24/01/2023
🦁🦁🦁🦁 safu Bora ya kiungo inayooelekea wapinzani kupanic mpaka kupewa red card jinsi wanavochafua dimba la Kati🙌🙌🙌💪💪💪💪 nguvu moja
# # fotmobsports
athlete
24/01/2023
🦁🦁🦁🦁 safu Bora ya kiungo inayooelekea wapinzani kupanic mpaka kupewa red card jinsi wanavochafua dimba la Kati🙌🙌🙌💪💪💪💪 nguvu moja
# # fotmobsports
24/01/2023
🦁🦁🦁 Kituo kinachofwata ni Benjamin William mkapa stadium dhid ya wagosi wa Kaya coastal Union nguvu moja
24/01/2023
Klabu ya Al Hilal ya nchini Sudan kesho inatarajiwa kuja nchini kuweka kambi ya kujiandaa na michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo Simba SC tutakuwa wenyeji wao.
Wakiwa nchini watacheza michezo mitatu ya kirafiki dhidi ya Simba SC, Azam FC na Namungo FC. Mchezo wetu dhidi ya Al Hilal utakuwa wa mwisho na utachezwa Februari 5, 2023 kwenye Uwanja wa Mkapa.
24/01/2023
# # # Al ahly wameamua kugeukia kwa nyota wa krc genk raia wa Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ili kukamilisha uhamisho akacheze na elshanawy pale mjin Cairo.
24/01/2023
Gael sasa kulipwa kwa mafungu
✨️Aliyekuwa kiungo wa Yanga, Mrundi Gael Bigirimana amekubali yaishe na sasa anajiandaa kuvuta mkwanja wa kutosha kutoka kwa klabu hiyo baada ya kukiukwa kwa vipengele vya mkataba baina yao, lakini ikielezwa atalipwa kwa awamu tofauti na sio kwa mkupuo.
✨️Yanga ilimchomoa Gael kikosini dakika chache kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Januari 15 na nafasi yake kuchukuliwa na beki kutoka Mali, Mamadou Doumbia lakini staa huyo amewaganda Wanajangwani hao akitaka wamlipe stahiki zake na fidia haraka iwezekanavyo ili aendelee na yake.
✨️Mwanzo Yanga ilitaka Gael aendelee kuwa ndani ya kikosi ili acheze Kombe la Shirikisho Afrika lakini sio Ligi baada ya wachezaji 12 wa kigeni kutimia, lakini nyota huyo amegomea jambo hilo.
________________________