06/02/2026
Mnaikumbuka????HADITHI: FOUR TWINS (mapacha wanne)
MTUNZI: Biba Story
Page: Hadithi Za Biba Nina
(Musimu wa kwanza.)
SEHEMU YA KWANZA
πππππππββββππππ
ANZA NAYO,,,,,,,
Katika hosipitari iliyoko ya nyakahanga iliyopo wiraya ya karagwe mkoani kagera.
Mama mmoja anaonekana akijifungua,, na jitiada za manesi zinaonekana kubwa kuakikisha mama huyo anajifungua salama.
Na kweri baada ya mda kidogo, jitiada zote zinaonekena kuzaa matunda, na mama huyo anajifungua watoto wawili mapacha,, huku manesi wakimpa hongera nyingi.
Anaamka mama uyo anawangalia watoto wake wawili ambao ni wa kiume na wa k**e,,
Kisha anatabasamu akiwafurahia watoto wake.
Anavuta mkoba wake ulioko pale pembeni mwa kitanda alicholalia anaufungu na kutoa cheni nne zinazofanana, anachukua cheni mbili anawavarisha hao watoto kila mmoja ya kwake,, anaushika mkoba wake na kuzirudisha cheni zile mbili zilizobaki,,
Ila wakati anazirudisha zile cheni kwenye mkoba, mala ile furaha aliyokuwa nayo inapotea ghafura, na kuanza kuwaza huku machozi yananza kumtoka.
MAWAZO: angelikuwepo mme wangu tungefurahi pamoja na ile ndoto yetu ya kuwazaa watoto wanne na kuwavisha hizi cheni ingetimia, sasa ona leo hiyo ndoto imeshindikana kutimia, ila yote sawa kwa sababu ni mipangi ya MUNGU,
MWISHO WA KUWAZA,
Akadondoka na kupoteza fahamu.
ENTEBE UGANDA
Kikao kilichokaliwa na watu wanne, wakionekana kujadiri jambo lenye utata mkubwa sana na ni k**a fumbo,
Sasa maadamu mbonah hili swala linakuwa zito sana na gumu,?
,,,aliuliza bwana mmoja bonge akimuhuliza mwanamama mmoja aliyepo kwenye kikao hicho, akiwa ndo yeye peke yake mwenye jinsia ya k**e, waliobaki wote wakiwa wanaume , pia wakimutukuza k**a kiongozi wao,
,jina lake anaitwa, MARIAM KINJE, Ila akipenda kujiita (lady mariam)
Uyu pia ni miongoni mwa waliocheza picha nyingi nilizondika,
Nna miongoni mwa picha ni k**a
MY LIFE, KISASI, KATIRI, MPELELEZI ALIYEPOTEA, LAZIMA TUFIKE TULIPOAGIZWA Na nyinginezo,,
Hapana JAPHETI at