24/06/2020
- Shule itafunguliwa tar. 28.06.2020.
- Nafasi za kuhamia na kujiunga kidato cha tano bado zipo kwa tahsusi za PCM, PCB, PGM, CBG, PMC, CBC, ECA, HGE, EGM, KLF, HGL, HKL na HGK. - Wanafunzi wanatatakiwa kuchukua tahadhari ya Ugonjwa wa Covid -19 kwa kuja na mahitaji k.m vitakasa mikono na barakoa.