05/10/2021
Kiungo mkabaji Sadio Kanoute, leo amerejea mazoezini baada ya kupona maumivu ya bega aliyopata katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga Septemba 25, mwaka huuKanoute raia wa Mali amekosa mechi mbili za Ligi Kuu dhidi ya Biashara United na Dodoma Jiji kutokana na kuwa majeruhi
"