BORA Furaha

BORA Furaha Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from BORA Furaha, Education, Bagamoyo.

Kwenye mapenzi hatutafuti au kuishi na mtu mkamilifu bali mtu ambaye mazuri yake yanazidi maradufu madhaifu yake na yale madhaifu hayana nafasi kuathiri mtazamo wa huyu anayesifia.

ALIYEKUWA ANAKUPENDA SANA AKIKUTOA MOYONI MWAKE DHARAU YAKE SIYA NCHI HIIMoyo ukichoka kubembeleza mapenzi kwa mtu basi ...
22/10/2024

ALIYEKUWA ANAKUPENDA SANA AKIKUTOA MOYONI MWAKE DHARAU YAKE SIYA NCHI HII

Moyo ukichoka kubembeleza mapenzi kwa mtu basi huyo mtu huonekana wa kawaida mno

Kuna wakati anatamani hata usimtafute ila kwasababu si kila mtu anaweza kumwambia mtu asimtafute basi atakuwa anakujibu akijisikia au ataongea na wewe kawaida ili ujiongeze. Wewe ndiye utakuwa una jukumu la kuanzisha maongezi na akiona huna cha maana anakuambia yuko busy anakukatia simu

Kuna watu wakati tunaowapenda watu fulani tunajaribu kuwaonesha upendo wetu mkubwa wanatudharau na kutupuuza. Tunajaribu tena na tena kuwaonesha upendo ila wanaendelea kutuchukulia poa. Mwisho moyo unakinai na kungeuka maana moyo ukingeuka una tabia ya kcchukia yule mtu aliyemuumiza kihisia sana

Kwasababu ulimpuuza na ukamnyanyasa kihisia akateseka kwa ajili yako. Sasa kaanza maisha mapya wala hakuwazi tena hizo simu au sms zako unazomtumia anaziona kero tu.

Wakati mwingine hajibu hizo sms za baby, mke, mume wangu nk kwasababu anaona hayo majina mazuri kwake ni kero hustahili kumuita hivyo. Ndio maana unamuita mke/mume wangu yeye anakujibu kitu kingine kabisa mfano UNAENDELEAJE. Wakati mwingine unajipigisha simu na kumjali wala hazungumzi sana zaidi kukuitikia tu au anakuambia baadaye ana kazi au anataka kulala kwasababu HUYO si wa zamani huyo ni mpya usiyemjua.

MrMtengwaTz

USILAZIMISHE MAWASILIANO NA MTU ILINDE AMANI YA MOYO WAKO ACHA UGALATIA HUOLinda amani ya moyo wako na thamani yako rafi...
22/10/2024

USILAZIMISHE MAWASILIANO NA MTU ILINDE AMANI YA MOYO WAKO ACHA UGALATIA HUO

Linda amani ya moyo wako na thamani yako rafiki acha kulazimisha ukaribu na mtu au mawasiliano na mtu. Wakati mwingine hataki k**a anakukwepa basi usimbue tena katika hilo futa no yake au kaa nayo ili akikupigia na wewe ubaki ukiitazama tu maana unaweza kuifuta akapiga ukapokea usijue k**a ni yeye

Ukiona anajiona muhimu sana, anakupuuza basi chagua amani ya moyo wako, usimtafute tena. K**a hajakutafuta baada ya kumtafuta baada ya kumtafuta achana huo utumwa sasa

Tunahitaji kuwasiliana kwa ukaribu sisi sote kwasababu ni jukumu la wote kuwasiliana si mmoja akupuuze au kujifanya yuko busy sana

Mawasiliano ndio nguzo ya ukaribu, kujaliana bila mawasiliano hakuna ushirika utakaostawi kati yenu zaidi ya unafiki tu kuumizana kijinga

Usikubali kupuuzwa linda thamani yako rafiki usikubali kuwa mtumwa rafiki kwa kulazimisha ukaribu na mtu tunahitaji sote kuwasiliana sio kujipendekeza hata k**a sisi ni wahitaji sana ila isiwe sababu ya kupuuzana na kudharaulina

Rafiki yangu mwema acha huo UGALATIA wa kulazimisha mawasiliano na mtu asiyejali na anayejiona na kujisikia yeye mtu muhimu sana.

MrMtengwaTz

SABABU 4 ZINAZOFANYA WANAUME WAKAWASALITI WANAWAKE.1. DHARAU ZA MWANAMKE.Katika dunia kuna viumbe wengi wenye dharau lak...
22/10/2024

SABABU 4 ZINAZOFANYA WANAUME WAKAWASALITI WANAWAKE.

1. DHARAU ZA MWANAMKE.

Katika dunia kuna viumbe wengi wenye dharau lakini mwanamke nae ni mmoja wao. Mwanaume hadharauliwi bali anarekebishwa kwa adabu. Unapomdharau basi anapunguza thamani yako mwisho anakwenda kwengine.

2. MAZOEA YA MWANAMKE.

Umemzoea sana mumeo kiasi ambacho hujali chochote kwake. Unaweza kufanya lolote unalojisikia na kujibu chochote. Mume hazoeleki kuwa mpya kila siku kwake utafaulu dada yangu.

3. KUMNYIMA TENDO.

Mwanamke mwenye akili hasubiri mumewe amuombe tendo bali yeye mwenyewe hujiandaa muda wote kwa ajili ya mumeo. Mwanaume anakaa mwezi humpi jando paka akuombe shubaa miti utasalitiwa kila siku kobe wewe.

4. UCHAFU.

Kuna wanawake uchafu ni urithi wao. Kweli mwanamke unanuka shombo la mwili?. Mwanamke havai chupi moja siku nzima dada hatari.

Chupi ya mwanamke aliefundwa haina kimando. Acha uchafu haipendezi na unatia aibu. Jifunze kwa wengine usafi sio mdomo unanuka k**a mkoba wa chambo.

MrMtengwaTz

Usiongeze missed call juu ya missed call labda awe anaumwa unataka kujua anaendeleaje.Usiongeze sms juu ya sms labda mtu...
22/10/2024

Usiongeze missed call juu ya missed call labda awe anaumwa unataka kujua anaendeleaje.

Usiongeze sms juu ya sms labda mtu huyo awe anaumwa au yupo kwenye changamoto.

Si ulimpigia akaikata simu au akaipokea akakumbia atakutafuta tuliza komwe lako sasa usibiri uungwana wake. Utafutwe sio umtafute.

Si akuambia kuna simu ya boss au anampigia akakuambia ukate amsikilize tulia zako mwenye hekima atakurudia usimtafute, subiri.

Si ulimpigia juzi na jana mwache na yeye basi akuanze. Ulimpigia ukamwambia UNAMPENDA kwani kumwambia UNAMPENDA wewe ndiye uwe unamtafuta tu yeye hapana hamna bana k**a hawezi kuendeleza mawasiliano kaa pembeni rafiki yangu mapenzi ni mawasiliano.

Si ulimtafuta kwa sms ndefu yenye maneno mazuri lakini yeye akakujibu "Mmmmm" "haya bana" "najua" nk hakuona cha neno njema la kwenye sms yako hiyo. Linda hisia zako.

Si unamuongelesha kihisia anakukwepa kwa kukubadilishia mada usiendelee kuumia muage kisha kata simu ulinde hisia zako.

Asikubali kupuuzwa linda thamani yako, wapo watu wanajiona keki sana kwahiyo usiwe mtumwa wake kwenye kuujenga ukaribu.

Mawasiliano ya thamani ni yale ya pande zote mbili kujaliana si kupuuzana au kupotezeana.

MrMtengwaTz

Ametakasika Mwenyezi Mungu idadi ya vile alivyoviumba Ametakasika Mwenyezi Mungu akijaza alichokiumbaAmetakasika Mwenyez...
22/10/2024

Ametakasika Mwenyezi Mungu idadi ya vile alivyoviumba
Ametakasika Mwenyezi Mungu akijaza alichokiumba
Ametakasika Mwenyezi Mungu idadi ya viliomo mbinguni na katika ardhi
Utukufu ni wa Mwenyezi Mungu, anayejaza viliomo mbinguni na ardhini
Utukufu ni wa Mwenyezi Mungu, kwa wale ambao Amewahesabu katika kitabu chake
Ametakasika Mwenyezi Mungu, akijaza yale yaliyohesabiwa na kitabu chake
Ametakasika Mwenyezi Mungu, idadi ya kila kitu
Utukufu ni wa Mungu, akijaza kila kitu
Utukufu ni wa Mwenyezi Mungu, kwa idadi ya uumbaji wake, na kuridhika kwake, na uzito wa kiti chake cha enzi, na wino wa maneno yake.
Mungu asifiwe k**a alivyoumba
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, akijaza alichokiumba
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, kwa wingi k**a vilivyomo mbinguni na katika ardhi
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, anayejaza viliomo mbinguni na ardhini
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, kadiri kitabu chake kilivyohesabu
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, akijaza yale yaliyohesabiwa katika kitabu chake
Asante Mungu idadi ya kila kitu
Mungu asifiwe, akijaza kila kitu
Sifa njema ni za Mungu, kwa kadiri ya hesabu ya uumbaji wake, na kuridhika kwake, na uzito wa kiti chake cha enzi, na wino wa maneno yake.
Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, idadi ya alichokiumba
Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, anayejaza alichokiumba
Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, idadi ya viliomo mbinguni na ardhini
Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, anayejaza viliomo mbinguni na katika ardhi
Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu k**a alivyo andika katika Kitabu chake
Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, anayejaza yale yaliyoandikwa na Kitabu chake
Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, idadi ya kila kitu
Hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu, anayejaza kila kitu
Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, idadi ya uumbaji wake, na ridhiki yake, na uzito wa Arshi yake, na wino wa maneno yake.
Mwenyezi Mungu ndiye mkubwa kwa idadi ya vile alivyoviumba
Mungu ndiye mjazo mkuu zaidi wa kile alichokiumba
Mwenyezi Mungu ndiye mkubwa zaidi katika mbingu na ardhi
Mwenyezi Mungu ndiye Mkubwa, anayejaza vilivyomo mbinguni na katika ardhi
Mwenyezi Mungu ni mkuu kuliko alivyo hesabu katika Kitabu chake
Mungu ndiye nambari kuu ya kila kitu
Mungu ni Mkuu, akijaza kila kitu
Mwenyezi Mungu ni mkubwa kwa idadi ya uumbaji wake, na ridhiki yake, uzito wa Arshi yake, na wino wa maneno yake.
Ninamwomba Mungu msamaha mara nyingi k**a alivyoumba
Namuomba Mungu msamaha kwa alichokiumba
Naomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu waliomo mbinguni na ardhini
Naomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu anayejaza viliomo mbinguni na ardhini
Ninaomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mara nyingi k**a alivyohesabu katika kitabu chake
Ninaomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu ili nijaze yale aliyoyataja katika kitabu chake
Namuomba Mungu msamaha kwa kila jambo
Ninaomba msamaha kutoka kwa Mungu kujaza kila kitu
Namuombea msamaha Mwenyezi Mungu kwa idadi ya uumbaji wake, na ridhiki yake, na uzito wa Arshi yake, na wino wa maneno yake.
Hapana nguvu wala nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu, idadi ya vile alivyoviumba
Hakuna nguvu wala nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu, akijaza alichokiumba
Hakuna nguvu wala nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu, sawa na vilivyomo mbinguni na katika ardhi
Hakuna nguvu wala nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu, anayejaza viliomo mbinguni na ardhini
Hakuna nguvu wala nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu, k**a alivyo andika katika Kitabu chake
Hakuna nguvu wala nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu, anayetimiza yale yaliyohisabiwa Kitabu chake
Hakuna nguvu wala nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu, idadi ya kila kitu
Hakuna nguvu wala nguvu isipokuwa kwa Mungu, ambaye anajaza kila kitu
Hakuna nguvu wala nguvu ila kwa Mwenyezi Mungu, kwa idadi ya uumbaji wake, na kuridhika kwake, na uzito wa kiti chake cha enzi, na wino wa maneno yake.
Ewe Mola mbariki na umbariki Mtume wetu Muhammad kwa wingi uliowaumba
Ewe Mola mbariki na umbariki Mtume wetu Muhammad ili ajaze ulichoumba
Ewe Mola mbariki na umbariki Mtume wetu Muhammad mara nyingi kadiri kitabu chako kinavyoeleza
Ewe Mola mrehemu na umfikishie rehema na amani Mtume wetu Muhammad, idadi ya kila kitu
Ewe Mola mrehemu na umbariki Mtume wetu Muhammad, ukijaza kila kitu
Ewe Mola mrehemu na umbariki Mtume wetu Muhammad kwa waliomo mbinguni na ardhini
Ewe Mola mbariki na umbariki Mtume wetu Muhammad kwa idadi ya uumbaji wako, kujitosheleza kwako, uzito wa kiti chako cha enzi, na wino wa maneno yako.
Utukufu ni wa Mwenyezi Mungu, na sifa njema ni zake kwa idadi ya uumbaji wake, na kujiridhisha kwake, na uzito wa kiti chake cha enzi, na wino wa maneno yake.
Utukufu ni wa Mwenyezi Mungu, na sifa njema ni zake kwa idadi ya uumbaji wake, na kujiridhisha kwake, na uzito wa kiti chake cha enzi, na wino wa maneno yake.
Ametakasika Mwenyezi Mungu, na sifa njema ni zake kwa idadi ya uumbaji wake, na kujiridhisha kwake, na uzito wa kiti chake cha enzi, na wino wa maneno yake.
Ametakasika Mwenyezi Mungu, na sifa njema ni zake kwa idadi ya uumbaji wake, na kujiridhisha kwake, na uzito wa kiti chake cha enzi, na wino wa maneno yake.
Ewe Mola wangu nisamehe wazazi wangu na Waumini wanaume na Waumini wanawake walio hai na wafu
Ametakasika Mwenyezi Mungu na sifa njema ni zake, ametakasika Mwenyezi Mungu
Ametakasika Mwenyezi Mungu, sifa njema ni za Mwenyezi Mungu, hapana mungu ila Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu ni mkuu, na hakuna nguvu wala nguvu isipokuwa kwa Mwenyezi Mungu, Aliye juu, Mkuu.✍🏿

MrMtengwaTz

Mwanaume akikwazwa na mkewe, atanuna,atazira kula,atachelewa kurudi anawezaenda hata kujipooza mahali kwa mchepuko...aki...
21/10/2024

Mwanaume akikwazwa na mkewe, atanuna,atazira kula,atachelewa kurudi anawezaenda hata kujipooza mahali kwa mchepuko...akirudi atachezea simu hadi usiku wa manane na atalala kwenye kochi kumkomoa mke. Anawezaweka hata mgomo wa kutoa matumizi ya ndani. Watoto wote watajua baba na mama hawaelewani na hata wao huanza kumwonea huruma mama yao😭 wataanza kuwa karibu na mama aliye mpweke kwa kukosa upendo wa mume. Baba atawaingiza kuwachukia hadi watoto huku akisema "nanyi mtakuwa wajinga k**a mama yenu pumbavu kabisa!"

Ila mke akikwazwa na mumewe ataongea kwa kelele yataisha, kazi zote za ndani zitafanyika....wakati huo mume hajamwomba hata msamaha kwasababu ya uanaume wake.

Chakula atampikia mume,Na atamkaribisha kula,nguo zake atamfulia...kumbuka moyoni ameumizwa na pengine kakutana na message kwenye simu ya mumewe imetoka kwa mdada anashukuru kwa huduma ya penzi alilompa jana yake.

Lakini mke atahudumia watoto na kuwaonyesha furaha hata ya kuigiza ili wasijue ana ugomvi na baba yao....

Mke baada ya kuona mumewe hashuki wala kutambua kosa lake ataamua yeye kushuka na kusema samahani labda nimeongea maneno makali huku akijua yeye ndio kakosewa...Na mume akiwa na haja ya tendo la ndoa mke atatoa huku moyoni akiwa na vidonda vya maumivu ya kutendwa.

Hivi kwa mfano: Mungu ataachaje kuwabariki hawa wanawake wa aina hii na kuwafanya waishi umri mrefu zaidi ya wanaume? Msije mkadhani Mungu haoni yanayoendelea ndani ya ndoa....Anaona sana na anahukumu kwa haki.

I stand with a woman..
Mungu awatunze sana wanawake na azidi kuwapa hekima na mioyo ya aina hiyo.

Kipindi kigumu kwa mwanamke ni pale anapokua mbali na mtu anaempenda kwa dhati, Mwanamke anajua kupenda asikuambie mtu u...
21/10/2024

Kipindi kigumu kwa mwanamke ni pale anapokua mbali na mtu anaempenda kwa dhati, Mwanamke anajua kupenda asikuambie mtu unaweza kua unapuuzia hisia zake lakini yeye humaanisha kweli anakupenda, mwanamke hawezi kuzificha hisia zake hata siku moja.

Kipindi kigumu kwa mwanamke nipale anapogundua kua una mwanamke mwingine nje.
Mwanamke hapendi kuchanganywa kwenye mapenzi yake hivyo huteseka sana anapojua una mwanamke mwingine.

Mueshimu Sana mwanamke ulie nae maaana yupo mtu anaemsubiria huko nje aweze kumnasa kwaurahisi .

Shika uliposhikwa uweze kufanikiwa katika , mausiano yako na Ndoa yako iweze kuwa yenye baraka tele.

Kua na nwenza sahihi ni ulinzi wa kila kitu unachopanga kufanya
21/10/2024

Kua na nwenza sahihi ni ulinzi wa kila kitu unachopanga kufanya

SAUTI YA HUYU NDEGE IMENIGUSA NIVILE TU LUGHA YAKE NA YETU TOFAUTI, K**A MSIMULIAJI NITAIFAFANUA LUGHA YA NDEGE HUYU MWE...
15/10/2024

SAUTI YA HUYU NDEGE IMENIGUSA NIVILE TU LUGHA YAKE NA YETU TOFAUTI, K**A MSIMULIAJI NITAIFAFANUA LUGHA YA NDEGE HUYU MWENYE KIU.
Njia ni ngumu miguu imechoka🐦 nimeanguka malanyingi lakini nitasismama tena🐦 kilio changu cha ndani hakisikiki na wengi🐦 lakini najua kuna sauti inayosikika ndani yangu🐦 nuru yetu itahangaza tena hatak**a dunia inatufunika🐦 tushikane mikono tusirudi nyuma tutapita hatak**a ni kwamaumivu 🐦

MrMtengwaTz

WASICHANA na UMRI wa MAHUSIANO.Wengi wao wakiwa na umri wa miaka 18_25 huwavutia wanaume wengi kwa ajili ya Ndoa ,lakin ...
20/06/2024

WASICHANA na UMRI wa MAHUSIANO.

Wengi wao wakiwa na umri wa miaka 18_25 huwavutia wanaume wengi kwa ajili ya Ndoa ,lakin wao huwa hawapo tayar kuolewa kwa sababu mbali mbali

1. Umri wangu Bado mdogo kuolewa
2. Kwa sasa Bado nahitaj kuendelea kusoma
3. Nataka nitafute kwanza pesa zangu
4. Ndoa zenyewe zimejaa matatizo,sihitaj kuolewa
5.Nahitaji uhuru wangu Sio kwenda kuchungwa chungwa na mwanaume

6: huwa na kundi la wapenz kwa ajili ya kula bata ,haoni shida ,kuwa nao 4 Kila mtu na jukum lake. Wa Kodi,kula,bata,kuvaa

Umri wa miaka 25_30
Huenda tayar kahitimu chuo,kapata kazi au ana biashara zake ,ama mambo yameenda hivyo sana yupo na wazaz wake nyumban ndipo maswali huwa meng toka kwa wazaz na ndugu

1. Ina maana Bado huna mwanaume wa Kukuoa?
2. Umri haisimami tafuta mtu akuoe
3. Basi tafuta hata mwanaume uzae nae tu
4. Badilisha mfumo wa maisha yako,acha hizo nguo fupi,kwenda kumbi za starehe ,unatakiwa upate bwana uolewe

5. Sawa una pesa unaweza jihudumia lakin tafuta ndoa ikuheshimishe

6. Mwamposa atakuwa na mkutano wa siku 5 hebu uwe una hudhuria unaweza funguliwa ukapata bwana

Baada ya kufika miaka 30_na kuendelea
Hapa huanza kuwa na kuwazua Nini kifanyike Baada ya ndugu na rafik wa umri wake wengi wameolewa. Kwa sasa nae anaitaman ndoa

1. Mkrisito huanza kuhudhuria mikutano,kwenda Kila ibada,.muislamu huanza kufunga na kwenda msikitin tofaut na siku za nyuma

2. Huanza mahusiano hata na mume wa mtu ,yupo tayar kuwa hata mke wa pili

3. Aliye kuwa mkali na mwenye dharau akiombwa namba,saizi yeye ndo hutoa namba

4. Huamua kuingia kwenye makundi ya mitandaoni kutafuta marafik au wapenz watakao kuwa wapenz Kisha ndoa

5. Hupunguza vigezo vya mwanaume anae muhitaji,ndo husema Ili mradi anapumua. Wakat mwanzo alisema anataka awe mrefu,mweusi mwenye pesa au kaz nzuri

KUMBUKA

Mungu hupanga hatima ya Kila mtu kwa wakati wake,hivyo unaweza umia sana kumbe wakati wako Bado.

Kuna wanawake wapo safi tangu wajitambue ila hawakubahatika kupata wenza sahihi,hivyo Bado wanasubir

Kuna wanawake walipata wenza sahihi lakini wao walikuwa na mambo mengi.
K**a una mtu sahihi ...usikubali kumpoteza olewa oa
Hawa watu ni adimu mno.

MrMtengwaTz

KILELE CHA FURAHA KWA MWANAUME NI KUKUBALIWA.Hakuna nyakati bora maishani mwa Mwanaume k**a siku na saa hujibiwa ombi la...
20/06/2024

KILELE CHA FURAHA KWA MWANAUME NI KUKUBALIWA.

Hakuna nyakati bora maishani mwa Mwanaume k**a siku na saa hujibiwa ombi lake kutoka kwa Mwanamke ambae amekuwa akimpenda sana.

Siku hii huwa ni njema kwake, na inaondoa uzito wa aina yeyote ambao huenda ulikuwa tatizo nje na matamanio yake dhidi ya huyo Mwanamke.

Ukitaka Mwanaume akifikie kilele cha furaha yake basi mjibu nakupenda pia, maana kwake huondoa kila aina ya karaha iliyowahi Msumbua na zinazoendelea kumsumbua.

MrMtengwaTz

Unahisi mwenye mimba ana mpenda k**a huyu aliyekanmwa?
20/06/2024

Unahisi mwenye mimba ana mpenda k**a huyu aliyekanmwa?

Address

Bagamoyo

Telephone

+255652675719

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BORA Furaha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category