15/12/2023
wanaharakati na wadau mbalimbali wameudhuria katika maadhimisho ya siku ya watu wenye ulemavu duniani yaliyofanyika 2/12/2023 jijini dodoma, mji wa kiserikali yenye kauli mbiu TUUNGANE KUWEZESHA WATU WENYE ULEMAVU ILI KUFIKIA MALENGO ENDELEVU ,mgeni rasmi akiwa ni , waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania Mh,Mb Kassim Majaliwa Majaliwa
UNICEF Segal Family Foundation UNDP ,DCPO ,WHO.