Hon Rashid Bedzimba awasistiza watu wa kisauni kuwa na ujuzi ili kufanikisha maisha yao
Yehu tv
Photography/Video studio and Community media
Hon.Rashid Bedzimba mbunge wa kisauni awasihi wa pwani kuwa na umoja na kumuunga mkono waziri Joho k**a kiongozi wao.
13/06/2026
Wangapi wameona hiiπππ
Imebidi mchezo uishe mda huo maana ilikua ni kipigo cha Kengeπ
12/06/2026
Maunguja ECD, mjengo uliokwama zaidi ya miaka 7 umerudi hai tena. Huu ni mradi wa serikali ya kaunti ya Mombasa.
12/06/2026
Stellah Sada Grace Lucky hii Kisu hapo ni ya nini?!Ama ni ya Kukata Uhusiano mukikosana? π π€£ π πΉ π
11/06/2026
Hapa ukitoa Elfu Moja unapewa Mia Sita π π€£ π πΉ π π€£
11/06/2026
YANAYOJIRIπ¨
Siku chache baada ya waziri wa ardhi kutembea Gung'ombe akiwa na bandali za unga sima zenye zilizua mtafaruko, Leo wakaazi hao wamefanya mkutano na waziri huyo wa ardhi akiandamana na MCAHon Mwinyi Mtoto wa Mwakirunge kujadili swala tata la ardhi katika maeneo hayo katika Ofisi ya Naibu wa Chifu Digirikani. Hata hivyo waziri huyo amewaahidi wakaazi hao wa Gung'ombe kua hakuna mtu mwenye atafurushwa katika maeneo yake na akidai Amani na Ushirikiano kwa kila jambo. Amewaambia wakaazi hao kuunda k**ati maalum yenye itaenda Bunge kujadili swala hili la ardhi ili wakaazi hao wapate hatimiliki . Wawakikishi wa mashirika ya kutetea haki za kibinadamu (Shamsani) alikua miongoni wa wenye wamehudhuria.
JE? MAONI YAKO NI GANI BAADA YA WAZIRI KUSEMA KUUNDWE KAMATI YENYE ITAWAKILISHA BUNGE?
Sema nasi......
FT Mwakirunge 6 Hassan Joho 0 wamepigwa k**a Ngoma π π€£ π
Click here to claim your Sponsored Listing.
Location
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Mombasa