๐š๐ฌ๐จ๐ฆ๐š ๐Š๐ฐ๐š ๐†๐ก๐š๐ซ๐š๐ฆ๐š ๐ฒ๐š ๐“๐ฌ๐ก ๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ,๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ/= ๐Œ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐ฆ๐ณ๐ข๐ฆ๐š/ ๐ก๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐š ๐€๐๐š ๐ญ๐ž๐ง๐š) ๐ƒ๐š๐ซ๐š๐ฌ๐š ๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ง๐ข ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐จ๐ฃ๐ข๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š ๐š๐ฎ ๐š๐ฆ๐›๐š๐จ ๐ก๐š๐ฐ๐š๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฆ๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ’ ๐ง๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ ๐š๐ฎ ๐ฐ๐š๐ฅ๐ข๐จ ๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐š ๐๐š๐ซ๐š๐ฌ๐š ๐ฅ๐š ๐Ÿ• ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ญ๐š๐ค๐š ๐ฐ๐š๐ฌ๐จ๐ฆ๐ž ๐ฆ๐ฉ๐š๐ค๐š ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ ๐Ÿ’


๐Ÿฎ: ๐—ง๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—ผ๐—ป๐—น๐—ถ๐—ป๐—ฒ ๐—ฒ๐˜…๐—ฎ๐—บ๐˜€
Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia (Bonyeza Maadishi haya ya blue) https://www.taifaschool.net/exam.html


๐Ÿ‘: ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ž ๐ฌ๐œ๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ฅ๐ข๐›๐ซ๐š๐ซ๐ฒ.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika. Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea https://www.taifaschool.net/taifa-secondary-online-library.html (Bonyeza Maandishi ya blue kujisajili)

๐Ÿ’: ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ž ๐ฌ๐œ๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ญ๐ฎ๐ข๐ญ๐ข๐จ๐ง
Hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili bonyeza link hii (Maandishi haya ya Blue) https://www.taifaschool.net/tuition-registration.html

๐Ÿ“: ๐Š๐ฎ๐ฃ๐ข๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ข๐ฌ๐ฐ๐š๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ ๐ž๐ง๐ข.
Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya GBP 550 (PAUND 550) kwa vipindi 100, Kujisajili ingia https://www.taifaschool.net/student-registration.html

๐Ÿ”: ๐๐จ๐จ๐ค ๐š๐ง๐š๐ฅ๐ฒ๐ฌ๐ข๐ฌ.
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia https://www.taifaschool.net/analysis.html

๐Ÿ•: ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐จ๐ง๐ฅ๐ข๐ง๐ž ๐ฌ๐œ๐ก๐จ๐จ๐ฅ ๐ช๐ฎ๐ž๐ฌ๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐š๐ง๐ ๐š๐ง๐ฌ๐ฐ๐ž๐ซ
Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi K**a online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

๐™๐ˆ๐๐†๐€๐“๐ˆ๐€: T๐š๐š๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ข๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐š๐ญ๐ข๐ฅ๐ข๐š ๐ฆ๐š๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐จ ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฐ๐š๐ค๐ž ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐จ๐ค๐ž๐จ ๐ค๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ฉ๐ข๐š ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฐ๐š๐ญ๐š๐Ÿ๐ฎ๐ญ๐ข๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐ฏ๐ข๐ญ๐ฎ๐จ ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐ข๐š ๐ฆ๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š๐จ ๐ฒ๐š ๐๐„๐‚๐“๐€, ๐”๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข๐ฉ๐ข๐ž ๐ก๐ฎ๐๐ฎ๐ฆ๐š ๐ฒ๐จ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐š ๐ง๐š๐ฆ๐›๐š ๐ฒ๐š ๐Œ๐๐„๐’๐€ ๐€๐” ๐“๐ˆ๐†๐Ž ๐๐„๐’๐€ ๐€๐” ๐Œ๐“๐€๐๐ƒ๐€๐Ž ๐–๐Ž๐–๐Ž๐“๐„ ๐–๐€ ๐’๐ˆ๐Œ๐” ๐๐€๐’๐ˆ๐๐Ž ๐‰๐ˆ๐๐€ ๐‹๐€ ๐“๐€๐ˆ๐…๐€ ๐’๐‚๐‡๐Ž๐Ž๐‹ ๐Š๐”๐Ž๐๐„๐Š๐€๐๐€, ๐๐ˆ๐€ ๐”๐’๐ˆ๐‹๐ˆ๐๐ˆ๐„ ๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐€ ๐Š๐€๐๐‹๐€ ๐”๐‰๐€๐‰๐ˆ๐‘๐ˆ๐ƒ๐‡๐ˆ๐’๐‡๐€ ๐๐€ ๐‡๐”๐ƒ๐”๐Œ๐€ ๐Š๐–๐€ ๐Š๐”๐ˆ๐Ž๐๐€.

Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam

Tunapatikana kwa nambari ya ofisi Number 0652 428 842

Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: facebook Taifa Online International School

Hongera sana  kwa kuwa miongoni mwa viongozi vijana watakao fanya uchechemuzi wa elimu kupitia taasisi ya kimataifa inay...
04/03/2023

Hongera sana kwa kuwa miongoni mwa viongozi vijana watakao fanya uchechemuzi wa elimu kupitia taasisi ya kimataifa inayoshughulikia elimu duniani (Global Partnership For Education) ambapo mwenyekiti wake ni rais mstafu mheshimiwa

Tunaahidi kupitia shule yetu ya kwanza ya Kidijitali Tanzania tutatoa ushirikiano wetu kwako hasa katika kumuinua mtoto wa k**e katika elimu hasa katika kukamilisha ndoto zao kwa uhuru.

Tumalizie pongezi hizi kwa kusema We educate women because it is smart. We educate women because it changes the world.

Address

Taifa Online International School
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Taifa Online International School posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Taifa Online International School:

Shortcuts

Share

Category