Fanikiwa Journalism School - FJS

Fanikiwa Journalism School - FJS Fanikiwa Journalism School is a private educational institution based in Arusha (kwa Mrombo) offering professional training in Journalism

24/12/2025
Mtangazaji nguri wa ITV,  Kevin Novat akizungumza na wanachuo wa fani ya Utangazaji wa Redio na TV wa Chuo cha Uandishi ...
29/01/2025

Mtangazaji nguri wa ITV, Kevin Novat akizungumza na wanachuo wa fani ya Utangazaji wa Redio na TV wa Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji cha Fanikiwa Journalism School - FJS leo, wakati wa uzinduzi wa kitengo cha Habari na Mawasiliano ya Umma cha Chuo hiki kinachosimamiwa na kuendesha na wanachuo. Kelvin ni mmoja wa wahitimu Maveterani wa chuo hiki Bingwa kilichoko Arusha kwa Mrombo.

Kijana wetu Dimo Msimbe, Mhitimu wa Fanikiwa Journalism School - FJS , ndiye Meneja wa Redio Shakina FM Kigoma. Dimo pia...
10/08/2024

Kijana wetu Dimo Msimbe, Mhitimu wa Fanikiwa Journalism School - FJS , ndiye Meneja wa Redio Shakina FM Kigoma. Dimo pia ni Mchungaji na mtaalam wa mitandao ya kijamii.

23/01/2024

Address

Arusha
POBOX15689,ARUSHATANZANIA

Opening Hours

Monday 07:00 - 18:00
Tuesday 07:00 - 18:00
Wednesday 07:00 - 18:00
Thursday 07:00 - 18:00
Friday 07:00 - 18:00
Saturday 07:00 - 18:00

Telephone

+255715769615

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fanikiwa Journalism School - FJS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category