30/01/2026
TANGAZO LA KOZI YA UREMBO NA USUSI (BEAUTY & HAIRDRESSING)
Je, unatamani kuwa mtaalamu wa Urembo na Ususi na kuanza kujipatia kipato haraka?
Karibu Chuo cha Urembo Arusha— chuo bora cha kukuandaa kuwa beautician wa kisasa na mtaalamu wa nywele kwa vitendo 100%!
✅ UTAJIFUNZA NINI?
💄 Makeup (Bridal & Normal makeup)
💇♀️ Kutengeneza nywele (blow dry, curling, weaving, braids)
🧴 Hair treatment & hair care (kujua bidhaa sahihi kwa aina ya nywele)
💅 Manicure & Pedicure
🧖♀️ Facial & Skin care (basic)
🎨 Kuchora nyusi / urembo wa uso (basic shaping)
🧑🎓 Huduma kwa wateja (customer care)
💼 Ujasiriamali & jinsi ya kuanzisha salon yako mwenyewe
⭐ FAIDA ZA KOZI HII
✅ Unapata ujuzi wa kazi halisi (practical)
✅ Unaweza kuajiriwa salon, hotel, au studio za urembo
✅ Unaweza kujiajiri na kufungua biashara yako
✅ Ni kozi yenye soko kubwa Tanzania na nje ya nchi
✅ Inakupa nafasi ya kuwa beauty expert wa matukio (harusi, send-off, graduation)
✅ Unaweza kupata kipato hata ukiwa bado unaendelea na masomo
📌 VIGEZO/VINAVYOHITAJIKA
📍 Kuanzia Darasa la Saba na kuendelea
📍 Wote wanakaribishwa: Wasichana & Wavulana
📍 Muda wa kozi: mfupi na wa kati (kulingana na kiwango unachochagua)
📍 Mafunzo ni kwa vitendo zaidi (practical training)
🏫 CHUO KIMESAJILIWA NA NACTVET ✅
Hivyo unapata mafunzo yenye ubora na yanayotambulika.
📍 BRANCH ZETU & MAWASILIANO
✅ USA RIVER – Leganga
📞 0685051923
📞 0756567182
✅ Ngarenaro– National Housing
📞 0695334648
📞 0695334649
📌 Ofisi ya Msajili & Ushauri wa Kozi
📞 0759547182
Usikubali kukaa nyumbani bila ujuzi!
Jiunge leo ujifunze urembo na ususi kwa vitendo, uanze maisha ya kujitegemea mapema.
BeautyCollegeTanzania SalonSkills MakeupArtistTanzania BridalMakeup HairStylist ManicurePedicure SelfEmployment Ujasiriamali ArushaJobs ArushaSkills JifunzeUjuzi VijanaKazini CareerSkills TanzaniaYouth