Evangelist Ezekiel

Evangelist Ezekiel

Share

may God bless you

18/09/2025

Bwana Asifiwe,Yote unayopitia yataisha amini Mungu.Muwe na siku njema njema yenye mafanikio

27/02/2025
Photos from Evangelist Ezekiel's post 27/02/2025

UCHAWI WA KUTOA MIMBA WAISHA NGUVU:
➡️Kwa mda wa miaka kumi na Tano, Lucy ameishi Kushika mimba zikitoka!!

Alipokuja maombi.. Roho aliniambia Lucy amefungwa kichawi katika familia ambayo ameolewa.. na Kila mwaka Huwa wanatoa kafara mimba yake.

Nilimuombea, nikampatia mafuta (Anointing oil) na nikamwambia ajipake kwa tumbo.. hili anaposhika mimba isionekane mpaka ajifungue.

Lucy alifanya vile nilimwambia.. na aliposhika mimba..Watu wa familia hawakuiona na hawakujua kuwa Ako na mimba!!

Alihudhuria clinic kwa Siri..na alipokaribia wakati wake wa kujifungua.. Akafanya makosa akajulisha mme wake Ako na mimba.

Mme wake alipojua kuwa Lucy Ako na mimba...Aliungana wa watu wao kujaribu kutoa ile mimba kafara..kama walivyokua wamezoea!! HAWAKUFANIKIWA.

Walimfunga kichawi asifanikiwe kujifungua.. na hapo ndipo Lucy aliniita nikamuombea nyumbani.

Nilifika...Nikamkuta anaumia kwa uchungu wa kuzaa..na nilipomguza kwa kichwa.. akajifungua mtoto na utukufu ukamrudia Mungu.

Inawezekana umefungwa kwa madhabahu za kifamilia... Nakuombea ufunguliwe katika jina la Yesu.
Amini na u-Type "AMEN "

26/02/2025

Amen

12/07/2022

She's doing great work ��

Want your school to be the top-listed School/college in Mombasa?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Telephone

Website

Address


Mombasa