Al murabbi media

Al murabbi media Ushauri wa Malezi ya Kiislamu
Wazazi | Watoto | Vijana
Mafunzo ya kujenga kizazi bora

11/04/2026
07/04/2026

“Ukimlea mtoto kwa dunia tu, utampoteza akhera yake…
Lakini ukimlea kwa Akhera, dunia itamfuata bila kuitafuta.”

✨️⚖️KESI YA KIHISTORIA DHIDI YA MITANDAO YA KIJAMII🌱🗞📎🔨    Leo nimekutana na habari nzito sana kutoka Los Angeles, ambap...
25/03/2026

✨️⚖️KESI YA KIHISTORIA DHIDI YA MITANDAO YA KIJAMII🌱
🗞📎🔨



Leo nimekutana na habari nzito sana kutoka Los Angeles, ambapo jopo la majaji limezikuta kampuni za teknolojia k**a Meta Platforms na YouTube na hatia ya kuchangia madhara ya afya ya akili kwa kijana mmoja.
Mahak**a imeziamuru kulipa fidia ya dola milioni 3, kutokana na kile kinachoitwa “addictive design” — yaani mifumo ya majukwaa inayomfanya mtumiaji akae muda mrefu bila kujitambua.
Hii si kesi ya kawaida. Wataalamu wanasema ni “landmark case” — kesi ya kihistoria ambayo inaweza kubadilisha kabisa namna kampuni za mitandao ya kijamii zinavyowajibishwa, hasa linapokuja suala la watoto na vijana.
❗ Swali la kujiuliza: Je, mitandao ya kijamii ni chombo tu cha mawasiliano, au imeanza kuwa hatari kwa afya ya akili zetu na watoto wetu?
Ni wakati wa sisi wazazi, walezi na jamii kwa ujumla: ✔️ Kufuatilia matumizi ya watoto ✔️ Kuweka mipaka ya muda wa kutumia simu ✔️ Kuelimisha kuhusu matumizi salama ya teknolojia
Teknolojia ni neema… lakini bila mipaka, inaweza kuwa mtihani.

🌙 Makosa ya Wazazi Ramadhani ⚠️🌱 Epuka kunafanya makosa haya kwa watoto wako ndani ya mwezi mtukufu wa Ramdhani ✨Mwezi m...
03/03/2026

🌙 Makosa ya Wazazi Ramadhani ⚠️

🌱 Epuka kunafanya makosa haya kwa watoto wako ndani ya mwezi mtukufu wa Ramdhani ✨

Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni fursa ya malezi bora kwa watoto. Hata hivyo, wazazi wengi wanakosa hatua muhimu:

1️⃣ Kutojumuisha Kiimani
Watoto wanakula sahur(daku) na iftar bila kuelewa dua na shukrani.
💡 Dondoo: Somesha dua fupi kabla ya kula. Fanya pamoja!

2️⃣ Kutozingatia Ratiba na Nidhamu
Hakuna schedule ya ibada, kusoma Qur’an, au muda wa kujifunza.
💡 Dondoo: Weka ratiba rahisi, rahisisha mtoto kufuata.

3️⃣ Kuzingatia Chakula Zaidi ya Malezi
Chakula kizuri, lakini mtoto haelewi maadili ya Ramadhani.
💡 Dondoo: Shirikisha mtoto kuandaa chakula, soma dua pamoja, fundisha shukrani.

4️⃣ Kutochukua Muda wa Familia
Iftar bila familia, hakuna hadithi za Kiislamu, hakuna mazungumzo ya malezi.
💡 Dondoo: Fanya iftar na familia, soma hadithi, uliza maoni ya mtoto.

5️⃣ Kudumisha Tabia Mbaya
Wazazi wanavumilia tabia mbaya bila kufundisha jinsi ya kurekebisha.
💡 Dondoo: Pongezi tabia njema, elezea adhabu kwa upendo, si hasira.

✨ Ramadhani si tu kufunga, bali kujenga tabia, kiimani na maadili

Address

Tripoli

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Al murabbi media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The School

Send a message to Al murabbi media:

Shortcuts

Share