13/12/2022
Mkuu wa shule wa chimala sekondari anawatangazia nafasi ya kujiunga kidato cha tano kwa combinesheni za Hkl, HGK,HGL na waliokosa krediti tatu wanapokelewa kwa ajili ya kurudia mitihani.ADA ni Tsh.1,200,000/= kwa mwaka kwa bweni ada hiyo hulipwa kidogokidogo kadili ya makubaliano .Ada ya kutwa Tsh.600,000/=vilevile shule inanafasi kwa vidato vyote na inatangaza nafasi ya kidato cha kwanza kwa Ofa ya Tsh1,100,000/= na kutwa Tsh.500,000/= kwa mwaka watakao kaa kutwa watatafutiwa vyumba vya kupanga.kituo cha kulisiti kwa pc,na QT kipo.mawasiliano piga simu No. 0769049620,0784536464,0657224715,0744550015