Bwana Asifiwe,Yote unayopitia yataisha amini Mungu.Muwe na siku njema njema yenye mafanikio
Evangelist Ezekiel
may God bless you
27/02/2025
27/02/2025
UCHAWI WA KUTOA MIMBA WAISHA NGUVU:
➡️Kwa mda wa miaka kumi na Tano, Lucy ameishi Kushika mimba zikitoka!!
Alipokuja maombi.. Roho aliniambia Lucy amefungwa kichawi katika familia ambayo ameolewa.. na Kila mwaka Huwa wanatoa kafara mimba yake.
Nilimuombea, nikampatia mafuta (Anointing oil) na nikamwambia ajipake kwa tumbo.. hili anaposhika mimba isionekane mpaka ajifungue.
Lucy alifanya vile nilimwambia.. na aliposhika mimba..Watu wa familia hawakuiona na hawakujua kuwa Ako na mimba!!
Alihudhuria clinic kwa Siri..na alipokaribia wakati wake wa kujifungua.. Akafanya makosa akajulisha mme wake Ako na mimba.
Mme wake alipojua kuwa Lucy Ako na mimba...Aliungana wa watu wao kujaribu kutoa ile mimba kafara..kama walivyokua wamezoea!! HAWAKUFANIKIWA.
Walimfunga kichawi asifanikiwe kujifungua.. na hapo ndipo Lucy aliniita nikamuombea nyumbani.
Nilifika...Nikamkuta anaumia kwa uchungu wa kuzaa..na nilipomguza kwa kichwa.. akajifungua mtoto na utukufu ukamrudia Mungu.
Inawezekana umefungwa kwa madhabahu za kifamilia... Nakuombea ufunguliwe katika jina la Yesu.
Amini na u-Type "AMEN "
Amen
She's doing great work ��
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Mombasa