17/02/2026
شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ ۖ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ ۗ يُرِيدُ اللَّهُ بِكُمُ الْيُسْرَ وَلَا يُرِيدُ بِكُمُ الْعُسْرَ وَلِتُكْمِلُوا الْعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُوا اللَّهَ عَلَىٰ مَا هَدَاكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ
Maana yake kwa Kiswahili:
Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa ndani yake Qur’ani kuwa ni uongofu kwa watu na hoja zilizo wazi za uongofu na upambanuzi. Basi atakayeshuhudia mwezi huo na afunge. Na atakayekuwa mgonjwa au safarini (akafungua), atalipa kwa siku nyingine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, ili mtimize idadi (ya siku) na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amekuongozeni na ili mpate kushukuru.