13/08/2026
Mwendo ni wa Makombe Tuu🤣🤣🤣🤣
Photography/Video studio and Community media
13/08/2026
Mwendo ni wa Makombe Tuu🤣🤣🤣🤣
This was hot 🤣🤣🤣
12/08/2026
TAMBUA KIPAJI
Jina: SAMMY
Kutoka:Masultan Band
Kazi: Drummist
Phone: 0723648981
Ni kijana wa mtaa na anapiga ngoma poa sana.
Tumsaidie kukua kwa kumpea kazi na ushauri.
Ukiona unahitaji Drummist kwa event yako, wasiliana na Sammy ili tusongeze kipaji chake.
11/08/2026
Hawa ni baadhi ya vijana waliok**atwa Nairobi kwa tuhuma za kuibia na kusumbua wapita njia.
😆 🤣 😂 😹 😆
Voroni - Kivukoni road ni mbaya sana. Kilio kiwafikie County Government of Mombasa
Hon Mwinyi Mtoto , MCA Mwakirunge ward
Mombasa Sub County Administration
H.E Abdulswamad Shariff Nassir, Governor
Mtsedza wangu, shairi
Alafu kuna Radio Station inasema tuma 1K upate 50K.
ata usijaribu heri uinunue Unga na Omena.
09/08/2026
Shule ya upili ya Mwakirunge yaibuka nafasi ya 3 kitaifa kwenye Kenya Music Festival 2026, kitengo Cha mashairi wakikariri shairi la kimijikenda Kibabii University, Kaunti ya Bungoma.
Pongezini wote!
09/08/2026
Mambo ni k**a hayaa unateseka ukiwa wapi? 😆 🤣 😂 😹 Stellah Sada Nyinyi hata kufunga Mwakirunge Combined naona pia hamuwezani 😆 🤣 😂 😹